Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Mwanadada Lulu Michael ambaye pia ni staa katika Bongo Movies ni mwanamke anayependa kupiga picha mara kwa mara huku akionyesha style mpya ya nguo zake ama mtindo mpya wa nywele zake.
Staa huyu ambaye anapendwa na wengi wakati huu ameamua kuingia na style mpya kabisa. Ameamua kuonyesha ulimwengu kuwa anaweza kuvaa nguo za tetesi hata kuishinda ile nguo ya Wema Sepetu ya nusu uchi. Lulu ameamua kuvaa nguo isiohitaji kuvaa chupi na inaonyesha sehemu zote kuanzia mapajani hadi karibu na kwa matiti sehemu za upande.
Stori: bkuHABARI Blog
Staa huyu ambaye anapendwa na wengi wakati huu ameamua kuingia na style mpya kabisa. Ameamua kuonyesha ulimwengu kuwa anaweza kuvaa nguo za tetesi hata kuishinda ile nguo ya Wema Sepetu ya nusu uchi. Lulu ameamua kuvaa nguo isiohitaji kuvaa chupi na inaonyesha sehemu zote kuanzia mapajani hadi karibu na kwa matiti sehemu za upande.
Stori: bkuHABARI Blog
