Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Hivi sisi vazi letu la asili ni lipi?
Shuka? Kanga? Maana utaona mwanaume asubuhi kavaa kanga
Ila naona kila Taifa lina mavazi ya asili ila letu mimi sioni zaidi ya wamasai na vazi lao tu
Wengine tumeacha mavazi ya asili
Shuka? Kanga? Maana utaona mwanaume asubuhi kavaa kanga
Ila naona kila Taifa lina mavazi ya asili ila letu mimi sioni zaidi ya wamasai na vazi lao tu
Wengine tumeacha mavazi ya asili