Vazi la Khanga kwa wadada wa Kitanzania linavutia

Vazi la Khanga kwa wadada wa Kitanzania linavutia

😂😂😂 siwez kbs..mie hata nile nini..nanenepa ndyo ila nanenepa sehem maalumu...hunikut nna kono kulee..sijui shingo imetitia😂😂...!...hahhaa...mie unene unakimbilia chini zaidi..ila na nyonyo huwa inakuwanzitooo😂😂😂🙌🙌🙌😏😏😏
Thats nice, hongera kwa Mungu hii
 
Naomba NiPM...au niruhusu nikuPM. tafadhali sana
[emoji23][emoji23][emoji23] siwez kbs..mie hata nile nini..nanenepa ndyo ila nanenepa sehem maalumu...hunikut nna kono kulee..sijui shingo imetitia[emoji23][emoji23]...!...hahhaa...mie unene unakimbilia chini zaidi..ila na nyonyo huwa inakuwanzitooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Wakati wa kuangalia tamthiliya unaweza kulipiga vile vile na linakutoa.

1565087997589.png
 
Unaweza kupumzika sebureni ukichat chat wakati unamsubiria mzee aje nyumbani....!!! "kweli maisha ni safari ndefu"


1565089348526.png
 
Mzee akichelewa sana na uhajic umechoka basi unakwenda kumsubiria chumbani....!! eti night dress mmhh na joto hili la dar aaahh, ki2 khanga ....

1565089851764.png
 
Hiyo mizigo unaeza ambiwa Kuna waya lakini we ukakanyaga tu yan Potelea kule....
 
Khanga ndogo kitenge kinakua kikubwa hasa matenge Yale ya zamani

Ningekua na kamwili unadhani ningevaa hayo madira?
Nime wafahamu wadada wenye maumbo ya kibantu.
 
Back
Top Bottom