Verified couples....

Verified couples....

mbona hakuna kitufe cha kudislike hii si sawa nabisa, mume wangu ushasikia Mamndenyi anataka mume wa mtu alafu una mkaribisha hm bila kunitaarifu. uko mbezi sasa ndo nn akutafute au? AM :shock:

aisee..itabidi uombe radhi kwa kunielewa vibaya..ujue Mamndenyi ni mama yangu mkubwa ati,umesahau?
 
Last edited by a moderator:
tatizo nyie watoto wa porini hamjui hata akina mama mkwe
siku ukija kwangu si utaona aibu sana
kwa kuwa kwenye ukoo mama mkubwa ndo mimi, shangazi ndo mimi
mumeo nimemlea mimi mwenyewe au hajakuambia.

mbona hakuna kitufe cha kudislike hii si sawa nabisa, mume wangu ushasikia Mamndenyi anataka mume wa mtu alafu una mkaribisha hm bila kunitaarifu. uko mbezi sasa ndo nn akutafute au? AM :shock:
 
lazima nikupige faini ya khanga ya china
ndo tumalizane.
sasa utambulisho ulionipa hakuwepo kwenye list ningemjuaje?,samahani mama mkubwa niwie radhi saana. wewe wangu tutaombana chemba.
 
ni katoto sana
inabidi nikasamehe hivyo hivyo
wewe endelea na mkeo.
ila mwambie yapo pia mapapa kama Madame B hawana huruma kwa watoto wa wanawake wenzao.
aisee..itabidi uombe radhi kwa kunielewa vibaya..ujue Mamndenyi ni mama yangu mkubwa ati,umesahau?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom