Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi

Vatican: Papa Francisco yupo katika Hali mahututi

Unaleta maneno ya kitabu ambacho kimeletwa na adui wa Jibril hahahaha ambaye ni iblis. Hahahaha so uislam ni dini yake Iblis.

Quran 2:97

Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha (2:97)​

"sema: anayemfanyia uadui Jibril (anajisumbua), hakika yeye (jibril) ameiteremsha (QUR-AN) moyoni mwako kwa idhini ya Allah, inayosadikisha yale yaliyokuwa kabla yake na ni uongofu na bishara ya waumini" aya hii tukufu imeshuka ikiwa ni jibu kwa kauli iliyosemwa na MAYAHUDI ya kwamba wamejiepusha na kujizuwia kuyaamini yaliyoteremshwa kwa mtume Muhammad (swallallahu alayhi wa sallam). na wakatoa sababu inayowafanya wasiamini yanayoteremshwa kwa mtume wa Allah kuwa ni kwa kuwa wao ni maadui wa malaika Jibril anayeteremka na wahyi/ufunuo kwa mtume wa Allah. hivyo katika aya 97-98 Allah akawajibu MAYAHUDI kuwa wanajisumbua kama wewe unaesoma aya za Allah (subhaanahu wa taalah) kama kipeperushi chenu BIBILIA
 
John 3:3,5
[3] Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili, hawezi kuuona ufalme wa Mungu.

[5] Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu.
Kwan watu hawabatizwi ama ?
 
Sasa utatubu ukishakufa? Mhubiri 9:10, Luka 16:19-31,
Wema wapo tele duniani Zaburi 16:3, na kuwa mtakatifu hapa duniani inawezekana 1petro 1:16.
Maswali ya papa nendeni TEC wakuu hata selewii 😂😂
 
Nonsense.
Una upumbavu wa kiwango cha lami.
Huna akili ,jifunze kutuliza hilo domo lako na ujifunze na kuelewa vitu usivyovijua kabla ya kukurupuka tu na kujibu ,mbwa wa sacrament wewe
 
Back
Top Bottom