Venance Shitindi angefika mbali Kisiasa lakini alijikoroga akakorogeka

Venance Shitindi angefika mbali Kisiasa lakini alijikoroga akakorogeka

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Wakuu Kwema!

Wangapi mnamkumbuka Venance Shitindi?
Huyu jamaa alikuwa Kiboko, watu wengi walikuwa wakimkubali Sana Kwa misimamo yake isiyoyumbishwa, alitetea wanyonge wasinyongwe, alijihatarisha masomo yake Kwa ajili ya watu.

Taikon nilikuwa navutiwa na Siasa za huyu jamaa kipindi tunasoma pale Udsm. Yeye alikuwa mbele mwaka mmoja, miaka ya 2013-2016 alipohitimu.

Ndiye mwanaharakati wa mwisho kufanya maandamano makubwa katika Chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka 2015, tangu hapo mpaka hivi leo hakuna maandamano mengine yaliyofanyika katika vyuo vikuu hapa nchini.

Alikuwa Waziri WA mikopo, semaji la wanafunzi.

Alipojikoroga ni kuyumba Kwa msimamo wake aliokuwa akiusimamia Kwa miaka mingi.

Alitoka CHADEMA na kujiunga na CCM kipindi cha Hayatti Magufuli.
Hapo ndio alipojikoroga akakorogeka.

Si ajabu ndio sababu hivi leo wengi watashangaa namzungumzia Nani, kwamba hawamjui.

Kwenye maisha msimamo ni kitu muhimu Sana hasa Kisiasa.

Taikon wa Fasihi ninawatakia Sabato NJEMA
 
Wakuu Kwema!

Wangapi mnamkumbuka Venance Shitindi?
Huyu jamaa alikuwa Kiboko, watu wengi walikuwa wakimkubali Sana Kwa misimamo yake isiyoyumbishwa, alitetea wanyonge wasinyongwe, alijihatarisha masomo yake Kwa ajili ya watu.

Taikon nilikuwa navutiwa na Siasa za huyu jamaa kipindi tunasoma pale Udsm. Yeye alikuwa mbele mwaka mmoja, miaka ya 2013-2016 alipohitimu.

Ndiye mwanaharakati wa mwisho kufanya maandamano makubwa katika Chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka 2015, tangu hapo mpaka hivi leo hakuna maandamano mengine yaliyofanyika katika vyuo vikuu hapa nchini.

Alikuwa Waziri WA mikopo, semaji la wanafunzi.

Alipojikoroga ni kuyumba Kwa msimamo wake aliokuwa akiusimamia Kwa miaka mingi.

Alitoka CHADEMA na kujiunga na CCM kipindi cha Hayatti Magufuli.
Hapo ndio alipojikoroga akakorogeka.

Si ajabu ndio sababu hivi leo wengi watashangaa namzungumzia Nani, kwamba hawamjui.

Kwenye maisha msimamo ni kitu muhimu Sana hasa Kisiasa.

Taikon wa Fasihi ninawatakia Sabato NJEMA
Njaaa Mbaya
 
Wakuu Kwema!

Wangapi mnamkumbuka Venance Shitindi?
Huyu jamaa alikuwa Kiboko, watu wengi walikuwa wakimkubali Sana Kwa misimamo yake isiyoyumbishwa, alitetea wanyonge wasinyongwe, alijihatarisha masomo yake Kwa ajili ya watu.

Taikon nilikuwa navutiwa na Siasa za huyu jamaa kipindi tunasoma pale Udsm. Yeye alikuwa mbele mwaka mmoja, miaka ya 2013-2016 alipohitimu.

Ndiye mwanaharakati wa mwisho kufanya maandamano makubwa katika Chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka 2015, tangu hapo mpaka hivi leo hakuna maandamano mengine yaliyofanyika katika vyuo vikuu hapa nchini.

Alikuwa Waziri WA mikopo, semaji la wanafunzi.

Alipojikoroga ni kuyumba Kwa msimamo wake aliokuwa akiusimamia Kwa miaka mingi.

Alitoka CHADEMA na kujiunga na CCM kipindi cha Hayatti Magufuli.
Hapo ndio alipojikoroga akakorogeka.

Si ajabu ndio sababu hivi leo wengi watashangaa namzungumzia Nani, kwamba hawamjui.

Kwenye maisha msimamo ni kitu muhimu Sana hasa Kisiasa.

Taikon wa Fasihi ninawatakia Sabato NJEMA
Umenikumbusha sana kuhusu kijana mwenzangu Venance shitindi, kwangu mimi tulifahamiana Jkt bulombola mujibu wa sheria June 2013 na baadaye tukachaguliwa Udsm course moja mpaka tulipohitimu 2016.
Alikuwa rafiki na siku zote alisimamia haki na kile anachokiamini na katika uongozi wake pamoja na Rais akiwa Kitaponda alikuwa msaada mkubwa na alipigania maslahi ya wengi.
Nikikumbuka maandamano uliosema tuliyaanza usiku kwa hamasa ya viongozi na hata polisi walipokuja mabibo hostel usiku kutuliza ghasia kuna wenzetu walikamatwa lakini chini ya uongozi wa hawa vijana waliachiwa bila masharti/kesi.
Lakini tangu mwanzo alijitambulisha bayana mlengo wake wa kisiasa na hata katika semister yetu ya mwisho alituambia 2020 atagombea udiwani katani kwake na niliumia na kumsikitikia pale tu alipofanya kama alichowahi kufanya ELIA MICHAEL na hakika amejiua kisiasa mwenyewe.
 
Nd
Wakuu Kwema!

Wangapi mnamkumbuka Venance Shitindi?
Huyu jamaa alikuwa Kiboko, watu wengi walikuwa wakimkubali Sana Kwa misimamo yake isiyoyumbishwa, alitetea wanyonge wasinyongwe, alijihatarisha masomo yake Kwa ajili ya watu.

Taikon nilikuwa navutiwa na Siasa za huyu jamaa kipindi tunasoma pale Udsm. Yeye alikuwa mbele mwaka mmoja, miaka ya 2013-2016 alipohitimu.

Ndiye mwanaharakati wa mwisho kufanya maandamano makubwa katika Chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka 2015, tangu hapo mpaka hivi leo hakuna maandamano mengine yaliyofanyika katika vyuo vikuu hapa nchini.

Alikuwa Waziri WA mikopo, semaji la wanafunzi.

Alipojikoroga ni kuyumba Kwa msimamo wake aliokuwa akiusimamia Kwa miaka mingi.

Alitoka CHADEMA na kujiunga na CCM kipindi cha Hayatti Magufuli.
Hapo ndio alipojikoroga akakorogeka.

Si ajabu ndio sababu hivi leo wengi watashangaa namzungumzia Nani, kwamba hawamjui.

Kwenye maisha msimamo ni kitu muhimu Sana hasa Kisiasa.

Taikon wa Fasihi ninawatakia Sabato NJEMA

Ndio Nani huyo? Wala simfahamu.
 
Miamba ya misimamo ni Tundu Lissu, Heche, Mbowe a.k.a Mwamba, Lema, Sugu, Msigwa, etc

Kama wamasurvive na misimamo yao kipindi cha mwenda zake, hao ndo radicals wa ukweli
Lisu na Lema watoe walikimbia mapambano.

Kama kisingizio ni hofu ya kuuliwa hata hao wengine nao wana roho na walibaki hapa hapa.
 
Wakuu Kwema!

Wangapi mnamkumbuka Venance Shitindi?
Huyu jamaa alikuwa Kiboko, watu wengi walikuwa wakimkubali Sana Kwa misimamo yake isiyoyumbishwa, alitetea wanyonge wasinyongwe, alijihatarisha masomo yake Kwa ajili ya watu.

Taikon nilikuwa navutiwa na Siasa za huyu jamaa kipindi tunasoma pale Udsm. Yeye alikuwa mbele mwaka mmoja, miaka ya 2013-2016 alipohitimu.

Ndiye mwanaharakati wa mwisho kufanya maandamano makubwa katika Chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka 2015, tangu hapo mpaka hivi leo hakuna maandamano mengine yaliyofanyika katika vyuo vikuu hapa nchini.

Alikuwa Waziri WA mikopo, semaji la wanafunzi.

Alipojikoroga ni kuyumba Kwa msimamo wake aliokuwa akiusimamia Kwa miaka mingi.

Alitoka CHADEMA na kujiunga na CCM kipindi cha Hayatti Magufuli.
Hapo ndio alipojikoroga akakorogeka.

Si ajabu ndio sababu hivi leo wengi watashangaa namzungumzia Nani, kwamba hawamjui.

Kwenye maisha msimamo ni kitu muhimu Sana hasa Kisiasa.

Taikon wa Fasihi ninawatakia Sabato NJEMA
Namkumbuka sana hyu chalii alikuwa akitembea na kifimbo flan hvi kama mwl nyerere.
 
Umenikumbusha sana kuhusu kijana mwenzangu Venance shitindi, kwangu mimi tulifahamiana Jkt bulombola mujibu wa sheria June 2013 na baadaye tukachaguliwa Udsm course moja mpaka tulipohitimu 2016.
Alikuwa rafiki na siku zote alisimamia haki na kile anachokiamini na katika uongozi wake pamoja na Rais akiwa Kitaponda alikuwa msaada mkubwa na alipigania maslahi ya wengi.
Nikikumbuka maandamano uliosema tuliyaanza usiku kwa hamasa ya viongozi na hata polisi walipokuja mabibo hostel usiku kutuliza ghasia kuna wenzetu walikamatwa lakini chini ya uongozi wa hawa vijana waliachiwa bila masharti/kesi.
Lakini tangu mwanzo alijitambulisha bayana mlengo wake wa kisiasa na hata katika semister yetu ya mwisho alituambia 2020 atagombea udiwani katani kwake na niliumia na kumsikitikia pale tu alipofanya kama alichowahi kufanya ELIA MICHAEL na hakika amejiua kisiasa mwenyewe.
Mwl zawad kitaponda, nakumbuka alimgaragaza vibaya somebody Charles willum aliepo clouds kwa sasa.
 
Watu mna kumbukumbu hatari, wengine tulikuwa tumemsahau.

Yuko wapi sasa?
Wakuu Kwema!

Wangapi mnamkumbuka Venance Shitindi?
Huyu jamaa alikuwa Kiboko, watu wengi walikuwa wakimkubali Sana Kwa misimamo yake isiyoyumbishwa, alitetea wanyonge wasinyongwe, alijihatarisha masomo yake Kwa ajili ya watu.

Taikon nilikuwa navutiwa na Siasa za huyu jamaa kipindi tunasoma pale Udsm. Yeye alikuwa mbele mwaka mmoja, miaka ya 2013-2016 alipohitimu.

Ndiye mwanaharakati wa mwisho kufanya maandamano makubwa katika Chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka 2015, tangu hapo mpaka hivi leo hakuna maandamano mengine yaliyofanyika katika vyuo vikuu hapa nchini.

Alikuwa Waziri WA mikopo, semaji la wanafunzi.

Alipojikoroga ni kuyumba Kwa msimamo wake aliokuwa akiusimamia Kwa miaka mingi.

Alitoka CHADEMA na kujiunga na CCM kipindi cha Hayatti Magufuli.
Hapo ndio alipojikoroga akakorogeka.

Si ajabu ndio sababu hivi leo wengi watashangaa namzungumzia Nani, kwamba hawamjui.

Kwenye maisha msimamo ni kitu muhimu Sana hasa Kisiasa.

Taikon wa Fasihi ninawatakia Sabato NJEMA

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Utawala wa Magu,ulifanya watu waonyeshe rangi zao halisi,mwenye msimamo alionekana anao msimamo kwelikweli,ambaye hana msimamo,alijionyesha mapema kwa kwenda kunakomfaa yeye.R.I.P Magu.

Shitindi masikini ya mungu
 
Wakuu Kwema!

Wangapi mnamkumbuka Venance Shitindi?
Huyu jamaa alikuwa Kiboko, watu wengi walikuwa wakimkubali Sana Kwa misimamo yake isiyoyumbishwa, alitetea wanyonge wasinyongwe, alijihatarisha masomo yake Kwa ajili ya watu.

Taikon nilikuwa navutiwa na Siasa za huyu jamaa kipindi tunasoma pale Udsm. Yeye alikuwa mbele mwaka mmoja, miaka ya 2013-2016 alipohitimu.

Ndiye mwanaharakati wa mwisho kufanya maandamano makubwa katika Chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka 2015, tangu hapo mpaka hivi leo hakuna maandamano mengine yaliyofanyika katika vyuo vikuu hapa nchini.

Alikuwa Waziri WA mikopo, semaji la wanafunzi.

Alipojikoroga ni kuyumba Kwa msimamo wake aliokuwa akiusimamia Kwa miaka mingi.

Alitoka CHADEMA na kujiunga na CCM kipindi cha Hayatti Magufuli.
Hapo ndio alipojikoroga akakorogeka.

Si ajabu ndio sababu hivi leo wengi watashangaa namzungumzia Nani, kwamba hawamjui.

Kwenye maisha msimamo ni kitu muhimu Sana hasa Kisiasa.

Taikon wa Fasihi ninawatakia Sabato NJEMA
Lijuakali naye ni kama huyo Shitindi
 
Back
Top Bottom