VAR inaleta utata na kuacha maswali mengi sana

Mwisho wa siku, hata ulie vip humu jf, liverpool kashachukua epl, uzur liverpool wakibebwa huwa wanabebeka tofaut na hizo timu nyingine mfano city, juzi alibebwa lakin wapi,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu city aliuwawa kipa Kala nyanya wakat alikuwa anamkwepa jamaa afu ukizingatia dk za mwanzo kabisa VAR ilitakiwa ifanye Kaz kipa apigwe njano maisha yaendelee
 
acha kabisa mkuu gori la Liverpool LA kushika na mikono limefutwa gori LA mbwa mwitu mtu kazidi kidore kimoja cha mkono Tena bora Ata ingekuwa mguu limefutwa
ARV haina cha tumswalie mtume kila mmoja atakula kwa jasho.

Pukki na Tottenham alionyesha kwa kidole awekewe, Ile kufunga tu kidole kikaonekana kwenye ARV. Mzungu hataki uonevu wala ujanjaujanja zama zenu zimekwisha 😁😁
 
mkuu city aliuwawa kipa Kala nyanya wakat alikuwa anamkwepa jamaa afu ukizingatia dk za mwanzo kabisa VAR ilitakiwa ifanye Kaz kipa apigwe njano maisha yaendelee
Mfumo ukishasetiwa huwa haufanyi kazi kwa maelekezo ya kila mtu vile anavyotaka yeye.

Huo mfumo wa VAR kabla ya kuanza kutumika walikaa experts wa masuala ya mifumo ya Kompyuta na Mpira wakaona upo poa. Inakuwaje wewe mtoto wa Buza uone una kasoro?

Nendeni mkaanzishe Mifumo yenu iwabebe nyie 😂😂
 
🤣🤣🤣mfumo umenikosesha ela ilikuwa GG kabisa
 
🤣🤣🤣mfumo umenikosesha ela ilikuwa GG kabisa
Daaah!!

Bahati mbaya Mkuu, siku nyingine ukitaka kupiga hela vizia game mbili mfululizo za Man U au Chelsea halafu ubet kuwa wananyooshwa, lazima upige hela.

Trend inaonesha hizi timu sasa hivi ni kama Gari la Mkaa, tripu moja barabarani moja inayofuata ipo Gereji.
 
ARV haina cha tumswalie mtume kila mmoja atakula kwa jasho.

Pukki na Tottenham alionyesha kwa kidole awekewe, Ile kufunga tu kidole kikaonekana kwenye ARV. Mzungu hataki uonevu wala ujanjaujanja zama zenu zimekwisha 😁😁
lakn van D na lalana wamedaka mpira ndo wakampa mane akafunga cha ajab ARV ikaweka mpira kati
 
Toka ligi ianze hakuna magoli yaliyofungwa na liver VAR ikayakataa na yakafutwa?
Kama uliangalia game ya Liverpool na Aston Villa kwenye EPL, Roberto Firmino alifunga goli VAR ikasema sio goli.

Kwani ile game ya Liverpool na Man U Origi alivyokwatuliwa halafu mpira ukaelekea kwa Liver kisha Liver wakafungwa VAR iliwabeba Liver?

Tuwe tuna balance matukio, kama ingekuwa wanabebwa kama mnavyoamini ilitakiwa Waamuzi na wanaokuwa control room ya VAR waadhibiwe maana sio Liver wanaotoa hayo maamuzi au mlitaka Liver wakatae magoli yanayoamuliwa na VAR?
 
Idadi ya magoli yaliyokataliwa na VAR.
Msimu: 2019/20
Jumla: 39

4 - BHA
4 - SHU
3 - ARS
3 - AVL
3 - LIV
3 - MCI
3 - TOT
3 - WHU
3 - WOL
2 - BOU
2 - BUR
2 - CHE
2 - CRY
1 - LEI
1 - NOR
0 - EVE
0 - MUN
0 - NEW
0 - SOU
0 - WAT


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mashabiki wa man u bhana, origi alipokatwa wakapiga counter na kupata goli hata hawakuongea kitu kisa maamuzi ya var yaliwabeba, juzi Man City maamuzi ya var yakimbeba watu kimya. Ila ikitokea kwa liver ni shida

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa sana aisee

This peoples are stupid

And very hopeless kabisa

Tumekataliwa goli tatu by VAR this season

Look at what happened to city last game

These people are totally psychos

No way out ani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti VAR ilianzishwa for liverpool

These people are hopeless aisee

Wanakera na kuboa

Usenge ani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…