Vatican inamiliki dunia

Vatican inamiliki dunia

AROON nimekufuatilia sana ila ujue kitabu cha ufunuo kiliandikwa mda gani alafu gusa
hapa List of dates predicted for apocalyptic events - Wikipedia uone toka miaka ya karne ya 1 watu walipredict mwisho wa dunia mitiririko yote ipo hapa
Hao waliopredict mwisho wa dunia ni matapel au walikosea tu

Ukweli ni huu haijalish yohana aliandika ufunuo muda gan, ila ukwel ni kwamba Ufunuo una predict had kuja kwa yesu mara ya pili

Hata ndoto ya daniel 2 inaonesha had mwisho JIWE LINAIVUNJAVUNJA MIGUU ya sanamu na kuisambaratisha ,

Hiyo miguu ni Utawala wa mwisho ambao kiongoz wao ni VATCAN na mataifa yale 10 yaan vidole 10

Soma vzr maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao waliopredict mwisho wa dunia ni matapel au walikosea tu

Ukweli ni huu haijalish yohana aliandika ufunuo muda gan, ila ukwel ni kwamba Ufunuo una predict had kuja kwa yesu mara ya pili

Hata ndoto ya daniel 2 inaonesha had mwisho JIWE LINAIVUNJAVUNJA MIGUU ya sanamu na kuisambaratisha ,

Hiyo miguu ni Utawala wa mwisho ambao kiongoz wao ni VATCAN na mataifa yale 10 yaan vidole 10

Soma vzr maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka vitabu vilipigiwa kura papa amaelezea hapa yaliyo fanyika by BBS
Angalia Hii
Internet.org

Hiyo
Internet.org
Kwa hiyo hata baadhi ya vitabu waliongezea maandishi has a vya mwisho maana viliandikwa kwenye ngozi na mawe na vilikaa sana
 
Hao waliopredict mwisho wa dunia ni matapel au walikosea tu

Ukweli ni huu haijalish yohana aliandika ufunuo muda gan, ila ukwel ni kwamba Ufunuo una predict had kuja kwa yesu mara ya pili

Hata ndoto ya daniel 2 inaonesha had mwisho JIWE LINAIVUNJAVUNJA MIGUU ya sanamu na kuisambaratisha ,

Hiyo miguu ni Utawala wa mwisho ambao kiongoz wao ni VATCAN na mataifa yale 10 yaan vidole 10

Soma vzr maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka vitabu vilipigiwa kura papa amaelezea hapa yaliyo fanyika by BBS
Angalia Hii
Internet.org

Hiyo
Internet.org
Kwa hiyo hata baadhi ya vitabu waliongezea maandishi has a vya mwisho maana viliandikwa kwenye ngozi na mawe na vilikaa sana alafu ukitaka enjoy usi base upande mmoja angalia kote....
Kuna Ant SDA source's
Ant Lutheran sources
Ant Islamic sources
Nk.
Utaona madudu kama
Mama Hellen alikuwa mwanamke Freemasons wa 1.
Na nando aliwapigania world Freemasons wawa kubalie wanawake km sasa.
Mimi na angalia pande zote ndonna faidi kuliko Ww unaeangalia pande moja.
Na kufikiri upoooooooooo safe wa Dini yako.
 
Kumbuka vitabu vilipigiwa kura papa amaelezea hapa yaliyo fanyika by BBS
Angalia Hii
Internet.org

Hiyo
Internet.org
Kwa hiyo hata baadhi ya vitabu waliongezea maandishi has a vya mwisho maana viliandikwa kwenye ngozi na mawe na vilikaa sana alafu ukitaka enjoy usi base upande mmoja angalia kote....
Kuna Ant SDA source's
Ant Lutheran sources
Ant Islamic sources
Nk.
Utaona madudu kama
Mama Hellen alikuwa mwanamke Freemasons wa 1.
Na nando aliwapigania world Freemasons wawa kubalie wanawake km sasa.
Mimi na angalia pande zote ndonna faidi kuliko Ww unaeangalia pande moja.
Na kufikiri upoooooooooo safe wa Dini yako.
Acha uzushi EGW hakuwa freemason. Na freemason hawampend mpaka kesho

Bcoz , ukatolik na ufreemason ni kitu kimoja

Aliwapinga had anapokufa , alieleza had mbinu zao za kuunganisha makanisa huku Roma akiwa ni mkubwa wao

Nitakuletea KUHUSU roho tatu za uchafu

Akiwepo MNYAMA (ROMA)

JOKA(SHETAN)

NABII WA UONGO(MAKANISA YA KIPROTESTANT YENYE TABIA ZA ROMA)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya Research yeyote ya underground utagundua All Roads lead to Rome Vatican.
Vatican inatumia


1.Jesuit.

Wasomi na
MaBingwa wa intelligence.
Chunguza college na university zao na Theology seminar Zao dunian utaona
Alumni wao wengi ni Maafsa Usalama
Wengi dunian.
Na Maraisi km Bill Clinton.
Donald Trump.
Nguvu zao zinajidhihirisha hapa

Trump roasts Clinton at Al Smith charity dinner





Trump leads Catholic vote


Pray for Donald Trump to Become Catholic



Fidel Castro. Nk
Na Ma CEO wengi ikiwamo Mo Dewgi na Rostam Aziz nk
Haw Majesuit wana run Intelligence. Leadership.Education. Bank.Technology n.k
2.Knights of Templar.
Hawa jisomee zaidi





Hawa wanarun Secret institution.
Nawana Oppose Islamic law.

3.Knights of Malta


Wana run Donations na Insurance n.k

4. 13 Families.






Hawa wapo chini ya papa ki siri na wanaendesha Mali za Dunia indirectly.

5.All word institution na Religious congregations.
Vatican imeumiza vichwa kumpata Queen wa Uingereza ambaye ni mkatoliki wakakosa waka mwendesha Queen Elizabeth 2.
Chini ya Knights of Malta ona hapa

Intel on the Sovereign Military Order of Malta
Ndo utajua Modern Freemason wa mwaka 10-sasa wanaendeshwa na vatican kutumia knight of Malta na Jesuit ndo maana nikawaida 33degree mason kukutana na Superior General wa Jesuit.
Kwa mujibu wa kitabu Vatican Assassin ona Eric Jon Phelps - All Roads Lead to Rome
Eric John anaeleza ni vigumu Freemason wadogo kujua ila wenye 33degree wanajua haswa na pesa wanapeleka Fungu la 10 vatican.
Anaendelea kueleza kuwa vatican ilikuja ku orgaize freemason maana walijua mbeleni watawashika watu wakubwa wa dini nyingine na ambao hawapo kwenye any Catholic congregation na Secret societies za kikatoliki
kama
  1. Opus Dei ona hapa "Opus Dei Revealed" - A Powerful Group inside the Roman Catholic Empire The Opus(Documentary) How Dangerous Is Opus Dei
  2. All Catholic Knights Secrets of the Knights Templar - Full Documentary History Channel Documentary Secrets of the Knights Templar Join the Holy League movement of Catholic Men - Cardinal Burke U.S. Presidents and Leaders are Agents of the Roman Catholic Knights of Malta nk Nawatatumiwa kwa Mnufaa ya Kanisa Katoliki na Mpango wake wa kutawla dunia N.W.O






Vatican wamefanikiwa 90%kuendesha dunia na 10% wamefeli.
Wamefanikiwa kushika ma dictator na kuwaendesha kwa manufaa yao
Ona
A.Adolf Hitler


View attachment 980221


View attachment 980223


B.Benito Mussolini









Kanisa katoliki wana kuja kwa nguvu tena na ujanja mwingi. wanauzia waislamu makanisa huko Italia na Baadhi ya nchi za Europe kwa pesa nyingi na kuyabadilisha kuwa misikiti wakisema wanawavutia wahamiaji waislamu na Mungu anawapenda wahamiaji wakitumia kama kigezo cha kuwachezea .Cha ajabu wanajenga Makanisa mapya makubwa UAE. Iran.Iraq. na Nchi nyingine za Waislamu wengi na Ardhi wanapewa bure na Wafalme wa nchi hizo pamoja na vifaa vya ujenzi vya gharama.
FaizaFoxy uje na ujionee trick za hawa watu ukifurahi makanisa kuwa misikiti uone nahuku.
Yericko Nyerere kweli hawa ni zaidi ya majasusi.
On a




ST MARY's CHURCH, DUBAI

Second catholic church in Mussaffah, Abu Dhabi inaugurated
Hawa Jamaa ni mwisho wana convert Muslim to Catholic kwa kasi on a
New Catholic Church opens its doors in the United Arab Emirates
Actress who converted to Catholicism: Not true today's Church is old
Germany Accuses Muslim Migrants Of Converting To Christianity To Get Asylum (HBO)

Potential Catholic-convert after attending pope's General Audience
Catholic church receives 200 converts

Atheist blogger adopts Catholicism
Amakweli hawa watu noma
First UAE Swahili Catholic Mass

Pope Francis meets with Saudi Arabian representative in the Vatican
In
Philippines


9 Untold Secrets of the Catholic Church In The Philippines
Angalia jinsi wanavyojaza watu WYD16 Thurs Mass Homily - Cardinal Tagle
Pope anapata wafuasi wengi kutokana na maisha yake ya kujitoa.
Philippines: Pope Francis arrives in Asia's most populous Catholic country

Is the Philippines the only Catholic country in Asia

Watch: Filipino Catholics climb onto statue of Jesus

Video protestant dislike Catholic to watch.
The video that no PROTESTANT wants you to see!
Video Muslim dislike catholic to watch.
Donald Trump: 'I think Islam hates us'
ISLAM or CHRISTIANITY - Which Religion Is Better?


Catholic will stay Everlasting.
Nimegundua wakatholik walianzisha Islam
Ex Jesuit Priest Alberto Rivera Reveals How the Vatican created Islam
Ex Jesuit Alberto Rivera and others Speak on Jesuit infiltration
Ex Jesuit Alberto Rivera The Greatest Deceit and today´



Noma hawa Jamaa.wataendesha dunia milele na Hawatapata pingamizi lolote kanisa la Mungu.wanaamini
  1. Kanisa ni moja
  2. Kanisa ni Takatifu
  3. Kanisa ni Katoliki
  4. Kanisa la Kitume
  5. Kanisa ni la Kimissionary.
Is the pope head of the world's most powerful government? | The Economist


Kama una positive to Add your warmly invited to add

Haiwezekani kujua undani wa Kanisa Katoliki kwa kutumia maoni ya watu wengine (secondary sources). Kuna mengi yanasemwa kuhusu Kanisa Katoliki na mengine yanaonekana kweli (apparent truth), lakini siyo kweli (truth) na baadhi ya watu wenye elimu ya 'kawaida' au 'ndogo' kuhusu Kanisa Katoliki huwa wanashawishika sana na maoni kama haya, ambayo huwa yamechanganywa na ukweli kidogo (ili mtu aweze kuamini) na uwongo mwingi (ili aweze kupotoshwa vizuri). Lakini je ni kwa faida ya nani na inasaidia nini?
 
Acha uzushi EGW hakuwa freemason. Na freemason hawampend mpaka kesho

Bcoz , ukatolik na ufreemason ni kitu kimoja

Aliwapinga had anapokufa , alieleza had mbinu zao za kuunganisha makanisa huku Roma akiwa ni mkubwa wao

Nitakuletea KUHUSU roho tatu za uchafu

Akiwepo MNYAMA (ROMA)

JOKA(SHETAN)

NABII WA UONGO(MAKANISA YA KIPROTESTANT YENYE TABIA ZA ROMA)

Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry! NI mawazo yako tu.
 
Hao waliopredict mwisho wa dunia ni matapel au walikosea tu

Ukweli ni huu haijalish yohana aliandika ufunuo muda gan, ila ukwel ni kwamba Ufunuo una predict had kuja kwa yesu mara ya pili

Hata ndoto ya daniel 2 inaonesha had mwisho JIWE LINAIVUNJAVUNJA MIGUU ya sanamu na kuisambaratisha ,

Hiyo miguu ni Utawala wa mwisho ambao kiongoz wao ni VATCAN na mataifa yale 10 yaan vidole 10

Soma vzr maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma history ya bible
 
Hao waliopredict mwisho wa dunia ni matapel au walikosea tu

Ukweli ni huu haijalish yohana aliandika ufunuo muda gan, ila ukwel ni kwamba Ufunuo una predict had kuja kwa yesu mara ya pili

Hata ndoto ya daniel 2 inaonesha had mwisho JIWE LINAIVUNJAVUNJA MIGUU ya sanamu na kuisambaratisha ,

Hiyo miguu ni Utawala wa mwisho ambao kiongoz wao ni VATCAN na mataifa yale 10 yaan vidole 10

Soma vzr maandiko

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hayo maandiko vatican imeandikwa?au ni hisia tu na tafsiri za Hellen!
 
Back
Top Bottom