Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Soma uelewez HApa Ni Kapombe v. DjumaWeka na za Chama na za mayele
Hizo weka wewe hapa ni Kapombe na Djuma ShabanWeka na za Chama na za mayele
Yanga mbona wamecheza mechi 19 wewe hizo 25 umezitoa wapi?Chama mech 4goal 8 Mayele mechi 25 goal10
Kwa hiyo yanga huwa wanashiriki ligi kuu tu?Yanga mbona wamecheza mechi 19 wewe hizo 25 umezitoa wapi?
Umemuumbua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanga mbona wamecheza mechi 19 wewe hizo 25 umezitoa wapi?
Mbona hizo mechi zingine hujaweka magoli yake ukaamua kuweka ya ligi kuu tu siyo?Kwa hiyo yanga huwa wanashiriki ligi kuu tu?
Sijaweka mimi ila unaweza kuweka.Mbona hizo mechi zingine hujaweka magoli yake ukaamua kuweka ya ligi kuu tu siyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wataanza kupovukwa hapa.Sawa utopolo mna team nzuri sana saaana mpaka nawaonea wivuuu. Lkn mkumbuke kule nje Namungo kawazidi viwango.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo yanga huwa wanashiriki ligi kuu tu?
Uliandika uongo kwa faida ya nani sasa?Sijaweka mimi ila unaweza kuweka.
Fuatilia mazungumzo ndugu husijiropokee tu. Mimi nilikujibu ulipouliza idadi ya mechi kuwa 19 lakini sio mimi nilieweka idadi ya magoli.Uliandika uongo kwa faida ya nani sasa?
Sasa ulikuwa unashadadia nini wakati kila kitu ni uongo hapo kuanzia idadi ya mechi mpaka idadi ya magoli?Fuatilia mazungumzo ndugu husijiropokee tu. Mimi nilikujibu ulipouliza idadi ya mechi kuwa 19 lakini sio mimi nilieweka idadi ya magoli.