October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 5,012
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msishadadie mkidhani ni rahisi kama A B C! Mziki wake ni kama Forex wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Niwakumbushe tu….
Kabla hamujaanza kulima inabidi mjua vanilla inachukua muda toka kupandwa mpaka kuvunwa, maeneo inayoweza kusitawi vizuri TZ, breeds zake, magonjwa na dawa zake bila kusahau process za soko.
Isije fika wakati mnavuna kilo ikawa ni sh. 300
Kila la Kheri wakulima
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri majibu haya,ili nifanye maamuzi magumu,uzuri kagera na hm Ngara si mbaliNimepitia comments zote nlijua nitakutana na gharama za uzalishaji, mbegu, changamoto, udongo gani, kipindi gani inahitaji maji au jua pesticides n.k aaa mmeniangusha gt.
Mimi najua matumizi yake kuweka kwenye keki, chai ya maziwa harufu kumbe ni dawa na gharama
acha kudanganya watu kinuka mikojo weKampuni ziko kibao kuna kampuni moja Australia wananunua bila shida kuanzia kilo 50 na kuendelea maana zimekuwa adimu Duniani hivyo demand yake imeraise maradufu.
Sasa hivi muhimu ni kuwa na Vanilla, soko litakufuata ulipo Mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duhacha kudanganya watu kinuka mikojo we
HayaNiwakumbushe tu….
Kabla hamujaanza kulima inabidi mjua vanilla inachukua muda toka kupandwa mpaka kuvunwa, maeneo inayoweza kusitawi vizuri TZ, breeds zake, magonjwa na dawa zake bila kusahau process za soko.
Isije fika wakati mnavuna kilo ikawa ni sh. 300
Kila la Kheri wakulima
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Kwema lakini?acha kudanganya watu kinuka mikojo we
Hatutaki kifuatilia bei, yupo bussy kuwanunua kina waitaraNimelizungumzia sana hili la vanilla katika uzi mmoja humu
Tunanunua na kuuza lakini kwa bongo nilinyanyua mikono
Wauzaji wa Madagascar ni ku wire hela mzigo unapokea unaambiwa kabisa au ijia mwenyewe
Bei ndio hiyo mkuu lakini nashangaa kwetu kilo mwisho ilikuwa 3.5k tsh @kg
Lakini utapigwa bla bla nyingi
Sent from my SM using Tapatalk
Mkuu ukitupa mrejesho itapendeza....Kuna mama mmoja wa kiarusha analima vanila maeneo ya Tengeru....Aliniambia amepata soko Ulaya na inalipa sana..ngojea nimfuatilie zaidi
Akikupa mtonyo ni tag plsMkuu ukitupa mrejesho itapendeza....
Information age.
Au vp bwana