Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kila mmoja dalali na tapeli
Hiyo ndy shida....hata mimi nimekutana na hiyo kwenye kazi ya ilikiKila mmoja dalali na tapeli
Yaani akisikia hela anaitaka bila kazi
Sent from my SM using Tapatalk
Kama unataka uki Google wauzaji wa vanilla Madagascar utawapata wapo.Hiyo ndy shida....hata mimi nimekutana na hiyo kwenye kazi ya iliki
Vp vanilla direct buyers wanapatikana mfumo wa biashara ukoje mkuu....
Itabidi tupeane contacts mkuu nataka kufahamu zaidi kuhusu vanilla!
Nipe mwangaza kidogo.....si unajua tena sisi wengine wa kuchungulia fursa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuna MATATIZO mkuu!Kama unataka uki Google wauzaji wa vanilla Madagascar utawapata wapo.
Kama upo Tanzania ni rahisi zaidi kwenda kabisa na kujuana nao
Mimi niliwasiliana na jamaa baada ya mda wa masaa kadhaa alikuwa ameisha nipatia details zote mpaka certificates za importation na bei zote mpaka nilipo.
Ila zao lingine pia na deal nalo ni zao ghali duniani
Huoni hata dunia haitufatilii sana ingawa tuna kila kitu?
UAMINIFU MKUU
Sent from my SM using Tapatalk
Hata mosh linastawi linaoteshwa pamoja na mchimba kaburiAise.....
Mkuu ntakuja kwenda Kagera kusoma Ramani......nikajifunze!
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kagera siku hizi wamiliki wanalala mashambani na mapanga wanalinda vanilla zao. Huko Uganda hadi askari wameajiriwa na watu binafsi wawalindie mashamba yao ya Vanilla.Ntakuja kufanya research kuhusu vanilla hapa tz....
Lakini mbona kama Kagera hawatili mkazo zao hilo?
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh lazima wayalinde!kwa value iliyokuwa nayo.....Kagera siku hizi wamiliki wanalala mashambani na mapanga wanalinda vanilla zao. Huko Uganda hadi askari wameajiriwa na watu binafsi wawalindie mashamba yao ya Vanilla.
Sio vanilla tena siku hizi ni Madini mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeuza zenye uzito kama wa kilomita 4 tu hivi Mkuu. [emoji16][emoji16]wewe umeuza kilo ngapi hadi sasa
Mosh Kuna dingi alikua analala shambanKagera siku hizi wamiliki wanalala mashambani na mapanga wanalinda vanilla zao. Huko Uganda hadi askari wameajiriwa na watu binafsi wawalindie mashamba yao ya Vanilla.
Sio vanilla tena siku hizi ni Madini mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mchezo mkuu! Hii ishu siku hizi inatoa sana kimaisha.... Pensheni hii ya uzeeni.
Nipe code basi!Nimeuza zenye uzito kama wa kilomita 4 tu hivi Mkuu. [emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mkuuNimeuza zenye uzito kama wa kilomita 4 tu hivi Mkuu. [emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiomana matajari wengi kuliko masikiniNimepitia comments zote nlijua nitakutana na gharama za uzalishaji, mbegu, changamoto, udongo gani, kipindi gani inahitaji maji au jua pesticides n.k aaa mmeniangusha gt.
Mimi najua matumizi yake kuweka kwenye keki, chai ya maziwa harufu kumbe ni dawa na gharama