Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Naam. na kwenye msalaba tuta andika mfahamu aunt papa.Msiba wa Shoga hauna matanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam. na kwenye msalaba tuta andika mfahamu aunt papa.Msiba wa Shoga hauna matanga
Naenda kanisani ndiyohuwa unaenda church? huwa unahubiriwa? nipate kwanza background yako kabla ya kukufundisha.
basi mchungaji wako anayekuhubiri alazima aokoke. wote mpo kapu moja.Naenda kanisani ndiyo
Mahubiri ni lazima, biblia najua kusoma kutafasiri, na kutafakari
Tuokoke kivip mbona husemi sasabasi mchungaji wako anayekuhubiri alazima aokoke. wote mpo kapu moja.
WARUMI 10:9, Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. 10Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovuTuokoke kivip mbona husemi sasa
Kumbe wewe ulidhani dini ni kitu cha maana sana?Rih in advance, gasho aliye wasapoti ma gasho wenzie.
yaani kiongozi wa dini ana sapoti ndoa za dume kwa dume, damn!
Wee Jobless umevurugwa, sio kwa makasiriko haya. LolRih in advance, gasho aliye wasapoti ma gasho wenzie.
yaani kiongozi wa dini ana sapoti ndoa za dume kwa dume, damn!
Makasiriko hayaa, Poleee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaenda kukutana na Mungu mwenyewe ambaye wala hawana mahusiano, asipompokea Yesu anaenda ku rott in hell Kama mashoga anaowa support
Makasirikooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuomba Mungu atuondoshee huyo mzee wa kubariki ushoga
Mtetezi wenu hali yake mbaya waya ya network imekatika, na Trump nae hataki kuwaskia, sisi nao tunakabia juu hatutaki kuwaona sijui mtajificha wapiMakasirikooo!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😁Mswahili katika ubora wake.Mungu amsaidie aokoke kabla ya kutangulia mbele za haki. how i wish ningekuwa karibu naye nimwambie hili.
Una matanga ,mashoga wenzie watafanya.Msiba wa Shoga hauna matanga
Unashindwa kuwaombea mayatima ,wagonjwa ,masikini na watu wanataabika nchini mwako humu kwenye jamii unakoishi ,unaenda kumuombea na kuwa concerned na lizee limoja lililojichokea huko Vatican ,Taarifa kutoka makao makuu ya kanisa katoliki St Peter's basilica huko Vatican inasema papa Francisco kwa sasa yupo katika Hali mahututi kutokana na ugonjwa wa mapafu unaomsumbua.
Tumuombee kiongozi wetu wa kiroho amani ya Bwana itawale aweze kupata nafuu
View attachment 3245826
The real antichrist ndio huyo anayekuja baada ya huyu mzeeHuyo lazima AFE au ajiudhuru ili aje papa atakayeenda sambamba na Trump na Israel.
Mimi sio jobless, Mimi ni raisi wa chama Cha ma jobless pro max.Wee Jobless umevurugwa, sio kwa makasiriko haya. Lol