Wewe ndo ...........kabisa hujui we Anikajema .
Cha kushangaza unashangazwa na nn
et hivi vitu vinapatikana Africa tu
hahahaha hizo link za Africa????????
Trump waAfrica????????
Hitler wa Africa??????????
Alberto rivera wa Africaaaa??????
Sikushangai Sikushangai Sikushangai Sikushangai Sikushangai
Ngoja nikudokeze tuu Europe Dini ni kidogo sana na Atheist ni wengi sana tena asilimia kubwa wawenye dini ni 40-60% tuu tena wengi ni RC maana
wanajua madhehebu mengine yote ya kikristo yameanza kama MAJIMAJI WAR amna ukweli no true.
Ni kwamba wengi bado wanaimani na RC maana uki Trace unaona kiini chake ni Yesu na Petro hata ubishe vipi huo ndo ukweli.
Wengi wa Makanisapesa wameachana nayo nenda makanisa yaki PROTESTANT Namakanisa madogo madogo ya kupiga pesa Ujerumani na Europe utakuta wazee na watoto tena angalau häta watu 10----40
Ila makanisa ya RC wapowengi tena nibaada ya juhudi za Majesuit kuanzisha Religion dialogue nyingi wanazojua kwa uzoefu wao na elimuzao amna mtu duniani atawashinda kwenye dialogue hizo na nivigumu.Ilawao kuwashinda ni simple ndomaana päpa wasasa Fransis ana penda sana religious dialogues na ana supoort huko Europe.
Sema wazungu sadaka wanakatwa kwenye mishahara yao sema wazungu sadaka wanakatwa kwenye mishahara yao ........
ninavyojua kwa Ujerumani wanakatwa asilimia 18 watu wote wafanyakazi serikalini kma sijakosea.
hatawasipoenda church RC na Anglican na Uchache Lutheran wanapewa fedha za kurun school na hospital tena nikupunguza Fees wanazotoza kwa wanaohudumiwa basi.
yanikama Shule ilikupasa kulipa 1m Unapunguziwa hadi 6au700,000 kwa Tsh