Vatican inamiliki dunia

Najaribu kulink scriptures na maneno uliyoyaongea naona nyingi ni porojo tu.There's no any interconnection!
 
Duh,
 
HGW umetuharibia ndugu zetu!Hebu ona huyu mjita anavyoongopa!
 
SIO PADRE ila alikua ni mkristo anko wake bi khadija anaitwa waraka bin naufal
i
 
SIO PADRE ila alikua ni mkristo anko wake bi khadija anaitwa waraka bin naufal

i
Tafuta sheikh aliyesoma Islamic History atkwambia Nan alimfundisha Muhamed Injili na Handwriting.
pia huyo padre ndo alimtabiria kuwa atakuwa mtume na mwanzilishi wa dini kubwa
 
Tafuta sheikh aliyesoma Islamic History atkwambia Nan alimfundisha Muhamed Injili na Handwriting.
pia huyo padre ndo alimtabiria kuwa atakuwa mtume na mwanzilishi wa dini kubwa
ndio nimekwambia alikua anaitwa waraqa bin naufal alikua mkristo ila sio padre
 

we hata historia ya Biblia huijui, ni nani aliye toa vitabu vya Biblia kutoka 72 mpaka 66, we kitabu unachotumia chenye 66 unakiona kimekamilika? hizo 66 ziko mbili ya tatu unaijua ilipo?
 
Huu upuuzi utaisha lini humu jamvini? Tunataka proofs ya hoja ila sio kuleta maneno maneno.
 
we hata historia ya Biblia huijui, ni nani aliye toa vitabu vya Biblia kutoka 72 mpaka 66, we kitabu unachotumia chenye 66 unakiona kimekamilika? hizo 66 ziko mbili ya tatu unaijua ilipo?
Noma
 
Hizi conspiracies za kitoto na zinawaandama wavivu wa kufikiri. Tumeshazielezea sana humu na kutoa fafanuzi mbalimbali lakini, kila amezeshwae sumu huja tena na thread akidhani ni habari mpya.
Nlikuwa sijajua km Ww ni pumbavu
Kias hichi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…