Vazi la waziri limeharibu kabisa siku yangu

anatia majaribu yeye kama kio kwa jamii hatakiwi kuva nguo kama hii inaonyesha nini kicho ndani
 
Ila kukatia kiunoni kushuka chini yuko vizuri, hivi hana watoto wa kike huyu? Natamani niwaone hao maana si wanasema mtoto wa snake ni nyoka?
 

Huyo meja kushoto hapo hoooi kabisa kwa mahipsi ya mheshimiwa, ona anavyoyakodolea mimacho!
 
huyo mama ana mwanamke nyonga na hajajua kwamba anatakiwa aache kuvaa pichu(kufuli) badala yake avae gstring au boxer kabsa ila hips yake ndo inafanya pichu ionekane hadi hadharani lol pole mama
 
Nashauri pia Mawaziri na vionozi waandamizi wa chama na serikali wawe na utamaduni huu wa uvaaji wa magamba. Wasiogope kuzomewa

 

hahahahaaaa.... Mwanamke Pisto etiiiiii...haswa ukiwa nazo....Lol!!
 
Tobaaa jamani ch***i za kichina hizi zinaumbuaaaaaa...........
Pole sana uliyeharibiwa siku....ila sijui ulikuwa watafuta nini maeneo hayo jamani...lols!
Wajf muwe mnawakagua wake zenu wanapotoka asubuhi, ili kama kuna hitilafu unamrudisha ndani fastaaa...........
 
Acheni utani nyie... Hizo bastola ndo zimempa uwaziri...
 
Huyu ni waziri wa habari na michezo alafu ni Dr. si unajua CCM ukiwa Dr. ni dili.
Hapa sasa napata jibu kwa nini wenzetu waislam wanasisitiza kina mama wavae mavazi ya heshima

Unashangaa nini? kama waziri wa michezo ladhima avae kimichezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…