Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hakika akija mwingine atakuwa na sera tofaut na papa Fransics?Afe tu kanisa lipone
Aokoke kuna wokovu hapa duniani?Mungu amsaidie aokoke kabla ya kutangulia mbele za haki. how i wish ningekuwa karibu naye nimwambie hili.
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!Akafie Mbali
HeheheHakuna ushahidi wowote kuwa mtume Petro alikuwa papa
Umechanganyikiwa.
Papa Francis alirithi kiti cha mtume Petro pale Vatican(Holy-see) tena alitoa moshi mweupe.
Mt.16:18=Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda. Mtume Petro ndiye aliyekuwa Papa wa kwanza wa kanisa katoliki.
Kwa hiyo Papa Francis na wakatoliki tumesha mpokea Yesu Kristo toka enzi za mitume wake.Tuna mkiri na kumsifu Yesu Kristo katika kila Dominika.
Hata ikitokea Mungu akamchukua,Papa Francis ataenda mbinguni.Na atakuja Papa mwingine atakalia kiti cha mtume Petro ili Yesu Kristo aendelee kulijenga kanisa lake juu ya mwamba huo.
Wewe ni kichaaAwaombe msamaha waisrael na dunia kwa kauli zake za kishenzi kabisa dhidi ya iblis Arabs wa Gaza.. adhabu ya Vita kwa Arabs ni Gadhabu za Mungu wake kitendo cha October 7 adhabu ni lazima sababu Arabs walisema wataendelea tena na tena so Mungu amewaonesha watakachokuwa wanasiasa.. sasa Papa Samaki anakosoa kipumbavu ili kumfurahisha Allah wa Waislam..
Papa kachagua side ya Allah let him go
Ni sera ya kanisa na sio papa. Bado maaskofu wa huku wataanza kusifia MAVI waziwazi kanisaniAnapaswa kufa haraka sana ili kuliokoa kanisa bila hivyo hali ya kanisa itazidi kuwa mbaya sana chini yake.
ndio wokovu upo. kwani kwenu mnafundishwa haupo?Aokoke kuna wokovu hapa duniani?
Jana nilikuambia niombee......ndio wokovu upo. kwani kwenu mnafundishwa haupo?
hata mimi naamini hivyo hivyo, wokovu anatoa Yesu, hakuna anayebisha. vipi wewe umeokoka?Jana nilikuambia niombee......
Hapana nachojua Yesu ndo anatoa wokovu na sio mwanadamu......
Kuokoka mpka tuingie mbinguni ama unamaanish nn?hata mimi naamini hivyo hivyo, wokovu anatoa Yesu, hakuna anayebisha. vipi wewe umeokoka?
ndio wachungaji wako waliopotea wanavokufundisha? weka mstari unaosema adi tuingie mbinguni ndio tumeokoka. najua wewe ni msabato.Kuokoka mpka tuingie mbinguni ama unamaanish nn?
Hapana mm sio msabatondio wachungaji wako waliopotea wanavokufundisha? weka mstari unaosema adi tuingie mbinguni ndio tumeokoka. najua wewe ni msabato.
huwa unaenda church? huwa unahubiriwa? nipate kwanza background yako kabla ya kukufundisha.Hapana mm sio msabato
Navyojua hakuna mwema chini ya jua hili hata Yesu alisema alipoulizwa yeye ni mwema!
Kuokoka sijaona mahala Yesu kasema kuokoka sana sana alisisitiza tubuni na kuiamini injili ufalme wa Mungu umekaribia
Msiba wa Shoga hauna matangaRih in advance, gasho aliye wasapoti ma gasho wenzie.
yaani kiongozi wa dini ana sapoti ndoa za dume kwa dume, damn!