Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hamna bro, mi kitambo hizi dini zilisha shindwa kunipa majibu.Kumbe wewe ulidhani dini ni kitu cha maana sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna bro, mi kitambo hizi dini zilisha shindwa kunipa majibu.Kumbe wewe ulidhani dini ni kitu cha maana sana?
Huyu Francis alikuwa anafuata order tu kilazima toka Black pope au mkuu wa order ya majesuits ,huyu mkuu waJesuits ndio real pope aka black pope ,ndio director halisi wa shughuli za kijasusi na utawala ndani ya kanisa ,huyu pope anayevaa gauni jeupe ni symbolic Tu .Mtu yeyote anaye promote ushoga Kanisan, na anapokuwa ni mtu anayeangaliwa na jamii, nashindwa mtofautisha na mbwa
😃😃😃😂😂🤣 Uko zako Namtumbo hukoHuyu Francis alikuwa anafuata order tu kilazima toka Black pope au mkuu wa order ya majesuits ,huyu mkuu waJesuits ndio real pope aka black pope ,ndio director halisi wa shughuli za kijasusi na utawala ndani ya kanisa ,huyu pope anayevaa gauni jeupe ni symbolic Tu .
Pope halisi ni huyu Jesuit mkuu anayevaa gauni jeusi , huyu mtu ni hatari sana ,na always mapapa ambao wamekuwa wakihitilafiana na hawa majesuits wamekuwa wakifa bifo vya kutatanisha sana , kupewa sumu ,kama walivyofanya kwa pope John hasa alipoanza kufukua mirija ya uchafu wa money laundering na wizi wa pesa za kanisa ( scandal ya Banco Ambrosiano ) huko Italy ,issue ya kanisa kushirikiana na vikundi vya wahalifu sugu aka mafioso aka Cosanostra huko Italy enzi hizo
Jesuits Ndio wazee wa kazi chafu na agenda zote za kishetani ndani ya kanisa .
Na ndio walio nyuma ya agenda ya lgbtq ndani ya kanisa ,na bila shaka anayekuja ndio atakuwa real puppet wa hawa washenzi
Niko Namtumbo namfua dada yako kitandani sasa hivi anaimba Haleluyah😃😃😃😂😂🤣 Uko zako Namtumbo huko
Trump kawa mungu ghafla.Huyo lazima AFE au ajiudhuru ili aje papa atakayeenda sambamba na Trump na Israel.
Mtalia kwenye keyboard kila siku, na hamna kitu mtafanyaa.Mtetezi wenu hali yake mbaya waya ya network imekatika, na Trump nae hataki kuwaskia, sisi nao tunakabia juu hatutaki kuwaona sijui mtajificha wapi
Relaaaaax [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi sio jobless, Mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max.
halafu nikasirikie nini, I mean no malice to nobody
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi mbavu zinauma.Trump kawa mungu ghafla.
Nonsense.Huyu Francis alikuwa anafuata order tu kilazima toka Black pope au mkuu wa order ya majesuits ,huyu mkuu waJesuits ndio real pope aka black pope ,ndio director halisi wa shughuli za kijasusi na utawala ndani ya kanisa ,huyu pope anayevaa gauni jeupe ni symbolic Tu .
Pope halisi ni huyu Jesuit mkuu anayevaa gauni jeusi , huyu mtu ni hatari sana ,na always mapapa ambao wamekuwa wakihitilafiana na hawa majesuits wamekuwa wakifa bifo vya kutatanisha sana , kupewa sumu ,kama walivyofanya kwa pope John hasa alipoanza kufukua mirija ya uchafu wa money laundering na wizi wa pesa za kanisa ( scandal ya Banco Ambrosiano ) huko Italy ,issue ya kanisa kushirikiana na vikundi vya wahalifu sugu aka mafioso aka Cosanostra huko Italy enzi hizo
Jesuits Ndio wazee wa kazi chafu na agenda zote za kishetani ndani ya kanisa .
Na ndio walio nyuma ya agenda ya lgbtq ndani ya kanisa ,na bila shaka anayekuja ndio atakuwa real puppet wa hawa washenzi
Unaweza ukafa ukamuacha kifo ni fumbo, sekunde moja tu iliyoko mbele yako inaweza amua hatima ya uhai wako.R.I.P Pope Francis. Mwendo umeumaliza.
Tutamchinja mmoja hadharani kama mbuzi tuone kama utaendelea kuishi kwa amaniMtalia kwenye keyboard kila siku, na hamna kitu mtafanyaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mirembe moja hiyo.Niko Namtumbo namfua dada yako kitandani sasa hivi anaimba Haleluyah
Nimeona Hali si shwari aseeh .....Kuna breaking news toka 1 usiku huu toka Roma tuzidi kumuombea
Sasa utatubu ukishakufa? Mhubiri 9:10, Luka 16:19-31,Hapana mm sio msabato
Navyojua hakuna mwema chini ya jua hili hata Yesu alisema alipoulizwa yeye ni mwema!
Kuokoka sijaona mahala Yesu kasema kuokoka sana sana alisisitiza tubuni na kuiamini injili ufalme wa Mungu umekaribia
Bangi hizi!Kwa waliowahi soma kitabu cha utabiri wa Malachy hili halitawasumbua , imetabiriwa.kwamba huyu Pope Francis ndio last Pope ,kabla ya kuja the real antichrist