card78
Member
- Sep 22, 2018
- 49
- 48
Wadau poleni na majukumu
Baada ya kipindi kirefu toka rafiki yangu anipe story juu ya zao la vanilla huko kwao Kagera na jinsi linalindwa haswa wakati wa kuvuna nilipata shauku ya kujua zaidi lakin kutokana na majukumu mengine sikuweza kufuatilia sana.
Ila kwa muda wa miezi mitatu sasa nimekuwa nikisikia matangazo kwenye Tv kuhusu Vanilla village huko Njombe na kinachonivutia na kuniogopesha pia ni juu ya bei 1kg/1M yaan hiyo hela kwa 1kg inaniogopesha sana kwan kwa maelezo ya awali niliambiwa kulingana na soko kuna wakati inafika Elfu 70Tsh sasa kuona tena hiii 1M kwa 1kg ikanishangaza.
Naomba mwenye ufafanuzi juu ya hili anisaidie kama ni fursa kweli niichangamkie🙏
Baada ya kipindi kirefu toka rafiki yangu anipe story juu ya zao la vanilla huko kwao Kagera na jinsi linalindwa haswa wakati wa kuvuna nilipata shauku ya kujua zaidi lakin kutokana na majukumu mengine sikuweza kufuatilia sana.
Ila kwa muda wa miezi mitatu sasa nimekuwa nikisikia matangazo kwenye Tv kuhusu Vanilla village huko Njombe na kinachonivutia na kuniogopesha pia ni juu ya bei 1kg/1M yaan hiyo hela kwa 1kg inaniogopesha sana kwan kwa maelezo ya awali niliambiwa kulingana na soko kuna wakati inafika Elfu 70Tsh sasa kuona tena hiii 1M kwa 1kg ikanishangaza.
Naomba mwenye ufafanuzi juu ya hili anisaidie kama ni fursa kweli niichangamkie🙏