Vatican inamiliki dunia

Vatican inamiliki dunia

Ingia Kwenye Search engine usearch wewe mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndo ...........kabisa hujui we Anikajema .
Cha kushangaza unashangazwa na nn
et hivi vitu vinapatikana Africa tu
hahahaha hizo link za Africa????????
Trump waAfrica????????
Hitler wa Africa??????????
Alberto rivera wa Africaaaa??????
Sikushangai Sikushangai Sikushangai Sikushangai Sikushangai


Ngoja nikudokeze tuu Europe Dini ni kidogo sana na Atheist ni wengi sana tena asilimia kubwa wawenye dini ni 40-60% tuu tena wengi ni RC maana
wanajua madhehebu mengine yote ya kikristo yameanza kama
MAJIMAJI WAR amna ukweli no true.
Ni kwamba wengi bado wanaimani na RC maana uki Trace unaona kiini chake ni Yesu na Petro hata ubishe vipi huo ndo ukweli.
Wengi wa Makanisapesa wameachana nayo nenda makanisa yaki PROTESTANT Namakanisa madogo madogo ya kupiga pesa Ujerumani na Europe utakuta wazee na watoto tena angalau häta watu 10----40
Ila makanisa ya RC wapowengi tena nibaada ya juhudi za
Majesuit kuanzisha Religion dialogue nyingi wanazojua kwa uzoefu wao na elimuzao amna mtu duniani atawashinda kwenye dialogue hizo na nivigumu.Ilawao kuwashinda ni simple ndomaana päpa wasasa Fransis ana penda sana religious dialogues na ana supoort huko Europe.



Sema wazungu sadaka wanakatwa kwenye mishahara yao sema wazungu sadaka wanakatwa kwenye mishahara yao ........
ninavyojua kwa Ujerumani wanakatwa asilimia 18 watu wote wafanyakazi serikalini kma sijakosea.
hatawasipoenda church
RC na Anglican na Uchache Lutheran wanapewa fedha za kurun school na hospital tena nikupunguza Fees wanazotoza kwa wanaohudumiwa basi.

yanikama Shule ilikupasa kulipa 1m Unapunguziwa hadi 6au700,000 kwa Tsh
Mbona hata TZ makanisa yanapewa na serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
In summary form. Wakatoliki walitaka kila mtu aamini ukatoliki namna pekee ilikuwa kwa upanga wa moto. Lakini jesuit waliona kuwa kama katoliki ingeshiriki katika hili baadaye ingekuja kuwa critized. So what, they decided to create part B church (Islam) to accomplish the mission and MUD the jesuit was given the task before he bertrayed and started claiming he received from God. Na kwa kuwa ndicho alichowaaminisha wafuasi wake alikuwa na ukweli wake. But wataalamu wa theology wanasema at end MUD was on his movement back to his origin. UNAAMBIWA.
Hivi kabisa we na wewe ni MTU mzima Kabsaa akili yako inafanya kazi pia na wewe, na una watoto wanakutegemea?
 
Hivi kabisa we na wewe ni MTU mzima Kabsaa akili yako inafanya kazi pia na wewe, na una watoto wanakutegemea?
Ni mzima nategemewa na mpaka na mama ako? Ni kweli wengi hawapendi ukweli na hata wakijua ni ukweli watataka kuamini uongo ili wajinufaishe mioyo yao. Just try to uncover the unknown. Mungu toka lini akatemsha kitabu duniani, mbinguni kuna printer achane zenu bana...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
😎😎😎😎😎
 
Kuna wapuzi humu wanachekesha tangu lini Vatican walianzisha uislamu na wapi na ilikua lini wacha nicheke Mimi hahahahaaa kuna watu mijinga dunia hii
 
Kuna wapuzi humu wanachekesha tangu lini Vatican walianzisha uislamu na wapi na ilikua lini wacha nicheke Mimi hahahahaaa kuna watu mijinga dunia hii
kwanza nakushukuru kwa kuangalia moja kati ya uzi bora 2019
pili sijafurahishwa nakutumia jina wapuzi humu wanachekesha
ungetumia jina polite bado ungeeleweka vizuri University_Promo

tatu gusa hapa
 
Ni mzima nategemewa na mpaka na mama ako? Ni kweli wengi hawapendi ukweli na hata wakijua ni ukweli watataka kuamini uongo ili wajinufaishe mioyo yao. Just try to uncover the unknown. Mungu toka lini akatemsha kitabu duniani, mbinguni kuna printer achane zenu bana...
Hapa kuna mambo ntatengeneza uzi kuhusu hii June lazima ukweli ujulukane haaaaaala!
😎😎😎😎😎
 
Wewe akili yako ndo finyu kwanza
kwa kuusoma huu uzi unaosema unadhihirisha ufinyu wa kufikiri kwetu umenyesha wazi watu wenye ufinyu wa kufikiri
wameweza andiakitu na

  1. Ukafungua
  2. Ukasoma
  3. Uka comment unaonyesha wewe uwezo wako ndo mfinyu mfinyu mfinyu mfinyu kupindukia ningekuona wamaana kama usingeufungua na ungekuwa walau unasoma critical thinking books. Ili uondoe dhana ya wa Afrika hawapendi kusoma vitabu na ukitaka ufiche kitu kwa wa Afrika ficha kwenye vitabu..THANK
Mjinga zaidi ni anaeujua ujinga halafu anaufanya,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wapuzi humu wanachekesha tangu lini Vatican walianzisha uislamu na wapi na ilikua lini wacha nicheke Mimi hahahahaaa kuna watu mijinga dunia hii
Siku zote asiyejua akijuzwa huona wanaojua wanapomjuza wajinga. Tuache itikadi tutafute ukweli au hata possibility.
Kuna possibility kubwa Uislamu ulianzishwa na Roma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom