Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
- #21
😀😀😀😀😀She is very very fertile[emoji23][emoji23]ukigusisha tu anazaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀She is very very fertile[emoji23][emoji23]ukigusisha tu anazaa.
Pale hamna kitu yani zeroHalafu watu kama wakina barnaba eti wanamsifia aki bongo kuna unafki😂
Amber lulu anaimba vzrBora hata gigy na amber lulu,lkn huyu duh.Halafu kibongo bongo ukiona huwezi kumfikia harmorapa basi acha mziki
bado sauti inakataaLabda watungiwe nyimbo,hawajui kabisa
Hata wakitungiwa, sauti zao sio za mziki zinaumiza tu sikioLabda watungiwe nyimbo,hawajui kabisa
KabisaHata wakitungiwa, sauti zao sio za mziki zinaumiza tu sikio
Acha waendelee kuimba hata kama hawajui. Usiwakatishe tamaa. Kila mtu afanye kwa aonacho ni sahihi kwake. Wewe kama hupendi wenzako watapenda nyimbo zake.Wadogo zangu Vera na Hamisa (wote wana miaka 20 ni wadogo zangu), hongereni kwa kujaribu kuimba, sio kwa ubaya ila hamjui kuimba dears, mziki mnaupenda ila wenyewe hauwapendi. Sauti zenu nyembambaa haziburudishi labda mkaimbe nyimbo za injili.
Kipaji cha kuimba hamna, mashairi mabovu yanayotokana na hisia tu Vera baada ya kuchoka kiben ten chake kaibuka na wimbo, Hamisa nae kuzaa huku na kule bila uelekeo na bado hawamuelewi kaibuka na wimbo. Vi nyimbo havina mbele wala nyuma
Sio lazma kila mtu aimbe wengine tubaki mashabiki, tuburudishwe na wenye vipaji vyao. Ni hayo tu.
Kwa kubadili avatar mhhhhhNadhani hawana lengo LA kuwa waimbaji ila wanatafuta wawe topic kwenye media na kuzidi kuwa maarufu watoto wa mjini wenyewe Wanaita kutafuta "kiki"
HaahahahNadhani waendelee tu na biashara yao wanayoiweza ya kuuza vitumbua vyao wakiongozwa na Mange Kimavi.