Hashpower7113 JF-Expert Member Joined Sep 26, 2011 Posts 1,353 Reaction score 2,142 Aug 9, 2019 #141 Naunga mkono hoja, lipitishwe kuwa vazi la taifa kwa wanawake wote!
Ulweso JF-Expert Member Joined May 24, 2016 Posts 23,111 Reaction score 28,020 Aug 11, 2019 #142 TASLIMA said: Hehehehe jifunge na mtandio mamii Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] yaani kujifunga mtandio niwe nao makini maana naweza kuwa nimefika ITV mtandio umedondokea Mwenge haa haaa
TASLIMA said: Hehehehe jifunge na mtandio mamii Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] yaani kujifunga mtandio niwe nao makini maana naweza kuwa nimefika ITV mtandio umedondokea Mwenge haa haaa
Boveta JF-Expert Member Joined Jul 23, 2019 Posts 3,174 Reaction score 3,804 Aug 13, 2019 #143 Ulweso said: [emoji23][emoji23][emoji23] yaani kujifunga mtandio niwe nao makini maana naweza kuwa nimefika ITV mtandio umedondokea Mwenge haa haaa Click to expand... Aisee mtu kawewe burudani sana kuangaliwa ukiwa unapita huku huku.
Ulweso said: [emoji23][emoji23][emoji23] yaani kujifunga mtandio niwe nao makini maana naweza kuwa nimefika ITV mtandio umedondokea Mwenge haa haaa Click to expand... Aisee mtu kawewe burudani sana kuangaliwa ukiwa unapita huku huku.
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,563 Reaction score 48,223 Sep 16, 2019 #144 KHANGA utaipenda pale MREMBO awe ametupia VAZI la KHANGA kisha akanyeshewa na MVUA. Nakuambia ni hatari sana
KHANGA utaipenda pale MREMBO awe ametupia VAZI la KHANGA kisha akanyeshewa na MVUA. Nakuambia ni hatari sana