Var checking sakata la Bandari;CCM total political miscalculation,kosa la kiufundi la CCM kulikabili suala la bandari

Var checking sakata la Bandari;CCM total political miscalculation,kosa la kiufundi la CCM kulikabili suala la bandari

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
CCM imefanya kosa kubwa sana la kiufundi kuivalia njuga agenda ya Bandari, it's a total political miscalculation.

Chama kilipaswa kuiachia serikali zigo lake na kuipa maelekezo itoe ufafanuzi yenyewe. Sasa leo CCM ndio imeingia frontline kutoa ufafanuzi na kuikingia kifua DP World, Kama msimamizi wa serikali, Chama hakikupaswa kufanya kinachofanya maana suala la DP World kupasuka lipo tu kama sio leo basi kesho.

Leo tunaweza kushinda kwa kuigeuza propaganda ya kisiasa Lakini in the long run ikitokea shida CCM itajificha wapi?, itamlaumu nani? Itamtoa kafara nani?

Suala la DP world ni suala la mkataba wa serikali, Chama kingeiachia serikali ikapambana nalo--- elimu ingetolewa na watendaji wa serikali kwa wananchi, maana serikali inao watendaji hadi kwenye vitongoji na mitaa Lakini Leo elimu inatolewa kwa wana CCM pekee kwenye vikao au na Mikutano ya wabunge.
 
Mkuu unatenganisha vipi CCM na serikali?
Mwenye kiti wa CCM ni Rais, na pia serikali inatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM.
 
CCM imefanya kosa kubwa sana la kiufundi kuivalia njuga agenda ya Bandari, it's a total political miscalculation.

Chama kilipaswa kuiachia serikali zigo lake na kuipa maelekezo itoe ufafanuzi yenyewe. Sasa leo CCM ndio imeingia frontline kutoa ufafanuzi na kuikingia kifua DP World, Kama msimamizi wa serikali, Chama hakikupaswa kufanya kinachofanya maana suala la DP World kupasuka lipo tu kama sio leo basi kesho.

Leo tunaweza kushinda kwa kuigeuza propaganda ya kisiasa Lakini in the long run ikitokea shida CCM itajificha wapi?, itamlaumu nani? Itamtoa kafara nani?

Suala la DP world ni suala la mkataba wa serikali, Chama kingeiachia serikali ikapambana nalo--- elimu ingetolewa na watendaji wa serikali kwa wananchi, maana serikali inao watendaji hadi kwenye vitongoji na mitaa Lakini Leo elimu inatolewa kwa wana CCM pekee kwenye vikao au na Mikutano ya wabunge.
Wamekusanywa makatibu wa CCM Kata zote kikanda. Nimekutana na waliokusanywa Jana pale Mbeya toka mikoa ya Mbeya, Iringa, Njombe, Rukwa na Songwe Hakuna wanachoelewa mbali ya kulipwa posho na kusafiriashwa bure na kuzuiwa wasivae Sare za Chama. Wamerudi wakiwa weupe na hoja waliyopewa kutembea nayo ni "MAMA HAWEZI KUUZA NCHI MAANA ANA MAPENZI MAKUBWA"
 
CCM imefanya kosa kubwa sana la kiufundi kuivalia njuga agenda ya Bandari, it's a total political miscalculation.

Chama kilipaswa kuiachia serikali zigo lake na kuipa maelekezo itoe ufafanuzi yenyewe. Sasa leo CCM ndio imeingia frontline kutoa ufafanuzi na kuikingia kifua DP World, Kama msimamizi wa serikali, Chama hakikupaswa kufanya kinachofanya maana suala la DP World kupasuka lipo tu kama sio leo basi kesho.

Leo tunaweza kushinda kwa kuigeuza propaganda ya kisiasa Lakini in the long run ikitokea shida CCM itajificha wapi?, itamlaumu nani? Itamtoa kafara nani?

Suala la DP world ni suala la mkataba wa serikali, Chama kingeiachia serikali ikapambana nalo--- elimu ingetolewa na watendaji wa serikali kwa wananchi, maana serikali inao watendaji hadi kwenye vitongoji na mitaa Lakini Leo elimu inatolewa kwa wana CCM pekee kwenye vikao au na Mikutano ya wabunge.
Ccm na serikali ni kitu kimoja (sasa hivi SAMIA ndiyo serikali na ndiyo CCM )
 
CCM imefanya kosa kubwa sana la kiufundi kuivalia njuga agenda ya Bandari, it's a total political miscalculation.

Chama kilipaswa kuiachia serikali zigo lake na kuipa maelekezo itoe ufafanuzi yenyewe. Sasa leo CCM ndio imeingia frontline kutoa ufafanuzi na kuikingia kifua DP World, Kama msimamizi wa serikali, Chama hakikupaswa kufanya kinachofanya maana suala la DP World kupasuka lipo tu kama sio leo basi kesho.

Leo tunaweza kushinda kwa kuigeuza propaganda ya kisiasa Lakini in the long run ikitokea shida CCM itajificha wapi?, itamlaumu nani? Itamtoa kafara nani?

Suala la DP world ni suala la mkataba wa serikali, Chama kingeiachia serikali ikapambana nalo--- elimu ingetolewa na watendaji wa serikali kwa wananchi, maana serikali inao watendaji hadi kwenye vitongoji na mitaa Lakini Leo elimu inatolewa kwa wana CCM pekee kwenye vikao au na Mikutano ya wabunge.
Ndugu yangu Mwande na Mndewa uko very right..

Lakini ina maana hujui kuwa CCM ndiyo Samia Suluhu Hassan na Samia Suluhu Hassan ndiyo CCM hiyo hiyo??

Na Je, unafahamu kuwa Samia Suluhu Hassan huyu huyu ndiye aliyesaini huo mkataba pasipo kufuata sheria za tender?


Na Je, unajua kuwa huyuhuyu Samia Suluhu Hassan ndiye aliyevunja katiba kui - exclude Zanzibar kwenye mkataba huu pasipo kutambua kuwa suala la bandari ni ishu ya muungano??

Kwa hili, kama kuna mtu wa kuwajibika, basi wa kwanza ni Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe...!!

Ni kweli kabisa, hii ni miscalculation ya kutisha inayowapeleka kwenye anguko lao...

Na surprisingly, ni kuwa karibu CCM wote wamekuwa kama mazuzu fulani hivi yasiyoona hatari na ubaya wa hii kitu. Ni kama vile yamekubali, Kwa kukubaliana kuwa twendeni hivyohivyo na kama ni kufa tufe wote. Na WATAKUFA WOTE..!!
 
Back
Top Bottom