Verified couples....

ha ha ha
dah
kazi ya hiyo kitu unaijua lakini?
itabidi niombe ruhusa.....hapa kijiweni ili nikafanye maandalizi
kweli kiwatengu unampenda mkeo, hadi unataka apate hiyo kitu, Arushaone unaona?

Niko hapa naona mpz
 
ha ha haaaa
nakutania khaaa
simtaki mumeo

ooooopss hapa nimepumua sasa maana mawazo yangu yoote yalikuwa kwa wale ng'ombe 50 na magunia 70 ya nafaka pamoja na yale magari mawili aliyo ninunulia nilijua akikupata atanipokonya vyote maaana aliviwekeza kwangu kama mahari na bado hatujafunga ndoa
 

unawaza mali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…