VAR si ya kuichekea, inaharibu Soka

VAR si ya kuichekea, inaharibu Soka

Mkuu umeongea jambo la msingi sana. VAR technology niliichukia jana wakati Giroud alipofunga goli safi kabisa lakini VAR akakataa kwa kuwa Giroud alizidi kiganja cha mguu tu ijapokuwa sehemu zote za mwili zilikuwa onside. Kweli technology ya VAR imahitaji maboresho makubwa sana.
Lengo la kuileta tech hii lilikua zuri isipokua kumekuwepo mapungufu au dosari katika mfumo huu,nini kilitakiwa
1)Var ilitakiwa iwe ina operate yenyewe kama mashine katika maamuzi kwa 95% ikishirikiana na mwamuzi wa Kati kwa 5%

2)Viatu vyote vya wachezaji pamoja na Lines zote uwanjani viwe installed na sensor,hata ikibidi wachezaji wavalishwe signals ili ikitokea mchezaji kawa offside mashine iwashe taa nyekundu na kumtaarifu refa direct kua ni off side kabla hata goli kuingia nyavuni au hata mchezaji haja shoot

Warekebishe mambo hayo kulikoni ilivyo sasa goli linafungwa ati binadamu kwa utashi wao waamue kulihakiki au kukaushia,yaani kutegemea na mapenzi yao,au kwanza goli likifungwa wanaanza kuongea na refa muda mrefu kushauriana!
Hapo Var inakosa maana kama wameamua Var itumike basi zifanye kazi ktk Auto mode na si manual

Ifikie pahala Var system ndio ituambie tena kwa haraka goli au si goli,Offside au sio offside,Faul au si faul....na si kutumia watu wanne hivi ndio wawe wanaamua maamuzi mbaya zaidi mpira tunauona wote

Kiukweli Var bila maboresho ni majanga. Var ifanye kazi na refa direct.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi hizi za dunia ya 3 kutumia VAR bado sana. Unakumbuka VAR ilishindwa kufanya kazi kwenye fainali ya CAF na kupelekea mechi kuvunjika na kutolewa ushindi wa mezani? Sisi waswahili bado sana kwenye matumizi ya VAR.
Tatizo ni mapungufu yake yenyewe haina shida
Kuja kwa Var Tanzania na maeneo mengine ya dunia hilo nalo ni pungufu ambalo Fifa walirekebishe haraka
Kama Var inatumika Uk na Europe basi inabidi itumike dunia nzima ili kuweka uwiano sawa
Ligi moja kutumia Var nyingine kutotumia ni kasoro kubwa sana haijengi usawa baina ya timu zitumiazo Var na zisizotumia

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Jana mechi ya Uefa Atretico na Liverpool watu wameunawa mpira wazi wazi zaidi ya mara 3 lakini wala hawajaangalia ila goli likifungwa lazima wafanye goal check
Goli la jana nalo lilihakikiwa kwanza ndio baadae watu wakaambiwa haya sasa mnaweza kushangilia!!
Lakini kwenye hand ball amabazo zingine zilikua ni possible penalty shoot out jamaa waamuzi wale wa Var wakafunika!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom