Vatican inamiliki dunia

AROON nimekufuatilia sana ila ujue kitabu cha ufunuo kiliandikwa mda gani alafu gusa
hapa List of dates predicted for apocalyptic events - Wikipedia uone toka miaka ya karne ya 1 watu walipredict mwisho wa dunia mitiririko yote ipo hapa
Hao waliopredict mwisho wa dunia ni matapel au walikosea tu

Ukweli ni huu haijalish yohana aliandika ufunuo muda gan, ila ukwel ni kwamba Ufunuo una predict had kuja kwa yesu mara ya pili

Hata ndoto ya daniel 2 inaonesha had mwisho JIWE LINAIVUNJAVUNJA MIGUU ya sanamu na kuisambaratisha ,

Hiyo miguu ni Utawala wa mwisho ambao kiongoz wao ni VATCAN na mataifa yale 10 yaan vidole 10

Soma vzr maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka vitabu vilipigiwa kura papa amaelezea hapa yaliyo fanyika by BBS
Angalia Hii
Internet.org

Hiyo
Internet.org
Kwa hiyo hata baadhi ya vitabu waliongezea maandishi has a vya mwisho maana viliandikwa kwenye ngozi na mawe na vilikaa sana
 
Kumbuka vitabu vilipigiwa kura papa amaelezea hapa yaliyo fanyika by BBS
Angalia Hii
Internet.org

Hiyo
Internet.org
Kwa hiyo hata baadhi ya vitabu waliongezea maandishi has a vya mwisho maana viliandikwa kwenye ngozi na mawe na vilikaa sana alafu ukitaka enjoy usi base upande mmoja angalia kote....
Kuna Ant SDA source's
Ant Lutheran sources
Ant Islamic sources
Nk.
Utaona madudu kama
Mama Hellen alikuwa mwanamke Freemasons wa 1.
Na nando aliwapigania world Freemasons wawa kubalie wanawake km sasa.
Mimi na angalia pande zote ndonna faidi kuliko Ww unaeangalia pande moja.
Na kufikiri upoooooooooo safe wa Dini yako.
 
Acha uzushi EGW hakuwa freemason. Na freemason hawampend mpaka kesho

Bcoz , ukatolik na ufreemason ni kitu kimoja

Aliwapinga had anapokufa , alieleza had mbinu zao za kuunganisha makanisa huku Roma akiwa ni mkubwa wao

Nitakuletea KUHUSU roho tatu za uchafu

Akiwepo MNYAMA (ROMA)

JOKA(SHETAN)

NABII WA UONGO(MAKANISA YA KIPROTESTANT YENYE TABIA ZA ROMA)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haiwezekani kujua undani wa Kanisa Katoliki kwa kutumia maoni ya watu wengine (secondary sources). Kuna mengi yanasemwa kuhusu Kanisa Katoliki na mengine yanaonekana kweli (apparent truth), lakini siyo kweli (truth) na baadhi ya watu wenye elimu ya 'kawaida' au 'ndogo' kuhusu Kanisa Katoliki huwa wanashawishika sana na maoni kama haya, ambayo huwa yamechanganywa na ukweli kidogo (ili mtu aweze kuamini) na uwongo mwingi (ili aweze kupotoshwa vizuri). Lakini je ni kwa faida ya nani na inasaidia nini?
 
Sorry! NI mawazo yako tu.
 
Soma history ya bible
 
Kwenye hayo maandiko vatican imeandikwa?au ni hisia tu na tafsiri za Hellen!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…