Nyakibimbili
Senior Member
- May 4, 2019
- 185
- 286
Hivi wewe mbona akili ka mtondoo!!? Watu wanakemea ujinga we unakuja na mashudu iweje mtu asemwe yeye tu!!? Hawasemwi akina Mtaka mbona?? Mrisho gambo ashaona mbele na kuachana na mikwaruzano na walimwengu maana madhara yake ni makubwa mnoNimegundua ile vita ya madawa ya kulevya kuna Watu wanateseka juu ya jasiri MAKONDA
Makamanda wa CHADEMA si Watu ni Nyumbu!!!!Hivi wewe mbona akili ka mtondoo!!? Watu wanakemea ujinga we unakuja na mashudu iweje mtu asemwe yeye tu!!? Hawasemwi akina Mtaka mbona?? Mrisho gambo ashaona mbele na kuachana na mikwaruzano na walimwengu maana madhara yake ni makubwa mno
Wazee wa kujipendekeza hao...wewe DC wa Iringa, uko Moshi, kama siyo kuwasha washwa nini basi...[emoji23][emoji23]View attachment 1092639
Sana mkuu yaani watu sasa ndio wanaanza kuwajua wasukumwa na kwamba wanajifanya wapole ila wakipewa nafasi wanakuwa wakatili mno, sasa kila mtu atajihadhari nao. Hata jiwe amewaaibisha watu wake sana.Anatutia aibu wasukuma by the way cocochanel anasemaje kwa hili?
Sana mkuu yaani watu sasa ndio wanaanza kuwajua wasukumwa na kwamba wanajifanya wapole ila wakipewa nafasi wanakuwa wakatili mno, sasa kila mtu atajihadhari nao. Hata jiwe amewaaibisha watu wake sana.
Nime huzunika sana tunaonekana malimbukeni mjini hukuSana mkuu yaani watu sasa ndio wanaanza kuwajua wasukumwa na kwamba wanajifanya wapole ila wakipewa nafasi wanakuwa wakatili mno, sasa kila mtu atajihadhari nao. Hata jiwe amewaaibisha watu wake sana.
MmhSasa ni zamu ya NDUGAI waombe msamaha watanzania kwa uonevu ASKOFU SHOO MUNGU AKUWEKE BABA.