Vatican inamiliki dunia

Vatican inamiliki dunia

Ili utoboe kimaisha lazima usome vitabu mno, kwa ulegevu wa kumezeshwa mambo ya huu ulimwengu "WENGI WATAPOTEA"
"watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" ilikuwa kauli ya masikitiko kwa MUUMBA dhidi ya viumbe vyake vinavyotaka mteremko tuu...
Wanasema "Ufalme wa MUNGU unatekwa na wenye nguvu" knowledge is power

Sent using Jamii Forums mobile app
ndo hivyo lazima uwe free thinker
 
Upo umu jukwaani kudanganya watu mauongo kuhusu Roman utazani wamekuoa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe upo uku jukwaani ukidanganya watu kuhusu Islam ukizani wana ku..........
si kila uzi lazima ukoment acha ushamba
nime ku trace naona unapenda likes na ku comment upuuzi.
Andika uzi wako nami niuone nije challenge.
Acha umama

BULL SHIT KABISA
 
Umejaliwa uwezo wa kusoma ila ukanyimwa uwezo wa kuelewa unachosoma na kuandika!

Pole sana, hebu tulia usome kwa utulivu maana ya ulichoandika uone kama inawiana na hoja unayoimaanisha ndugu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aeleweki mtoto wa Mama Hellen.
Tunawaomba SDA wakachimbue kaburi atakuwa ajaoza labda ni Saint
 
HUWAJUI MAJESUIT ZAIDI UNADANGANYWA TU

NGOJA NIKUPE ELIMU KUHUSU HILI HATARI DUNIANI

kundi la ‘Jesuit Society' maana wao ndio waliomfundisha Adam Weishaupt ambaye ni muasisi wa Illuminati. Shirika la Jesuits lilianzishwa na Ignatius Loyola aliyezaliwa mwaka 1491 na kufariki Julai 31, 1556. Sherehe ya Ignatius Loyola hufanyika kila ifikapo Julai 31 ya kila mwaka, siku aliyokufa. Mkuu wa shirika la Jesuit anaitwa "Black Pope" yaani "Papa Mweusi."

Hapa haimaanishi kuwa mkuu huyo anatakiwa awe wa rangi nyeusi yaani mwafrika bali neno ‘black' linamaanisha ‘asiyeonekana,' na kwa maana hiyo Jesuit Society wanafanya kazi za siri, zisizoonekana, tena za giza ambazo ni kinyume na nuru ya neno la Mungu. Shirika hili lilianzishwa ikiwa ni matokeo ya kanisa Katoliki kupiga vita uprotestant. Kujitoa kwa Loyola katika kulitumika kanisa kunaweza kuonekana kwenye kanuni 13 za shirika la Jesuits zinazolihusu kanisa; "Rules for thinking with the church" anaposema "I will believe that the white that I see is black if the hierarchical Church so defines it". Kwamba "nitaamini rangi nyeupe ninayoina kuwa ni nyeusi kama mfumo wa uongozi wa kanisa utatafsri hivyo."

Na ndivyo ilivyo katika shirika hili ya kwamba mtu anapaswa kuamini na kufanyia kazi kile anachofundishwana kanisa hata kama dhamira yake inamwambia kuwa hicho si sahihi. Hebu soma nukuu hizi ili tuone chanzo cha chama cha Jesuits: "Kuinuka kwa dhama za giza kulitokana na kuruhusu Biblia ipatikane kwa urahisi hata kwa watu wa kawaida na mafundisho ya waprotestant wanamatengenzo.

Mafundisho haya yalikuwa na msingi wa kutafsiri unabii kutokana na historia; yaani kuwakilisha siku 1260 za Danieli na Ufunuo kuwa miaka 1260. Viongozi wa matengenezo kama Luther, Calvin, Huss, Wycliff, Knox, Latimer, Cranmer, Ridley, Hooker, Newton na wengine waliamini hivyo na kufundisha." Ibid p 7. "Kwa kutumia mbinu hii ya kutafsiri unabii, kanisa la Roma lilionekana wazi kuhusika na unabii huu wa pembe ndogo katika Daniel 7, na mnyama wa Ufunuo 13:1, mwanamke wa Ufunuo 17, ikiwa ni pamoja na kichwa cha kanisa kuwakilisha Mtu wa Kuasi wa 2 Wathesalonike 2. Kadri mafundisho haya yalivyozidi, kanisa la Roma lililazimika kujilinda dhidi ya kuongezeka kwa ushahidi wa unabii wa Biblia kulihusisha kanisa hilo. Hivyo upapa ukaanza kuweka mipango ya kuwapinga waprotestant kwa kuanzisha ‘Jesuit society' ili kisaidie kufundisha mafundisho ya kanisa na kuharibu mafundisho na vitabu vyote vilivyokuwa kinyume na kanisa na kuanzisha "Holy Office of the Inquisition" maalumu kwa ajili ya kuwatesa hata kuwaua wapinzani wa kanisa." Ibid. pp 126, 127. Kati ya mwaka 1524 na mwaka 1537 Loyola alisomea Theology huko Hispania na Ufaransa.

Mwaka 1534 alifika Ufaransa wakati wa kipindi cha mapambano dhidi ya uprotestant, mapambano ambayo yalimfanya John Calvin akimbie kutoka Ufaransa. Mwaka 1539, Loyola akiwa na wenzake walifanikiwa kuanzisha muungano na kuuita ‘Society of Jesus'. Mwaka uliofuata yaani 1540 chama hicho kikapewa baraka na Papa Yohana III na ilipofika mwaka 1548 Papa huyo akatoa kibali kwa Society of Jesus ili kiweze kushughulika na maswala ya kiroho.

Loyola alikufa mnamo Julai 31, 1556 na akabarikiwa na Papa Paul V mwaka Julai 27, 1609, akapewa hadhi ya utakatifu Machi 12, 1622 na Papa Gregory XV na akatangazwa kuwa kiongozi wa maswala la kiroho mwaka 1922 na Papa Pius XI. Jina kamili la Loyola lilikuwa ni Íñigo akiwa ni mtoto wa mwisho kati ya watoto 13. Baada ya kifo cha mama yake mwaka 1506 Íñigo alichukua jina la mwisho "de Loyola" kutokana na jina la mji ulioitwa Loyola ambako alizaliwa.

Akaamua kutumia jina la "Ignatius of Loyola" yaani Ignatius anayetokea mji wa Loyola. Mwaka 1534 aliwakusanya marafiki zake sita ambao alikutana nao chuo kikuu wakiwa ni wanafunzi wenzake ambao ni Francis Xavier, Alfonso Salmeron, Diego Laynez na Nicholas Bobadilla wote wakiwa ni Wahispania; Peter Faber akiwa ni Mfaransa; na Simao Rodrigues aliyekuwa Mreno. Asubuhi ya tarehe 15 Agust 1534, katika kanisa la Our Lady of the Martyrs huko Montmartre, Loyola akiwa na wenzake sita ambapo mmoja wa marafiki hao alikuwa ni padre, waliapa kutumika maisha yao yote. Ignatius akawa ndiye kiongozi mkuu (Superior General) wa chama cha Yesu – Society of Jesus. Yeye ndiye aliyetunga katiba ya chama hicho mwaka 1540

. .

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni wale ambao mnapinga Blood Transfussion????
 
Huyu si ndiye yule mama aliye tabiri tarehe ya mwisho wa dunia wakati Yesu alisema hata yeye haijui ila Baba. Kanisa likaanzishwa katika misingi ya uongo wa nsma huyu.
Nazani wakafukue kaburi labda hajaoza huyu ni Saint of All Saint
 
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa

“alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].

Asema hivi yule Nabii:

“Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.” Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18.
ae7a1c4de023bbda2da0a25e30e725f6.jpg

Tyndale aliuliwa na utawala wa kipapa kwa kutafsiri biblia...



Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao],
da95cf61b762f5a8bb3ffa13c0e24c5f.jpg

b601c77df03518a6574d5fdbdf97b1ea.jpg


mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,” kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo.

Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.

014c67cfdb1f454cb6ffad5c5931e2e5.jpg

2d74043e7497ad8b2d6a027cbaa597c5.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima wangechomwa moto tu embu nenda ikulu kwa speed.bila invitation alafu ikipita dk 2 Utakutana na mama hellen na bill Graham.
ata kama huna silaha ww acha kukariri kuna vitu havipingiki
 
In summary form. Wakatoliki walitaka kila mtu aamini ukatoliki namna pekee ilikuwa kwa upanga wa moto. Lakini jesuit waliona kuwa kama katoliki ingeshiriki katika hili baadaye ingekuja kuwa critized. So what, they decided to create part B church (Islam) to accomplish the mission and MUD the jesuit was given the task before he bertrayed and started claiming he received from God. Na kwa kuwa ndicho alichowaaminisha wafuasi wake alikuwa na ukweli wake. But wataalamu wa theology wanasema at end MUD was on his movement back to his origin. UNAAMBIWA.
Nakuhurumia sana....ebu tubu kwa Mola wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe upo uku jukwaani ukidanganya watu kuhusu Islam ukizani wana ku..........
si kila uzi lazima ukoment acha ushamba
nime ku trace naona unapenda likes na ku comment upuuzi.
Andika uzi wako nami niuone nije challenge.
Acha umama

BULL SHIT KABISA
Nani kakwambia kua mm ni muislam?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom