lakini si wa kwangu? ila nilishakwambia anza na Passion Lady afu Mrembo by Nature kisha Heaven on earth..hawa ni wakongwe hujawakagua..yanini umng'ang'anie huyu wa juzi juzi tu?
Hilo jukumu wamepewa wengine. mimi nimepewa jukumu la kumkagua Lady doctor!
Hilo jukumu wamepewa wengine. mimi nimepewa jukumu la kumkagua Lady doctor!
Hivi ndoa yako imeishia wapi?Umeacha kufanya kazi ya kuzuia gesi isitoke hata kwa bomba la kalamu
unakuja kwenye ndoa za chit chat, aliyesema huku kuna ndoa ninani.
Hivi ndoa yako imeishia wapi?
Mi nawaangalieni tuu....ohooohappy happy kwa Mavotah..
afu umetoa mpya kabisaa..ati Lady doctor na nani vile? aiseee..unataka ugomvi mkali na Chocs
kiwatengu wanaume wa kulea vichanga hawakosekani ili mradi tu uwe na wowowo nitaanza kumfikiria Mavotah Bishanga kashanivuruga akili Erickb52 na Lady doctor verified couple
Hilo jukumu wamepewa wengine. mimi nimepewa jukumu la kumkagua Lady doctor!
Mambo ya vijana bwana. Napita mie, nimtafute mzee mwenzangu tuende ngwasuma tukazeeshane.
nakusikiliza tu The secretary.....we endelea tu kugusa mkono wa kipofu kwenye sinia la ubwabwa......
La mentali ausubiria zali tu..