Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mechi ya Burkina Faso dhidi ya Mauritania iliyoamuliwa kwa kutumia teknolojia ya VAR, ni uthinbitisho tosha kuwa waamuzi wengi ni wabishi kwa kujiona wako sahihi kumnbe wanafanya makosa yanayogharimu timu nyingi katika michezo mingi.
Pia, inathibitisha kuwa wachezaji wanapomzonga refa, mara nyingi huwa wako sahihi tatizo ni sheria kumpa mtu mmoja anaeitwa refa wa kati kuwa ndio mwenye maamuzi ya mwisho ili hali nae ni binadamu tu kama wengine tena somestimes anaweza kuwa na mahaba na mojawapo ya timu.
Conclusion: Soka bila VAR ni ubatili mtupu.
Pia, inathibitisha kuwa wachezaji wanapomzonga refa, mara nyingi huwa wako sahihi tatizo ni sheria kumpa mtu mmoja anaeitwa refa wa kati kuwa ndio mwenye maamuzi ya mwisho ili hali nae ni binadamu tu kama wengine tena somestimes anaweza kuwa na mahaba na mojawapo ya timu.
Conclusion: Soka bila VAR ni ubatili mtupu.