Vatican inamiliki dunia

Vatican inamiliki dunia

Mbona mkiambiwa ukweli mnakuwa wakali

KUNA MTU ASIYEJUA VATCAN INAONGOZWA NA JOKA KUUA NA KUPOTEZA DUNIA KWA UPAGANI?

"Na ndani yake ilionekana damu ya watakatifu, na ya wale wote waliouawa juu ya nchi". Ufu 18:24.
Rejea pia usome Danieli 7:25 kisha Est 3:8-10 kisha_fuatana_nami
Ni nani huyo muuaji?
(Sikia alichopata kuchosema Baron Deponnat kiongozi mashuhuri wa Ufaransa)
Anasema :-
"Roman katoliki lilizaliwa katika damu likawekewa_ukuta wa damu lilituliza_kiu_yake kwa damu na ni kwa herufi za damu historia yake imeandikwa. Utendaji wao unakwenda bila kuacha mapigo ya mirindimo_ya_viapo vya damu!"

Sasa_hapa_utasema_limejengewaje_kwa_damu?
Mamlaka ya Papa imekuwa ikitekeleza mateso dhidi ya wale wanaopinga madai yake, kama haki iliyopewa na Mungu.
Papa Martin V(1417-1431 B.K) alitoa maelekezo yafuatayo kwa mfalme wa Poland kuhusiana na Wakristo wa kweli waliokuwa wafuasi wa John Huss.

Hakikisha_unawaangamiza_wafuasi_wote_wa_Huss. Kumbuka kuwa watu wenye kukufuru wanathubutu kanuni za uhuru; wanadai

Wakristo_wote_ni_ndugu....wanadai kwamba Kristo alikuja duniani kukomesha utumwa; wanawaita watu wawe huru...

Choma_ua_kwa_wingi,fanya mahali pawe jangwa,kwani hakuna jambo linalokubalika zaidi kwa Mungu/linalofaa zaidi lenye manufaa zaidi ktk wajibu wa wafalme,kama vile kuwaangamiza wafuasi wa Huss."(L.M.de Cormentin, The Public and Private History of Popes of Rome, Vol. III, uk.116-117.

JE_WAMEISHIA_HAPO_TU

"Mapapa pamoja na mawakala wa Kijesuiti, hadi sasa wamekuwa ndiyo wainjiniaji_wa_vita, na wakati ulimwengu ukiugulia maumivu ya kweli,
Roma_hushikilia_shampeni."
Maneno taliyotamkwa na Jeremia J. Crowley (Padri wa zamani wa Kikatoliki).
Romanism: A Manace to the Nation, Menace Publishing uk 144.
Haitoshi
Naye Edmond Paris ameandika hivi:-
"Mtu aweza kusema kwa uhakika kwamba mnamo mwaka 1914 kanisa la Roma lilianzisha_mfumo_wa_vita_vibaya.ilikuwa kwamba, utambulisho wa damu ambayo wakati wote amechukua kwa wanadamu ikaanza kuumuka na kuwa tufani ya kutisha." The Vatican Against Europe, The Wickliffe Press uk 48.

Hivyo_ndivyo_Roma_imetenda_inaenendelea_na_itaendelea kakini atavuna_tu_alichopanda Ufu 9

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uzushi EGW hakuwa freemason. Na freemason hawampend mpaka kesho

Bcoz , ukatolik na ufreemason ni kitu kimoja

Aliwapinga had anapokufa , alieleza had mbinu zao za kuunganisha makanisa huku Roma akiwa ni mkubwa wao

Nitakuletea KUHUSU roho tatu za uchafu

Akiwepo MNYAMA (ROMA)

JOKA(SHETAN)

NABII WA UONGO(MAKANISA YA KIPROTESTANT YENYE TABIA ZA ROMA)

Sent using Jamii Forums mobile app
Marehemu Hellen popote aliko namsalimia
 
Vatican 100%RC
Kuna nchi Sunni100%
Kisiwa SDA 100%
Uo upagan umetoa Wap???
AROON???
ROMA YA KIPAGAN ILIHAMISHA UPAGAN WAKE NA KUVAA VAZ LA UKRISTO

NDIO MAANA TARATIBU ZOTE ZA VATCAN NA UKATOLIK NI UPAGAN

Roma bado inatawala dunia: ingawa ilianguka mwaka 476 AD ila athari zake zilikula dunia yote, ndo maana primary tulisoma no. za Kirumi na hata saa na Kalenda tunatumia za Kirumi na mataifa mengi yana sheria za Roma mpaka lugha zao tunazitumia. Roma haikuanguka kama inavyosemwa bali ilisambaratika na kuwa nchi za Ulaya ambazo zilikuja kuwa zenye nguvu na kutawala karibu dunia yote na kusambaza utamaduni wao. Mfano Uingereza imetawala bara Asia mpaka bara Arabu, hata ufalme wa Yordan, Saudia, Qatar zimewekwa na Uingereza. Kwaiyo ukisikia jumuiya ya madola tambua hizo ni nchi zilizotawaliwa na the greater Britain. Na Ufaransa, Spain, Portugal nazo hivo hivo.
Ulaya(Roma ya zamani) bado ina mkono mkubwa juu ya nchi za dunia hii. Ndo maana wameweka mahakama yenye sheria za Roma(The hague) ambayo daima ikiwahukumu viongozi wa nchi maskini, utake usitake ukiitwa hapo utaenda tu, na ukibisha utatolewa kwa bunduki.
Nabii Daniel alisema hivi juu ya Roma.
23 Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande. Daniel 7
Huu utawala wa Roma utadumu mpk Kuja kwa Yesu. Roma imeathiri dunia kisiasa, kidini, kisheria na kitamaduni na nchi yeyote inayokataa hoja za Roma lazima iangamizwe. Sadamu, Gadafi waliangamizwa sababu walipingana na utawala wa Roma, na sahivi Assad anakinywea kisha # Iran itapotezwa. Nabii aliona jinsi wana wa Ishmael(waarabu) wanavyopinduliwa na Roma maana hao waliifukuza Roma karne ya 7 na Roma ikajirudi tena kwa namna ya kuwaweka vibaraka wao ktk falme za Kiarabu kama ufalme wa Saudia, Qatari, UEA na Jordan hao wote ni puppet wa Roma. Na wote watakao pinga watafanyiwa hivi:-
Naye ataunyosha mkono wake juu ya nchi hizo, hata na nchi ya Misri haitaokoka. Daniel 11:42
Utawala wa Roma utaziangusha nchi zote pinzani zikiwemo nchi za Kiarabu na dunia itamstajabiwa mnyama yule(ufalme huo) na kuufata. Ufunuo 13:3 NIV
ROMA itatengeneza utawala wa dini na kulazimisha dunia yote kufata dini hiyo na watakao pinga watauawa.
Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe. Ufunuo 13:5
Roma haitaangushwa na wanadamu......
......wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye? Ufunuo 13:4
Roma itaangushwa na Mungu tu.
Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu. Ufunuo 18:8
Take care usije anguka na Roma



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nielimishe
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa

“alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].

Asema hivi yule Nabii:

“Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.” Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18.
ae7a1c4de023bbda2da0a25e30e725f6.jpg

Tyndale aliuliwa na utawala wa kipapa kwa kutafsiri biblia...



Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao],
da95cf61b762f5a8bb3ffa13c0e24c5f.jpg

b601c77df03518a6574d5fdbdf97b1ea.jpg


mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,” kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo.

Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.

014c67cfdb1f454cb6ffad5c5931e2e5.jpg

2d74043e7497ad8b2d6a027cbaa597c5.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mkiambiwa ukweli mnakuwa wakali

KUNA MTU ASIYEJUA VATCAN INAONGOZWA NA JOKA KUUA NA KUPOTEZA DUNIA KWA UPAGANI?

"Na ndani yake ilionekana damu ya watakatifu, na ya wale wote waliouawa juu ya nchi". Ufu 18:24.
Rejea pia usome Danieli 7:25 kisha Est 3:8-10 kisha_fuatana_nami
Ni nani huyo muuaji?
(Sikia alichopata kuchosema Baron Deponnat kiongozi mashuhuri wa Ufaransa)
Anasema :-
"Roman katoliki lilizaliwa katika damu likawekewa_ukuta wa damu lilituliza_kiu_yake kwa damu na ni kwa herufi za damu historia yake imeandikwa. Utendaji wao unakwenda bila kuacha mapigo ya mirindimo_ya_viapo vya damu!"

Sasa_hapa_utasema_limejengewaje_kwa_damu?
Mamlaka ya Papa imekuwa ikitekeleza mateso dhidi ya wale wanaopinga madai yake, kama haki iliyopewa na Mungu.
Papa Martin V(1417-1431 B.K) alitoa maelekezo yafuatayo kwa mfalme wa Poland kuhusiana na Wakristo wa kweli waliokuwa wafuasi wa John Huss.

Hakikisha_unawaangamiza_wafuasi_wote_wa_Huss. Kumbuka kuwa watu wenye kukufuru wanathubutu kanuni za uhuru; wanadai

Wakristo_wote_ni_ndugu....wanadai kwamba Kristo alikuja duniani kukomesha utumwa; wanawaita watu wawe huru...

Choma_ua_kwa_wingi,fanya mahali pawe jangwa,kwani hakuna jambo linalokubalika zaidi kwa Mungu/linalofaa zaidi lenye manufaa zaidi ktk wajibu wa wafalme,kama vile kuwaangamiza wafuasi wa Huss."(L.M.de Cormentin, The Public and Private History of Popes of Rome, Vol. III, uk.116-117.

JE_WAMEISHIA_HAPO_TU

"Mapapa pamoja na mawakala wa Kijesuiti, hadi sasa wamekuwa ndiyo wainjiniaji_wa_vita, na wakati ulimwengu ukiugulia maumivu ya kweli,
Roma_hushikilia_shampeni."
Maneno taliyotamkwa na Jeremia J. Crowley (Padri wa zamani wa Kikatoliki).
Romanism: A Manace to the Nation, Menace Publishing uk 144.
Haitoshi
Naye Edmond Paris ameandika hivi:-
"Mtu aweza kusema kwa uhakika kwamba mnamo mwaka 1914 kanisa la Roma lilianzisha_mfumo_wa_vita_vibaya.ilikuwa kwamba, utambulisho wa damu ambayo wakati wote amechukua kwa wanadamu ikaanza kuumuka na kuwa tufani ya kutisha." The Vatican Against Europe, The Wickliffe Press uk 48.

Hivyo_ndivyo_Roma_imetenda_inaenendelea_na_itaendelea kakini atavuna_tu_alichopanda Ufu 9

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye shampen noma.
Kumbe umekubali Roma itaendelea everlasting.????.
Sasa unabishia maandiko?
Nawashawasha
 
Kwenye shampen noma.
Kumbe umekubali Roma itaendelea everlasting.????.
Sasa unabishia maandiko?
Nawashawasha
Itakuwepo had pale ITAKAPOSAMABARATISHWA NA YESU MWENYEWE

MBONA NILIKUELEZA KUHUSU JIWE LINALOKUJA KWA KAS KUPIGA MIGUU YA SANAMU AMBAYO NI UTAWALA WA MWISHO AMBAO NI ROMA

KASOME DANIEL 2 ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nielimishe
Ufunuo 17:8 “Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nikastaajabu ajabu kuu”

Mwanamke katika unabii inawakilisha “kanisa”, Ufunuo 21:2 inasema, “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.” Na Ufunuo 21:9 inasema, “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”

Hivyo Yohana aliona kanisa ambalo limelewa damu ya watakatifu, na je kanisa hilo ni kanisa gani? Katika fungu la 1 Yohana aliambiwa na malaika kwamba “njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu.” Kahaba huyo, katika fungu la 5 ametajwa kama “mwanamke aliyeketi juu ya mnyama“, -mnyama- katika unabi inawakilisha “ufalme” au “taifa”;

5dbdb37c07cb766da7a5397b9f6ae5da.jpg



angalia Danieli 7:17

“Wanyama hao…wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani” na Danieli 7:23 “…Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia…”

Hivyo “mwanamke huyu aliyeketi juu ya mnyama” ni kanisa ambalo lina uwezo wa kidini na kisiasa kwa wakati mmoja (kanisa na serikali). Na Je ni kanisa gani hapa duniani lenye uwezo wa kidini na kisiasa? Ni kanisa la Romani Katoliki pekee! Ambapo kanisa katoliki ni “mwanamke” na Roma ni “mnyama”. Mpaka hapa hakuna haja ya ushahidi zaidi, lakini kwa sababu watu wana mioyo migumu kuamini ngoja tuongeze ushahidi zaidi usioweza kukatalika.
a8fe66046ab6d6f3624700a3b4ec3c46.jpg


Ufunuo 17:3 inasema, “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”

Mnyama huyu anayelichukua kanisa katoliki ana “vichwa 7” na “pembe 10”; hapa vichwa saba vinawakilisha milima saba, Ufunuo 17:9 inasema, “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”
d314dc57a45466bb2c36ec76cd9b6c68.jpg


Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?
*
Kanisa Katoliki linasema…
“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.
6e12cab82d08cdde8fdd6d81362767f3.jpg


“Je vilima saba vya Roma ni nini?
Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com

ENCYCLOPÆDIA BRITANNICA
Vilima saba vya Roma
“…kundi la vilima juu au kuhusu ambapo mji wa Roma wa zamani ulijengwa. Mji wa awali wa Romulus ulijegwa juu ya kilima Palatine (#1) (Kilatini: Mons Palatinus). Vilima vingine ni Capitoline, (#2) Quirinal, (#3) Viminal, (#4) Esquiline, (#5) Caelian, (#6) na Aventine (#7) (Vinavyojulikana kimoja kimoja kwa kilatini kama Mons Capitolinus, Mons Quirinalis, Mons Viminalis, Mons Esquilinus, Mons Caelius, na Mons Aventinus).” –http://www.britannica.com/seo/s/seven-hills-of-rome/

Hivyo mnyama mwenye vichwa 7 ambavyo ni milima 7 ni ufalme wa Roma, na mwanamke aliyeketi juu ya mnyama huyo au juu ya ile milima 7 ni Kanisa Katoliki. Mpaka hapa hakuna haja ya ushahidi zaidi, lakini ngoja tuongeze ushahidi mwingine labda ndungu watapata kuamini kwa huo.

Ufunuo 17:5 inasema, yule “mwanamke amekaa juu ya mnyama…mwenye pembe kumi“. Pembe katika unabii inawakilisha “mfalme/ufalme” au “taifa”, Danieli akitabiri kuhusu mnyama Roma alisema, “Na habari za zile pembe kumi [za mnyama], katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataoondoka baada ya hao;…naye atawashusha wafalme watatu” Danieli 7:24.

Hivyo pembe kumi ni wafalme kumi ambao wanatawala katika ufalme huo mmoja wa Roma. Baada ya dola la Roma kuanguka mwaka 476BK liligawanyika katika mataifa/wafalme kumi ambayo ni…

1.Saxon,
kwa sasa ni taifa la Uingereza.
2.Frank,
kwa sasa ni taifa la Ufaransa.
3.Alamanni,
kwa sasa ni taifa la Ujerumani.
4.Visigoth, kwa sasa ni taifa la Uhispania.
5.Suevi, kwa sasa ni taifa la Ureno.
6.Lombard,
kwa sasa ni taifa la Italia.
7.Burgundia,
kwa sasa ni taifa la Uswidi.8Heruli,
liling’olewa na pembe ndogo 493 B.K.
9Vandal, liling’olewa na pembe ndogo 534 B.K.
10.Ostrogoth,
liling’olewa na pembe ndogo 538 B.K.

Hizo ndio pembe kumi za mnyama Roma, Unabii katika Danieli 7:8 na 24 unasema kuwa, baada ya pembe hizo kumi ambazo ni wafalme kumi wa dola la Roma, kati yao ingetokea pembe nyingine ndogo ambayo ni mfalme mwingine, ambaye ni Uapa wa Vatikani; nao ungelikuwa tofauti na wale wafalme 10 kwa sababu una nguvu za kidini na kiserikali tofauti na wale 10. Pia pembe ndogo ambaye ni Upapa angezing’oa pembe 3 katika zile pembe 10 za mnyama Roma.

Baada ya kanisa katoliki kupitisha fundisho la utatu katika baraza la 2 huko Konstantinapoli mwaka 381bk, baraza liliamuru kwamba wote wasiokubaliana na imani ya utatu waangamizwe; hivyo mataifa ya Waario (Arians); watu ambao hawakuamini fundisho la utatu, mataifa yao matatu; Heluli, Vandalis, na Ostrogoth yaliangushwa na kanisa Katoliki. Hivyo Upapa ulizing’oa kabisa pembe hizo 3 kama Danieli alivyotabiri, na mataifa 7 yaliyobaki leo yanaitwa Umoja wa Ulaya [EU].

Hivyo yule mnyama mwenye pembe kumi na vichwa saba ambavyo ni milima 7 ni ufalme wa Roma, na yule mwanamke aliyeketi juu yake ni Kanisa Katoliki. Na hivyo yule mwanamke wa Ufunuo 17:6 “amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu…” ni kanisa Katoliki lenyewe. Je historia inathibitisha kuwa kanisa Katoliki liliwahi kumwaga damu ya watakatifu na mashahidi wa Yesu?
d654fd2bd441c93b46c86e4352d3356c.jpg


“Kwa sababu ya kufundisha imani kinyume na mafundisho ya Roma, historia inaonyesha vifo vya wafia dini zaidi ya milioni 100” –Brief Bible Readings, p 16.

Kanisa Katoliki linasema…
“Katoliki ana baadhi ya sababu kwa upande wake wakati anapotoa adhabu kwa waasi wa kidini, kwa maana anajidaia jina la Ukristo kwake mwenyewe kwa kuzuia, na anajidai kufundisha kwamba uwepo wa Roho wa Mungu kamwe hautaondoka kwake…Siyo kosa zaidi kumuua mtu kwa sababu ya uasi wa kidini, kuliko kwa sababu ya uuaji,…[na] katika mambo mengi mateso kwa maoni ya kidini siyo tu kwamba yanaruhusiwa, lakini ni ya busara na ya lazima.” –The Lawfulnees of Persecution” in the Rambler, 4, June, 1849, pp 119, 126. (“The Rambler” lilikuwa ni gazeti la kila siku la Romani Katoliki lililochapishwa kuanzia mwaka 1848 hadi 1862).
bf9d9aac84ca8d8d428b624ff98ae464.jpg


“Chini ya mawazo na desturi za kijerumani, mateso yalitumiwa kidogo kuanzia karne ya 9 hadi karne ya 12, lakini kwa uhuikaji wa sheria ya Romani mateso yalianzishwa tena katika karne ya 12…Katika mwaka 1252 (Papa) Innocent IV aliruhusu adhabu ya mateso juu ya waasi wa kidini kwa kutumia mamlaka ya kiserikali, na mateso yakaja kuwa na mahali palipojulikana katika utaribu wa mahakama ya kiuchunguzi.” –New Catholic Encyclopedia, arts. “Inquisition”, “Auto-da-Fe’,” na “Massacre of St Bartholomew’s Day.”
5fc891cdb2e0a4cd5079066254f26d3c.jpg


BWANA AWAITA WOTE WALIOPO KWA HUYU MNYAMA WATOKE HARAKA SANA


YHWH IS GOOD


Sent using Jamii Forums mobile app
 
ROMA YA KIPAGAN ILIHAMISHA UPAGAN WAKE NA KUVAA VAZ LA UKRISTO

NDIO MAANA TARATIBU ZOTE ZA VATCAN NA UKATOLIK NI UPAGAN

Roma bado inatawala dunia: ingawa ilianguka mwaka 476 AD ila athari zake zilikula dunia yote, ndo maana primary tulisoma no. za Kirumi na hata saa na Kalenda tunatumia za Kirumi na mataifa mengi yana sheria za Roma mpaka lugha zao tunazitumia. Roma haikuanguka kama inavyosemwa bali ilisambaratika na kuwa nchi za Ulaya ambazo zilikuja kuwa zenye nguvu na kutawala karibu dunia yote na kusambaza utamaduni wao. Mfano Uingereza imetawala bara Asia mpaka bara Arabu, hata ufalme wa Yordan, Saudia, Qatar zimewekwa na Uingereza. Kwaiyo ukisikia jumuiya ya madola tambua hizo ni nchi zilizotawaliwa na the greater Britain. Na Ufaransa, Spain, Portugal nazo hivo hivo.
Ulaya(Roma ya zamani) bado ina mkono mkubwa juu ya nchi za dunia hii. Ndo maana wameweka mahakama yenye sheria za Roma(The hague) ambayo daima ikiwahukumu viongozi wa nchi maskini, utake usitake ukiitwa hapo utaenda tu, na ukibisha utatolewa kwa bunduki.
Nabii Daniel alisema hivi juu ya Roma.
23 Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande. Daniel 7
Huu utawala wa Roma utadumu mpk Kuja kwa Yesu. Roma imeathiri dunia kisiasa, kidini, kisheria na kitamaduni na nchi yeyote inayokataa hoja za Roma lazima iangamizwe. Sadamu, Gadafi waliangamizwa sababu walipingana na utawala wa Roma, na sahivi Assad anakinywea kisha # Iran itapotezwa. Nabii aliona jinsi wana wa Ishmael(waarabu) wanavyopinduliwa na Roma maana hao waliifukuza Roma karne ya 7 na Roma ikajirudi tena kwa namna ya kuwaweka vibaraka wao ktk falme za Kiarabu kama ufalme wa Saudia, Qatari, UEA na Jordan hao wote ni puppet wa Roma. Na wote watakao pinga watafanyiwa hivi:-
Naye ataunyosha mkono wake juu ya nchi hizo, hata na nchi ya Misri haitaokoka. Daniel 11:42
Utawala wa Roma utaziangusha nchi zote pinzani zikiwemo nchi za Kiarabu na dunia itamstajabiwa mnyama yule(ufalme huo) na kuufata. Ufunuo 13:3 NIV
ROMA itatengeneza utawala wa dini na kulazimisha dunia yote kufata dini hiyo na watakao pinga watauawa.
Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe. Ufunuo 13:5
Roma haitaangushwa na wanadamu......
......wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye? Ufunuo 13:4
Roma itaangushwa na Mungu tu.
Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemhukumu ni mwenye nguvu. Ufunuo 18:8
Take care usije anguka na Roma



Sent using Jamii Forums mobile app
Mmemezeshwa sana bila kujiuliza yy aliandika utawala gani Roma ilishaanguka ikaja Holy Roman empire inayotawala sasa kuhusu mwisho wa dunia nimeshakupa link Acha mbwembwe
 
Mmemezeshwa sana bila kujiuliza yy aliandika utawala gani Roma ilishaanguka ikaja Holy Roman empire inayotawala sasa kuhusu mwisho wa dunia nimeshakupa link Acha mbwembwe
Nakupa maandiko unaleta link wewe vip

Hakuna holy roma

Kuna roma ya kipagan iliyojivisha udini ili ivutie watu

Nakuthibitisha hilo

MAFUNDISHO YOTE , TARATIBU ZOTE ZILIZOKUWEPO KWA ROMA YA KIPAGAN NDIZO ZILIZOPO KWENYE ROMA YA KIDINI

FB_IMG_1540796326130.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17 anaelezwa kuwa

“alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].

Asema hivi yule Nabii:

“Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.” Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18.
ae7a1c4de023bbda2da0a25e30e725f6.jpg

Tyndale aliuliwa na utawala wa kipapa kwa kutafsiri biblia...



Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao],
da95cf61b762f5a8bb3ffa13c0e24c5f.jpg

b601c77df03518a6574d5fdbdf97b1ea.jpg


mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,” kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo.

Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.

014c67cfdb1f454cb6ffad5c5931e2e5.jpg

2d74043e7497ad8b2d6a027cbaa597c5.jpg



Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya Ant Catholics sorce
Na mimi jion nakuletea Ant SDA source mpaka ulie.
Hizo rang zp kwenye catechism bana Acha upotoshaji.
 
Kazi ya Ant Catholics sorce
Na mimi jion nakuletea Ant SDA source mpaka ulie.
Hizo rang zp kwenye catechism bana Acha upotoshaji.
Hahaha mimi ni biblia tu, et ant catholic source ,

Mimi nachambua biblia hapa,na ukweli hujidhihirisha

JE UNAPINGA KUWA ROMA HAIKUUA WATAKATIFU?

KWANN ROMA ILIMUUA MTU KAMA JOHN HUSS?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itakuwepo had pale ITAKAPOSAMABARATISHWA NA YESU MWENYEWE

MBONA NILIKUELEZA KUHUSU JIWE LINALOKUJA KWA KAS KUPIGA MIGUU YA SANAMU AMBAYO NI UTAWALA WA MWISHO AMBAO NI ROMA

KASOME DANIEL 2 ,

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua mwili wa yesu upo na kichwa chake????
Chezea sisi??
Namaanisha Jesuit
 
Kazi ya Ant Catholics sorce
Na mimi jion nakuletea Ant SDA source mpaka ulie.
Hizo rang zp kwenye catechism bana Acha upotoshaji.
Halafu mm sitegemei hivyo vyanzo vyako, maana hata Yesu anachafuliwa kwenye hizo source,

Hiz ni mada naziandaa kwa uweza wa Mungu, nina blog zangu,

Kama kuna uongo pinga kwa hoja hapa hapa sio kulialia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ufunuo 17:8 “Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nikastaajabu ajabu kuu”

Mwanamke katika unabii inawakilisha “kanisa”, Ufunuo 21:2 inasema, “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.” Na Ufunuo 21:9 inasema, “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”

Hivyo Yohana aliona kanisa ambalo limelewa damu ya watakatifu, na je kanisa hilo ni kanisa gani? Katika fungu la 1 Yohana aliambiwa na malaika kwamba “njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu.” Kahaba huyo, katika fungu la 5 ametajwa kama “mwanamke aliyeketi juu ya mnyama“, -mnyama- katika unabi inawakilisha “ufalme” au “taifa”;

5dbdb37c07cb766da7a5397b9f6ae5da.jpg



angalia Danieli 7:17

“Wanyama hao…wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani” na Danieli 7:23 “…Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia…”

Hivyo “mwanamke huyu aliyeketi juu ya mnyama” ni kanisa ambalo lina uwezo wa kidini na kisiasa kwa wakati mmoja (kanisa na serikali). Na Je ni kanisa gani hapa duniani lenye uwezo wa kidini na kisiasa? Ni kanisa la Romani Katoliki pekee! Ambapo kanisa katoliki ni “mwanamke” na Roma ni “mnyama”. Mpaka hapa hakuna haja ya ushahidi zaidi, lakini kwa sababu watu wana mioyo migumu kuamini ngoja tuongeze ushahidi zaidi usioweza kukatalika.
a8fe66046ab6d6f3624700a3b4ec3c46.jpg


Ufunuo 17:3 inasema, “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”

Mnyama huyu anayelichukua kanisa katoliki ana “vichwa 7” na “pembe 10”; hapa vichwa saba vinawakilisha milima saba, Ufunuo 17:9 inasema, “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”
d314dc57a45466bb2c36ec76cd9b6c68.jpg


Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?
*
Kanisa Katoliki linasema…
“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.
6e12cab82d08cdde8fdd6d81362767f3.jpg


“Je vilima saba vya Roma ni nini?
Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com

ENCYCLOPÆDIA BRITANNICA
Vilima saba vya Roma
“…kundi la vilima juu au kuhusu ambapo mji wa Roma wa zamani ulijengwa. Mji wa awali wa Romulus ulijegwa juu ya kilima Palatine (#1) (Kilatini: Mons Palatinus). Vilima vingine ni Capitoline, (#2) Quirinal, (#3) Viminal, (#4) Esquiline, (#5) Caelian, (#6) na Aventine (#7) (Vinavyojulikana kimoja kimoja kwa kilatini kama Mons Capitolinus, Mons Quirinalis, Mons Viminalis, Mons Esquilinus, Mons Caelius, na Mons Aventinus).” –http://www.britannica.com/seo/s/seven-hills-of-rome/

Hivyo mnyama mwenye vichwa 7 ambavyo ni milima 7 ni ufalme wa Roma, na mwanamke aliyeketi juu ya mnyama huyo au juu ya ile milima 7 ni Kanisa Katoliki. Mpaka hapa hakuna haja ya ushahidi zaidi, lakini ngoja tuongeze ushahidi mwingine labda ndungu watapata kuamini kwa huo.

Ufunuo 17:5 inasema, yule “mwanamke amekaa juu ya mnyama…mwenye pembe kumi“. Pembe katika unabii inawakilisha “mfalme/ufalme” au “taifa”, Danieli akitabiri kuhusu mnyama Roma alisema, “Na habari za zile pembe kumi [za mnyama], katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataoondoka baada ya hao;…naye atawashusha wafalme watatu” Danieli 7:24.

Hivyo pembe kumi ni wafalme kumi ambao wanatawala katika ufalme huo mmoja wa Roma. Baada ya dola la Roma kuanguka mwaka 476BK liligawanyika katika mataifa/wafalme kumi ambayo ni…

1.Saxon,
kwa sasa ni taifa la Uingereza.
2.Frank,
kwa sasa ni taifa la Ufaransa.
3.Alamanni,
kwa sasa ni taifa la Ujerumani.
4.Visigoth, kwa sasa ni taifa la Uhispania.
5.Suevi, kwa sasa ni taifa la Ureno.
6.Lombard,
kwa sasa ni taifa la Italia.
7.Burgundia,
kwa sasa ni taifa la Uswidi.8Heruli,
liling’olewa na pembe ndogo 493 B.K.
9Vandal, liling’olewa na pembe ndogo 534 B.K.
10.Ostrogoth,
liling’olewa na pembe ndogo 538 B.K.

Hizo ndio pembe kumi za mnyama Roma, Unabii katika Danieli 7:8 na 24 unasema kuwa, baada ya pembe hizo kumi ambazo ni wafalme kumi wa dola la Roma, kati yao ingetokea pembe nyingine ndogo ambayo ni mfalme mwingine, ambaye ni Uapa wa Vatikani; nao ungelikuwa tofauti na wale wafalme 10 kwa sababu una nguvu za kidini na kiserikali tofauti na wale 10. Pia pembe ndogo ambaye ni Upapa angezing’oa pembe 3 katika zile pembe 10 za mnyama Roma.

Baada ya kanisa katoliki kupitisha fundisho la utatu katika baraza la 2 huko Konstantinapoli mwaka 381bk, baraza liliamuru kwamba wote wasiokubaliana na imani ya utatu waangamizwe; hivyo mataifa ya Waario (Arians); watu ambao hawakuamini fundisho la utatu, mataifa yao matatu; Heluli, Vandalis, na Ostrogoth yaliangushwa na kanisa Katoliki. Hivyo Upapa ulizing’oa kabisa pembe hizo 3 kama Danieli alivyotabiri, na mataifa 7 yaliyobaki leo yanaitwa Umoja wa Ulaya [EU].

Hivyo yule mnyama mwenye pembe kumi na vichwa saba ambavyo ni milima 7 ni ufalme wa Roma, na yule mwanamke aliyeketi juu yake ni Kanisa Katoliki. Na hivyo yule mwanamke wa Ufunuo 17:6 “amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu…” ni kanisa Katoliki lenyewe. Je historia inathibitisha kuwa kanisa Katoliki liliwahi kumwaga damu ya watakatifu na mashahidi wa Yesu?
d654fd2bd441c93b46c86e4352d3356c.jpg


“Kwa sababu ya kufundisha imani kinyume na mafundisho ya Roma, historia inaonyesha vifo vya wafia dini zaidi ya milioni 100” –Brief Bible Readings, p 16.

Kanisa Katoliki linasema…
“Katoliki ana baadhi ya sababu kwa upande wake wakati anapotoa adhabu kwa waasi wa kidini, kwa maana anajidaia jina la Ukristo kwake mwenyewe kwa kuzuia, na anajidai kufundisha kwamba uwepo wa Roho wa Mungu kamwe hautaondoka kwake…Siyo kosa zaidi kumuua mtu kwa sababu ya uasi wa kidini, kuliko kwa sababu ya uuaji,…[na] katika mambo mengi mateso kwa maoni ya kidini siyo tu kwamba yanaruhusiwa, lakini ni ya busara na ya lazima.” –The Lawfulnees of Persecution” in the Rambler, 4, June, 1849, pp 119, 126. (“The Rambler” lilikuwa ni gazeti la kila siku la Romani Katoliki lililochapishwa kuanzia mwaka 1848 hadi 1862).
bf9d9aac84ca8d8d428b624ff98ae464.jpg


“Chini ya mawazo na desturi za kijerumani, mateso yalitumiwa kidogo kuanzia karne ya 9 hadi karne ya 12, lakini kwa uhuikaji wa sheria ya Romani mateso yalianzishwa tena katika karne ya 12…Katika mwaka 1252 (Papa) Innocent IV aliruhusu adhabu ya mateso juu ya waasi wa kidini kwa kutumia mamlaka ya kiserikali, na mateso yakaja kuwa na mahali palipojulikana katika utaribu wa mahakama ya kiuchunguzi.” –New Catholic Encyclopedia, arts. “Inquisition”, “Auto-da-Fe’,” na “Massacre of St Bartholomew’s Day.”
5fc891cdb2e0a4cd5079066254f26d3c.jpg


BWANA AWAITA WOTE WALIOPO KWA HUYU MNYAMA WATOKE HARAKA SANA


YHWH IS GOOD


Sent using Jamii Forums mobile app
Ungejua Yesu ni mtakatifu si Mungu Ungebaki mdomon was chezea as???
 
Back
Top Bottom