University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
@FaixaFox njoo uku wanachekesha hawa.Siku zote asiyejua akijuzwa huona wanaojua wanapomjuza wajinga. Tuache itikadi tutafute ukweli au hata possibility.
Kuna possibility kubwa Uislamu ulianzishwa na Roma.
Sent using Jamii Forums mobile app
MarvelousIn summary form. Wakatoliki walitaka kila mtu aamini ukatoliki namna pekee ilikuwa kwa upanga wa moto. Lakini jesuit waliona kuwa kama katoliki ingeshiriki katika hili baadaye ingekuja kuwa critized. So what, they decided to create part B church (Islam) to accomplish the mission and MUD the jesuit was given the task before he bertrayed and started claiming he received from God. Na kwa kuwa ndicho alichowaaminisha wafuasi wake alikuwa na ukweli wake. But wataalamu wa theology wanasema at end MUD was on his movement back to his origin. UNAAMBIWA.
Ndo hivyo MrYesu ndiyo NJIA kweli na uzima MTU haji Kwa Baba isipokuwa Kwa Mimi, Jesus said
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Aya ni kwa wayahudi Mimi na wewe haituhusuYesu ndiyo NJIA kweli na uzima MTU haji Kwa Baba isipokuwa Kwa Mimi, Jesus said
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikuwa na mfumo unaitwa pope Bill ndo ilianzisha Islam
Jesuit walikuwa bado awajaanza .
Labda walikuja Ku support spread 1557.
Islam ilianzishwa na padre. Aliye mfundisha Muhammad injili.
Wataalamu waulize watakwambia.
Jesuit walikuwa awajaanza Ila Kuna makundi mengi ya Knights.
Miaka ya 600
Usidanganywe na usidanganye watu jibu lako liko hapaKulikuwa na mfumo unaitwa pope Bill ndo ilianzisha Islam
Jesuit walikuwa bado awajaanza .
Labda walikuja Ku support spread 1557.
Islam ilianzishwa na padre. Aliye mfundisha Muhammad injili.
Wataalamu waulize watakwambia.
Jesuit walikuwa awajaanza Ila Kuna makundi mengi ya Knights.
Miaka ya 600
Hiyo Aya ni kwa wayahudi Mimi na wewe haituhusu
MT. 15:24 SUV
MT. 15:24 SUV
Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.
SUV: Swahili Union Version
Huyo anayeongea hapo ni Yesu yupi na lugha gani?
Labda wewe ni Myahudi
Wokovu ulikuja Kwa Israeli lkn Kwa Neema ukatufikia nasisi wa Mataifa, hivyo yumefanywa wayahudi katika Roho so hayo yanatuhusu na ndio maana sisi ni waIsrael kwa Roho, hilo sio gazeti ufikiri kimwili tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Fuatilia mwenyewe utaona
Sasa ukipewa link utalalamika hii link yako ñi wäislamu wanajitetea kwa uwogoUsidanganywe na usidanganye watu jibu lako liko hapa
Refuting the Christian Lie that Roman Catholic Vatican ‘Created’ Islam:
Hizo ni propaganda wewe angalia factFUATILIA MWENYEWE UTAONA HAPA
Refuting the Christian Lie that Roman Catholic Vatican ‘Created’ Islam