Dera kutoka nalo labda duka la jirani dakika 2 sio eti kariakoo [emoji3][emoji3] hapanaKhanga hazitoshi navaa vitenge ila vazi langu haswa nikiwa home ni madera
Najiona nakua comfortable sana hata nikiwa nazurura
unavaaga nn home? ila mie napenda mtandio zaidi..kuna mitandio ya mtumba mizuri mikubwa..mie khanga hazifung vzr hapa front..ila navaa hvyhvy..vitenge mie spend kbs...vikubwa mnoo
Mie mwenyewe siwezi kabisa kuvaa dera mtaani mmm, kama ni msibani huwa nabeba kwenye poch kitenge na mtandionice[emoji28][emoji28]!.mie dera jamani ni msibani tu...nilishayashindwa...hongera
SlimKwa nini haifungi vizuri
Kama mimi bonge la fisi dk tano njaaInategemea wengine hawaridhiki wapo kama mafisi nusu saa njaa
Ha ha ha haNananii mpaka ziwepo, lakini zikiwa zakusubilia upepo uvume hata uvae nini hakuna kitu nikama kutizama kalenda ya 2015/25/10 napita tu
I promise my dear. 😍😘🥰🥰[emoji2][emoji2][emoji2][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] tafuta siku utaniona tu
Mamii hongera inaonekana una umbo la kibantu hasa kiasi kwamba haupo huru kutembea na Dera, manake watu wata gongana njianiDera kutoka nalo labda duka la jirani dakika 2 sio eti kariakoo [emoji3][emoji3] hapana
Slim
Haaa haaa kawaida tuseme sijazoea hivyo , nasiwezi kabisa lazima nitakuwa najishitukia kama vile kila mtu ananitizama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamii hongera inaonekana una umbo la kibantu hasa kiasi kwamba haupo huru kutembea na Dera, manake watu wata gongana njiani
Taratibu usicheke sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ha ha ha ha
Hapo sasa ndiyo useme umvalie kanga muda woooote ili asichepuke, hapana bali ni tabia ya mtuKama mimi bonge la fisi dk tano njaa
Nilimanisha mie slim bwana😉Naaam
Nilimanisha mie slim bwana[emoji6]
Sipapend vumbi sana ...akuChenga sana wewe!
Karibu 88 Morogoro.... Pamenoga
Sipapend vumbi sana ...aku
Leo wamemwaga Maji ya kutosha.... Kubichi
Flat screenUnaweza kupumzika sebureni ukichat chat wakati unamsubiria mzee aje nyumbani....!!! "kweli maisha ni safari ndefu"
View attachment 1173617
Hehehehe jifunge na mtandio mamiiHaaa haaa kawaida tuseme sijazoea hivyo , nasiwezi kabisa lazima nitakuwa najishitukia kama vile kila mtu ananitizama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]