Veronica France Amuomba Msamaha Baba Askofu Mwamakula na Viongozi wa CHADEMA, Naye Akubali Msamaha Wake

Veronica France Amuomba Msamaha Baba Askofu Mwamakula na Viongozi wa CHADEMA, Naye Akubali Msamaha Wake

Bwana ujue kule Daslam kuna mambo mengi sana ya hovyo. 😅

Huyo Veronica France ni account iliibuka baada ya msiba wa uncle Magu kama sikosei, ikidai yeye ni mtoto wa Uncle Magu na anaujua ukweli kuhusu kifo chake blah blah blah.

Usikute huyo Vero ni kati ya hao wanaotukanana humu deile, na mimi wanisamehe ndugu zangu kwa kuwasingizia wao ni Veronica France 🤣

Kwa ujumla tu huyo ni mtu wa hovyo kama alivyo kigogo. Karibu Daslam 😂
Asante sana kwa maelezo yaliyonyooka,usisite siku nyingine kunifahamisha yanayo endelea huko Daslam,huku Itigi ni full vumbi muda huu.
 
Huyo "Veronica France" ni kama alivyokua "kigogo2014" sema huyu ni mkosoaji wa Samia akiamini JPM aliuwawa kwa njama kati ya Msoga Gang na Wapinzani.

Hana facts Wala Nini ila jinsi nchi yetu inapenda umbea basi alipata followers wengi Mitandaoni kwa kusema wanachotaka kusikia.

Sasa amekua akiwashambulia sana sio tu kina January, Nape ila pia kina Mbowe, Lissu, Na Askofu Mwamakula ambaye ni sympathizer wa CHADEMA.
Hii nchi bado watu hawapo busy? Kuna watu kweli kabisa timamu hufatilia hivyo vitu?
 
Hii nchi bado watu hawapo busy? Kuna watu kweli kabisa timamu hufatilia hivyo vitu?
Wengi mnoo Kuna Uzi inaitwa 17/03/2021 una accumulated viewers zaidi ya million 2. Ukiufungua humo ndio utaelewa kwanini hao kina Veronica France, Kigogo, Mange n.k Wana followers kibao.

waTanzania wanapenda umbea na speculations sio vitu serious.
 
Baba, Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula,naungana na Veronica kukuomba Msamaha.

Huku mitandaoni tunaongea sana, na mara zote tunakazia au kukomalia mambo ambayo hatuyajui, Nisamehe kwa hayo.

Pia, nachukua nafasi hii kuomba msamaha kwa wote tulioparuana na kukwazana humu Jf.
Mimi sidhani kama tumewahi kukwaruzana kwa lolote, lakini neno la Mungu lipo wazi, "kwake aombaye msamaha na kuweka kusudio la kutukurudia kosa, astahili msamaha".

Nakupongeza kwa kujaliwa neema ya kuona haja ya kuomba msamaha maana wengi wetu hatuoni sababu hiyo.

Kwa kuwa wengi tumepungukiwa hekima, tukajawa na kiburi, na kuona tunajua kila kitu, na wale walio kinyume chetu si chochote si lolote mbele yetu, naomba JF itangaze mwezi wa 5 wiki ya mwisho, kila mwaka kuwa wiki ya msamaha kwa waliokwazwa na yeyote LAKINI hilo wala lisipunguze uhuru wetu wa kutofautiana fikra, kuonyana, kufundishana au kukosoana BALI liongeze weledi, liondoe kiburi, na lijenge moyo wa kukiri pale usipojua au ulipokosea.
 
Kwenye Ukurasa wake wa Face Book wa Veronica France amepost ujumbe wa Kuomba Msamaha kwa Maneno ya kuudhi aliwahi kuyatamaka kwa Askofu na Viongozi wa Chadema Mbowe na Lusu

Akionyesha kuwa anajutia yote aliyoyafanya Veronica aliandika hivi

"Baba askofu, nachukua hatua hii muhimu katika maisha yangu kukuomba msamaha katika maeneo yote niliyowahi kukukosea kwa makusudi au kwa bahati mbaya🙏,najua tunatofautiana ktk itikadi na mitazamo,lakn nilikuwa nakukosoa katika namna isiyo ya kiungwana na kistaarabu ya matusi,kejeli,nilipungukiwa hekima mbele za Mungu na mbele yako,lakin sasa najutia na nanyenyekea sana mbele za Mungu na mbele zako,naomba radhi sana naomba unisamehe kama kijana au mdogo wako vyovyote vile.

Nilipotoa Lugha ya matusi, kejeli na kashfa, naomba unisamehe,alfajiri ya Leo nimejitafakari sana na nimechukua maamuzi haya bila kusongwa wala kishauriana na mtu, bali mimi na moyo wangu. Sometimes sitakiwi kufanya siasa za chuki na uadui, hata unapokosea sistahili, naomba sana unisamehe, nilitamani kuandika kwenye wall lakn nikaona usipo nitamkia msamaha hapa haita saidia.

Nelson Mandela aliwahi kusema "forgiveness is an attribute of strong people" and only warrior can ask for a forgiveness, hivyo, nifikishie msamaha wangu pia kwa Tundu Lissu, nilipomkejeli kwa ulemavu wake na situation aliyopitia,Naomba sana niombee radhi sana,anisamehe kama mdogo wake, nifikishie msamaha kwa Freeman Mbowe, tunajenga nyumba moja,na bado nasafari ndefu ya kujifunza🙏🙏🙏nitakushkuru sana kama utaguswa na kunisamehe hata usiponijibu au kuandika lakini rohon kwako tu ukinisamehe nitakushkuru sana🙏🙏🙏🙏asante sana na Mungu wangu wa Mbinguni akubariki.

Emmaus Bandekile Mwamakula"

Kufuatia hatua hiyo Baba Askofu Mwamakula naye alipost Kwenye Ukurasa wake wa Faceboo kuukubali msamaha wake.

Baba Askofu Alisema Hivi
"MAJIBU YA ASKOFU KWA VERONICA FRANCE!

Mpendwa Veronica France! Naona ulinipigia. Wakati huo nilikuwa kwenye phone conference. Lakini pia huwa situmii call hii ya messenger. Nadhani utakuwa unaelewa ni kwa nini situmii 'calls za messengers'!

Wito wangu wa Uaskofu una majukumu mengi sana ikiwemo kuwaombea watu. Tunapoomba tunaamini kuwa Mungu anasikia na pia hujibu maombi kwa wakati wake.

Sisi kama wanadamu tunatakiwa kuchukuliana na kusameheana pale tunapokoseana. Ni vizuri watu wakaelewa kuwa yote yaliyotendwa dhidi yangu binafsi, ninayahesabu kama gharama na sadaka yangu katika wito huu. Na hakuna wito usiokuwa na gharama.

Mungu aliwatumia watu walioniumiza ili kusudi niimarishwe zaidi. Ni kwa sababu hiyo, ingawa kuna wakati niliumia sana, lakini sikuwahi hata kidogo kuwachukia watu walioniumiza. Wengi niliwaombea na wachache sikushughulika nao.

Ukielewa jinsi upana wa vita yangu ilivyokuwa, huwezi kusononeka, bali utamtukuza Mungu pamoja nami kwa kunipigania. Hakuna vita isiyokuwa na majeruhi au hata vifo. Katika vita yangu, Wainjilisti 2, Wachungaji 7 na Askofu 1 walitukimbia. Tulipoteza sharika (parishes) 6 na tulidhurumiwa haki ya kupata viwanja vya kujenga Kanisa maeneo ya Mbweni na jengo 1 liliporwa kwa nguvu katika eneo ambalo kwa sasa sitaji. Vita nyingine dhidi yetu iliendeshwa kupitia kwa baadhi ya maofisa na watendaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Matusi ya mitandaoni dhidi ya Askofu yalikuwa yanapelekwa kwa waumini kwa lengo la kutaka kuwafedhehesha ili walihame Kanisa. Lengo kuu likiwa ni kuhakikisha Kanisa linavurugwa ili Askofu asiwe na Kanisa kabisa. Baadhi ya watu waliwatumia baadhi ya maaskofu wa Kanisa moja kubwa nchini kuvuruga mahusiano yetu na partners wetu nje ya nchi.

Wewe hukuelewa upana wa vita hii dhidi yangu na laiti ungelielewa, basi leo ungekuwa katika kustaajabia ukuu wa Mungu kwetu. Katika vita yote hiyo Askofu aliendelea kuishi na Kanisa bado lipo ingawa nguvu kubwa ilitumika kupitia kwa baadhi ya watu waliokuwa katika nafasi za mamlaka ambao walikuwa wanatumiwa kutaka kulifuta Kanisa letu kutoka katika uso wa jua.

Mimi binafsi sioni kama nina hadhi ye yote ya kuombwa msamaha na wewe, lakini kwa kuwa nafsi yako imewiwa kutaka kufanya hivyo, basi ni sharti nikutangazie msamaha kwa dhati ili nafsi yako ipate amani. Kutangaza msamaha au kutoa ghofila ni moja ya majukumu yetu ya kila Jumapili. Kama Askofu asipotangazia watu msamaha atakuwa ameikana imani.

Kuhusu Mhe. Tundu Lissu na Mhe. Freeman Mbowe, naweza kuwaambia lakini kikubwa ni jamii kuelewa kwani mara nyingi wafuasi ndio huumia viongozi wao wanapofedheheshwa.

Kama wewe ukiweka public hata kwa sentensi chache katika ukurasa wako kuhusu kuomba msamaha, nami nitaueleza umma kuwa kweli ulinitafuta kwa jambo hilo na nimekusamehe. Vinginevyo, nikiandika bila ya wewe kufanya hivyo, watu wengi watajua kuwa ni drama tu.

Napenda nikuhakikishie kuwa hili ulilolifanya hapa litakufungulia wewe milango ya baraka na kukupatia kibari kwa wakuu wa nchi. Lakini pia usifadhaike utakapoona baadhi ya uliokuwa nao wakianza kukujeli na kukufedhehesha. Wewe ni shujaa kwa kuwa umefanya kitendo ambacho wengi wetu tunashindwa! Kuomba msamaha hadharani tena mtandaoni ni ujasiri na unyenyekevu wa hali ya juu.

Tunaamini kuwa huu ni ushuhuda kwetu sisi, Kanisa letu na hata nchi yetu. Wale waumini na Wachungaji wetu ambao walitukimbia kwa kuambiwa uwongo au kutishwa watapata kitu cha kujifunza na wale waliobaki pamoja na sisi wataimarisha zaidi kiimani.

Ushuhuda wako ni uponyaji kwetu, uponyaji kwa Kanisa letu na uponyaji kwa taifa letu. Ni ushuhuda uliokuja katika wakati muafaka kwani sisi Askofu tunaendesha Kampeni ya kuundwa Tume ya Ukweli na Maridhiano ili watu wasameheana. Wewe umeonyesha njia.

Ninatumia nafasi hii kuwasihi Mheshimiwa Lissu, Mheshimiwa Mbowe na Watanzania wote ambao walikwazwa na wewe kwa namna moja ama nyingine kukusamehe kwa kuwa hata sisi Askofu tumekutangazia msamaha.

Ninakutakia amani ya Mungu ipitayo ufahamu wote. Wafilipi 4:8.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki

Dar es Salaam, 24 Mei 2023; 01:35 pm"
Jambo zuri sana kuomba msamaha, but hujaweka picha ya bro Vero mbona?
 
Kwenye Ukurasa wake wa Face Book wa Veronica France amepost ujumbe wa Kuomba Msamaha kwa Maneno ya kuudhi aliwahi kuyatamaka kwa Askofu na Viongozi wa Chadema Mbowe na Lusu

Akionyesha kuwa anajutia yote aliyoyafanya Veronica aliandika hivi

"Baba askofu, nachukua hatua hii muhimu katika maisha yangu kukuomba msamaha katika maeneo yote niliyowahi kukukosea kwa makusudi au kwa bahati mbaya🙏,najua tunatofautiana ktk itikadi na mitazamo,lakn nilikuwa nakukosoa katika namna isiyo ya kiungwana na kistaarabu ya matusi,kejeli,nilipungukiwa hekima mbele za Mungu na mbele yako,lakin sasa najutia na nanyenyekea sana mbele za Mungu na mbele zako,naomba radhi sana naomba unisamehe kama kijana au mdogo wako vyovyote vile.

Nilipotoa Lugha ya matusi, kejeli na kashfa, naomba unisamehe,alfajiri ya Leo nimejitafakari sana na nimechukua maamuzi haya bila kusongwa wala kishauriana na mtu, bali mimi na moyo wangu. Sometimes sitakiwi kufanya siasa za chuki na uadui, hata unapokosea sistahili, naomba sana unisamehe, nilitamani kuandika kwenye wall lakn nikaona usipo nitamkia msamaha hapa haita saidia.

Nelson Mandela aliwahi kusema "forgiveness is an attribute of strong people" and only warrior can ask for a forgiveness, hivyo, nifikishie msamaha wangu pia kwa Tundu Lissu, nilipomkejeli kwa ulemavu wake na situation aliyopitia,Naomba sana niombee radhi sana,anisamehe kama mdogo wake, nifikishie msamaha kwa Freeman Mbowe, tunajenga nyumba moja,na bado nasafari ndefu ya kujifunza🙏🙏🙏nitakushkuru sana kama utaguswa na kunisamehe hata usiponijibu au kuandika lakini rohon kwako tu ukinisamehe nitakushkuru sana🙏🙏🙏🙏asante sana na Mungu wangu wa Mbinguni akubariki.

Emmaus Bandekile Mwamakula"

Kufuatia hatua hiyo Baba Askofu Mwamakula naye alipost Kwenye Ukurasa wake wa Faceboo kuukubali msamaha wake.

Baba Askofu Alisema Hivi
"MAJIBU YA ASKOFU KWA VERONICA FRANCE!

Mpendwa Veronica France! Naona ulinipigia. Wakati huo nilikuwa kwenye phone conference. Lakini pia huwa situmii call hii ya messenger. Nadhani utakuwa unaelewa ni kwa nini situmii 'calls za messengers'!

Wito wangu wa Uaskofu una majukumu mengi sana ikiwemo kuwaombea watu. Tunapoomba tunaamini kuwa Mungu anasikia na pia hujibu maombi kwa wakati wake.

Sisi kama wanadamu tunatakiwa kuchukuliana na kusameheana pale tunapokoseana. Ni vizuri watu wakaelewa kuwa yote yaliyotendwa dhidi yangu binafsi, ninayahesabu kama gharama na sadaka yangu katika wito huu. Na hakuna wito usiokuwa na gharama.

Mungu aliwatumia watu walioniumiza ili kusudi niimarishwe zaidi. Ni kwa sababu hiyo, ingawa kuna wakati niliumia sana, lakini sikuwahi hata kidogo kuwachukia watu walioniumiza. Wengi niliwaombea na wachache sikushughulika nao.

Ukielewa jinsi upana wa vita yangu ilivyokuwa, huwezi kusononeka, bali utamtukuza Mungu pamoja nami kwa kunipigania. Hakuna vita isiyokuwa na majeruhi au hata vifo. Katika vita yangu, Wainjilisti 2, Wachungaji 7 na Askofu 1 walitukimbia. Tulipoteza sharika (parishes) 6 na tulidhurumiwa haki ya kupata viwanja vya kujenga Kanisa maeneo ya Mbweni na jengo 1 liliporwa kwa nguvu katika eneo ambalo kwa sasa sitaji. Vita nyingine dhidi yetu iliendeshwa kupitia kwa baadhi ya maofisa na watendaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Matusi ya mitandaoni dhidi ya Askofu yalikuwa yanapelekwa kwa waumini kwa lengo la kutaka kuwafedhehesha ili walihame Kanisa. Lengo kuu likiwa ni kuhakikisha Kanisa linavurugwa ili Askofu asiwe na Kanisa kabisa. Baadhi ya watu waliwatumia baadhi ya maaskofu wa Kanisa moja kubwa nchini kuvuruga mahusiano yetu na partners wetu nje ya nchi.

Wewe hukuelewa upana wa vita hii dhidi yangu na laiti ungelielewa, basi leo ungekuwa katika kustaajabia ukuu wa Mungu kwetu. Katika vita yote hiyo Askofu aliendelea kuishi na Kanisa bado lipo ingawa nguvu kubwa ilitumika kupitia kwa baadhi ya watu waliokuwa katika nafasi za mamlaka ambao walikuwa wanatumiwa kutaka kulifuta Kanisa letu kutoka katika uso wa jua.

Mimi binafsi sioni kama nina hadhi ye yote ya kuombwa msamaha na wewe, lakini kwa kuwa nafsi yako imewiwa kutaka kufanya hivyo, basi ni sharti nikutangazie msamaha kwa dhati ili nafsi yako ipate amani. Kutangaza msamaha au kutoa ghofila ni moja ya majukumu yetu ya kila Jumapili. Kama Askofu asipotangazia watu msamaha atakuwa ameikana imani.

Kuhusu Mhe. Tundu Lissu na Mhe. Freeman Mbowe, naweza kuwaambia lakini kikubwa ni jamii kuelewa kwani mara nyingi wafuasi ndio huumia viongozi wao wanapofedheheshwa.

Kama wewe ukiweka public hata kwa sentensi chache katika ukurasa wako kuhusu kuomba msamaha, nami nitaueleza umma kuwa kweli ulinitafuta kwa jambo hilo na nimekusamehe. Vinginevyo, nikiandika bila ya wewe kufanya hivyo, watu wengi watajua kuwa ni drama tu.

Napenda nikuhakikishie kuwa hili ulilolifanya hapa litakufungulia wewe milango ya baraka na kukupatia kibari kwa wakuu wa nchi. Lakini pia usifadhaike utakapoona baadhi ya uliokuwa nao wakianza kukujeli na kukufedhehesha. Wewe ni shujaa kwa kuwa umefanya kitendo ambacho wengi wetu tunashindwa! Kuomba msamaha hadharani tena mtandaoni ni ujasiri na unyenyekevu wa hali ya juu.

Tunaamini kuwa huu ni ushuhuda kwetu sisi, Kanisa letu na hata nchi yetu. Wale waumini na Wachungaji wetu ambao walitukimbia kwa kuambiwa uwongo au kutishwa watapata kitu cha kujifunza na wale waliobaki pamoja na sisi wataimarisha zaidi kiimani.

Ushuhuda wako ni uponyaji kwetu, uponyaji kwa Kanisa letu na uponyaji kwa taifa letu. Ni ushuhuda uliokuja katika wakati muafaka kwani sisi Askofu tunaendesha Kampeni ya kuundwa Tume ya Ukweli na Maridhiano ili watu wasameheana. Wewe umeonyesha njia.

Ninatumia nafasi hii kuwasihi Mheshimiwa Lissu, Mheshimiwa Mbowe na Watanzania wote ambao walikwazwa na wewe kwa namna moja ama nyingine kukusamehe kwa kuwa hata sisi Askofu tumekutangazia msamaha.

Ninakutakia amani ya Mungu ipitayo ufahamu wote. Wafilipi 4:8.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki

Dar es Salaam, 24 Mei 2023; 01:35 pm"
Huyu veronica france watu walisema sana kwamba ni musiba vp kuna ka ukweli hapo
 
Wengi mnoo Kuna Uzi inaitwa 17/03/2021 una accumulated viewers zaidi ya million 2. Ukiufungua humo ndio utaelewa kwanini hao kina Veronica France, Kigogo, Mange n.k Wana followers kibao.

waTanzania wanapenda umbea na speculations sio vitu serious.
Watanzania wanapenda story za Usalama wa Taifa,Freemasons,miujiza ya mwamposa na vitu vya kufikirika.
Ndo maana watu uliowataja wanapata unaarufu!!
 
Naomba radhi Sana unisamehe kama mdogo wako au vyovyote vile

Hapa bado kamkosea askofu au vyovyote vile ,maana yake Nini? Anaweza kuwa sio mdogowake ila hawala wake

Arudie kuomba Tena Msamaha
kosa wakati wa kuomba msamaha .

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee ,nimependa mondo za Askofu Mwamakula,abarikiwe sana🤔🤔
 
Kwenye Ukurasa wake wa Face Book wa Veronica France amepost ujumbe wa Kuomba Msamaha kwa Maneno ya kuudhi aliwahi kuyatamaka kwa Askofu na Viongozi wa Chadema Mbowe na Lusu

Akionyesha kuwa anajutia yote aliyoyafanya Veronica aliandika hivi

"Baba askofu, nachukua hatua hii muhimu katika maisha yangu kukuomba msamaha katika maeneo yote niliyowahi kukukosea kwa makusudi au kwa bahati mbaya[emoji120],najua tunatofautiana ktk itikadi na mitazamo,lakn nilikuwa nakukosoa katika namna isiyo ya kiungwana na kistaarabu ya matusi,kejeli,nilipungukiwa hekima mbele za Mungu na mbele yako,lakin sasa najutia na nanyenyekea sana mbele za Mungu na mbele zako,naomba radhi sana naomba unisamehe kama kijana au mdogo wako vyovyote vile.

Nilipotoa Lugha ya matusi, kejeli na kashfa, naomba unisamehe,alfajiri ya Leo nimejitafakari sana na nimechukua maamuzi haya bila kusongwa wala kishauriana na mtu, bali mimi na moyo wangu. Sometimes sitakiwi kufanya siasa za chuki na uadui, hata unapokosea sistahili, naomba sana unisamehe, nilitamani kuandika kwenye wall lakn nikaona usipo nitamkia msamaha hapa haita saidia.

Nelson Mandela aliwahi kusema "forgiveness is an attribute of strong people" and only warrior can ask for a forgiveness, hivyo, nifikishie msamaha wangu pia kwa Tundu Lissu, nilipomkejeli kwa ulemavu wake na situation aliyopitia,Naomba sana niombee radhi sana,anisamehe kama mdogo wake, nifikishie msamaha kwa Freeman Mbowe, tunajenga nyumba moja,na bado nasafari ndefu ya kujifunza[emoji120][emoji120][emoji120]nitakushkuru sana kama utaguswa na kunisamehe hata usiponijibu au kuandika lakini rohon kwako tu ukinisamehe nitakushkuru sana[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]asante sana na Mungu wangu wa Mbinguni akubariki.

Emmaus Bandekile Mwamakula"

Kufuatia hatua hiyo Baba Askofu Mwamakula naye alipost Kwenye Ukurasa wake wa Faceboo kuukubali msamaha wake.

Baba Askofu Alisema Hivi
"MAJIBU YA ASKOFU KWA VERONICA FRANCE!

Mpendwa Veronica France! Naona ulinipigia. Wakati huo nilikuwa kwenye phone conference. Lakini pia huwa situmii call hii ya messenger. Nadhani utakuwa unaelewa ni kwa nini situmii 'calls za messengers'!

Wito wangu wa Uaskofu una majukumu mengi sana ikiwemo kuwaombea watu. Tunapoomba tunaamini kuwa Mungu anasikia na pia hujibu maombi kwa wakati wake.

Sisi kama wanadamu tunatakiwa kuchukuliana na kusameheana pale tunapokoseana. Ni vizuri watu wakaelewa kuwa yote yaliyotendwa dhidi yangu binafsi, ninayahesabu kama gharama na sadaka yangu katika wito huu. Na hakuna wito usiokuwa na gharama.

Mungu aliwatumia watu walioniumiza ili kusudi niimarishwe zaidi. Ni kwa sababu hiyo, ingawa kuna wakati niliumia sana, lakini sikuwahi hata kidogo kuwachukia watu walioniumiza. Wengi niliwaombea na wachache sikushughulika nao.

Ukielewa jinsi upana wa vita yangu ilivyokuwa, huwezi kusononeka, bali utamtukuza Mungu pamoja nami kwa kunipigania. Hakuna vita isiyokuwa na majeruhi au hata vifo. Katika vita yangu, Wainjilisti 2, Wachungaji 7 na Askofu 1 walitukimbia. Tulipoteza sharika (parishes) 6 na tulidhurumiwa haki ya kupata viwanja vya kujenga Kanisa maeneo ya Mbweni na jengo 1 liliporwa kwa nguvu katika eneo ambalo kwa sasa sitaji. Vita nyingine dhidi yetu iliendeshwa kupitia kwa baadhi ya maofisa na watendaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Matusi ya mitandaoni dhidi ya Askofu yalikuwa yanapelekwa kwa waumini kwa lengo la kutaka kuwafedhehesha ili walihame Kanisa. Lengo kuu likiwa ni kuhakikisha Kanisa linavurugwa ili Askofu asiwe na Kanisa kabisa. Baadhi ya watu waliwatumia baadhi ya maaskofu wa Kanisa moja kubwa nchini kuvuruga mahusiano yetu na partners wetu nje ya nchi.

Wewe hukuelewa upana wa vita hii dhidi yangu na laiti ungelielewa, basi leo ungekuwa katika kustaajabia ukuu wa Mungu kwetu. Katika vita yote hiyo Askofu aliendelea kuishi na Kanisa bado lipo ingawa nguvu kubwa ilitumika kupitia kwa baadhi ya watu waliokuwa katika nafasi za mamlaka ambao walikuwa wanatumiwa kutaka kulifuta Kanisa letu kutoka katika uso wa jua.

Mimi binafsi sioni kama nina hadhi ye yote ya kuombwa msamaha na wewe, lakini kwa kuwa nafsi yako imewiwa kutaka kufanya hivyo, basi ni sharti nikutangazie msamaha kwa dhati ili nafsi yako ipate amani. Kutangaza msamaha au kutoa ghofila ni moja ya majukumu yetu ya kila Jumapili. Kama Askofu asipotangazia watu msamaha atakuwa ameikana imani.

Kuhusu Mhe. Tundu Lissu na Mhe. Freeman Mbowe, naweza kuwaambia lakini kikubwa ni jamii kuelewa kwani mara nyingi wafuasi ndio huumia viongozi wao wanapofedheheshwa.

Kama wewe ukiweka public hata kwa sentensi chache katika ukurasa wako kuhusu kuomba msamaha, nami nitaueleza umma kuwa kweli ulinitafuta kwa jambo hilo na nimekusamehe. Vinginevyo, nikiandika bila ya wewe kufanya hivyo, watu wengi watajua kuwa ni drama tu.

Napenda nikuhakikishie kuwa hili ulilolifanya hapa litakufungulia wewe milango ya baraka na kukupatia kibari kwa wakuu wa nchi. Lakini pia usifadhaike utakapoona baadhi ya uliokuwa nao wakianza kukujeli na kukufedhehesha. Wewe ni shujaa kwa kuwa umefanya kitendo ambacho wengi wetu tunashindwa! Kuomba msamaha hadharani tena mtandaoni ni ujasiri na unyenyekevu wa hali ya juu.

Tunaamini kuwa huu ni ushuhuda kwetu sisi, Kanisa letu na hata nchi yetu. Wale waumini na Wachungaji wetu ambao walitukimbia kwa kuambiwa uwongo au kutishwa watapata kitu cha kujifunza na wale waliobaki pamoja na sisi wataimarisha zaidi kiimani.

Ushuhuda wako ni uponyaji kwetu, uponyaji kwa Kanisa letu na uponyaji kwa taifa letu. Ni ushuhuda uliokuja katika wakati muafaka kwani sisi Askofu tunaendesha Kampeni ya kuundwa Tume ya Ukweli na Maridhiano ili watu wasameheana. Wewe umeonyesha njia.

Ninatumia nafasi hii kuwasihi Mheshimiwa Lissu, Mheshimiwa Mbowe na Watanzania wote ambao walikwazwa na wewe kwa namna moja ama nyingine kukusamehe kwa kuwa hata sisi Askofu tumekutangazia msamaha.

Ninakutakia amani ya Mungu ipitayo ufahamu wote. Wafilipi 4:8.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki

Dar es Salaam, 24 Mei 2023; 01:35 pm"
Kaona yaliyomtokea Membe kwa kiburi chake,hawa viongozi si wa kuchezea wakikueleza jambo tekeleza,hata hivyo kajiongeza bila shuruti
 
Kwenye Ukurasa wake wa Face Book wa Veronica France amepost ujumbe wa Kuomba Msamaha kwa Maneno ya kuudhi aliwahi kuyatamaka kwa Askofu na Viongozi wa Chadema Mbowe na Lusu

Akionyesha kuwa anajutia yote aliyoyafanya Veronica aliandika hivi

"Baba askofu, nachukua hatua hii muhimu katika maisha yangu kukuomba msamaha katika maeneo yote niliyowahi kukukosea kwa makusudi au kwa bahati mbaya🙏,najua tunatofautiana ktk itikadi na mitazamo,lakn nilikuwa nakukosoa katika namna isiyo ya kiungwana na kistaarabu ya matusi,kejeli,nilipungukiwa hekima mbele za Mungu na mbele yako,lakin sasa najutia na nanyenyekea sana mbele za Mungu na mbele zako,naomba radhi sana naomba unisamehe kama kijana au mdogo wako vyovyote vile.

Nilipotoa Lugha ya matusi, kejeli na kashfa, naomba unisamehe,alfajiri ya Leo nimejitafakari sana na nimechukua maamuzi haya bila kusongwa wala kishauriana na mtu, bali mimi na moyo wangu. Sometimes sitakiwi kufanya siasa za chuki na uadui, hata unapokosea sistahili, naomba sana unisamehe, nilitamani kuandika kwenye wall lakn nikaona usipo nitamkia msamaha hapa haita saidia.

Nelson Mandela aliwahi kusema "forgiveness is an attribute of strong people" and only warrior can ask for a forgiveness, hivyo, nifikishie msamaha wangu pia kwa Tundu Lissu, nilipomkejeli kwa ulemavu wake na situation aliyopitia,Naomba sana niombee radhi sana,anisamehe kama mdogo wake, nifikishie msamaha kwa Freeman Mbowe, tunajenga nyumba moja,na bado nasafari ndefu ya kujifunza🙏🙏🙏nitakushkuru sana kama utaguswa na kunisamehe hata usiponijibu au kuandika lakini rohon kwako tu ukinisamehe nitakushkuru sana🙏🙏🙏🙏asante sana na Mungu wangu wa Mbinguni akubariki.

Emmaus Bandekile Mwamakula"

Kufuatia hatua hiyo Baba Askofu Mwamakula naye alipost Kwenye Ukurasa wake wa Faceboo kuukubali msamaha wake.

Baba Askofu Alisema Hivi
"MAJIBU YA ASKOFU KWA VERONICA FRANCE!

Mpendwa Veronica France! Naona ulinipigia. Wakati huo nilikuwa kwenye phone conference. Lakini pia huwa situmii call hii ya messenger. Nadhani utakuwa unaelewa ni kwa nini situmii 'calls za messengers'!

Wito wangu wa Uaskofu una majukumu mengi sana ikiwemo kuwaombea watu. Tunapoomba tunaamini kuwa Mungu anasikia na pia hujibu maombi kwa wakati wake.

Sisi kama wanadamu tunatakiwa kuchukuliana na kusameheana pale tunapokoseana. Ni vizuri watu wakaelewa kuwa yote yaliyotendwa dhidi yangu binafsi, ninayahesabu kama gharama na sadaka yangu katika wito huu. Na hakuna wito usiokuwa na gharama.

Mungu aliwatumia watu walioniumiza ili kusudi niimarishwe zaidi. Ni kwa sababu hiyo, ingawa kuna wakati niliumia sana, lakini sikuwahi hata kidogo kuwachukia watu walioniumiza. Wengi niliwaombea na wachache sikushughulika nao.

Ukielewa jinsi upana wa vita yangu ilivyokuwa, huwezi kusononeka, bali utamtukuza Mungu pamoja nami kwa kunipigania. Hakuna vita isiyokuwa na majeruhi au hata vifo. Katika vita yangu, Wainjilisti 2, Wachungaji 7 na Askofu 1 walitukimbia. Tulipoteza sharika (parishes) 6 na tulidhurumiwa haki ya kupata viwanja vya kujenga Kanisa maeneo ya Mbweni na jengo 1 liliporwa kwa nguvu katika eneo ambalo kwa sasa sitaji. Vita nyingine dhidi yetu iliendeshwa kupitia kwa baadhi ya maofisa na watendaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Matusi ya mitandaoni dhidi ya Askofu yalikuwa yanapelekwa kwa waumini kwa lengo la kutaka kuwafedhehesha ili walihame Kanisa. Lengo kuu likiwa ni kuhakikisha Kanisa linavurugwa ili Askofu asiwe na Kanisa kabisa. Baadhi ya watu waliwatumia baadhi ya maaskofu wa Kanisa moja kubwa nchini kuvuruga mahusiano yetu na partners wetu nje ya nchi.

Wewe hukuelewa upana wa vita hii dhidi yangu na laiti ungelielewa, basi leo ungekuwa katika kustaajabia ukuu wa Mungu kwetu. Katika vita yote hiyo Askofu aliendelea kuishi na Kanisa bado lipo ingawa nguvu kubwa ilitumika kupitia kwa baadhi ya watu waliokuwa katika nafasi za mamlaka ambao walikuwa wanatumiwa kutaka kulifuta Kanisa letu kutoka katika uso wa jua.

Mimi binafsi sioni kama nina hadhi ye yote ya kuombwa msamaha na wewe, lakini kwa kuwa nafsi yako imewiwa kutaka kufanya hivyo, basi ni sharti nikutangazie msamaha kwa dhati ili nafsi yako ipate amani. Kutangaza msamaha au kutoa ghofila ni moja ya majukumu yetu ya kila Jumapili. Kama Askofu asipotangazia watu msamaha atakuwa ameikana imani.

Kuhusu Mhe. Tundu Lissu na Mhe. Freeman Mbowe, naweza kuwaambia lakini kikubwa ni jamii kuelewa kwani mara nyingi wafuasi ndio huumia viongozi wao wanapofedheheshwa.

Kama wewe ukiweka public hata kwa sentensi chache katika ukurasa wako kuhusu kuomba msamaha, nami nitaueleza umma kuwa kweli ulinitafuta kwa jambo hilo na nimekusamehe. Vinginevyo, nikiandika bila ya wewe kufanya hivyo, watu wengi watajua kuwa ni drama tu.

Napenda nikuhakikishie kuwa hili ulilolifanya hapa litakufungulia wewe milango ya baraka na kukupatia kibari kwa wakuu wa nchi. Lakini pia usifadhaike utakapoona baadhi ya uliokuwa nao wakianza kukujeli na kukufedhehesha. Wewe ni shujaa kwa kuwa umefanya kitendo ambacho wengi wetu tunashindwa! Kuomba msamaha hadharani tena mtandaoni ni ujasiri na unyenyekevu wa hali ya juu.

Tunaamini kuwa huu ni ushuhuda kwetu sisi, Kanisa letu na hata nchi yetu. Wale waumini na Wachungaji wetu ambao walitukimbia kwa kuambiwa uwongo au kutishwa watapata kitu cha kujifunza na wale waliobaki pamoja na sisi wataimarisha zaidi kiimani.

Ushuhuda wako ni uponyaji kwetu, uponyaji kwa Kanisa letu na uponyaji kwa taifa letu. Ni ushuhuda uliokuja katika wakati muafaka kwani sisi Askofu tunaendesha Kampeni ya kuundwa Tume ya Ukweli na Maridhiano ili watu wasameheana. Wewe umeonyesha njia.

Ninatumia nafasi hii kuwasihi Mheshimiwa Lissu, Mheshimiwa Mbowe na Watanzania wote ambao walikwazwa na wewe kwa namna moja ama nyingine kukusamehe kwa kuwa hata sisi Askofu tumekutangazia msamaha.

Ninakutakia amani ya Mungu ipitayo ufahamu wote. Wafilipi 4:8.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki

Dar es Salaam, 24 Mei 2023; 01:35 pm"
A very stupid bishop is asked for forgiveness! Ahahahahaha!!!
 
Ninatumia nafasi hii kuwasihi Mheshimiwa Lissu, Mheshimiwa Mbowe na Watanzania wote ambao walikwazwa na wewe kwa namna moja ama nyingine kukusamehe kwa kuwa hata sisi Askofu tumekutangazia msamaha.

Ninakutakia amani ya Mungu ipitayo ufahamu wote. Wafilipi 4:8.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfua
Nilijua tu hawa wahuni watafika Mwisho.

Huwezi kupamba na watumishi kama Askofu Mwamakula Danieli wa zama hizi ukafika popote.

Kuna mtu alisema " yule anayejiita askofu" alipotea hadi leo hasikiki.

Mwingine alitaka kumuua Askofu Mwamakula kwa kuwa eti anahubiri Haki na Katiba Mpya askofu akamjibu sawa Kama nina fanya kosa mwambieni aje anipige risasi.

Mwamakula hata kama mnadharau angalieni mnapambana na Nguvu za Mungu bila kujua.
 
A very stupid bishop is asked for forgiveness! Ahahahahaha!!!
Shetani anakutumia vibaya. Kosa la Mwamakula ni lipi kwenye harakati zake? Alishaua mtu? Alishaiba mali za umma? Alishafunga Mtu Jela kwa kubambikia kesi?
Wewe huna kibri zaidi ya Sabaya na Makonda.

Mungu atakulipa jeuri yako
 
Ushuhuda wako ni uponyaji kwetu, uponyaji kwa Kanisa letu na uponyaji kwa taifa letu. Ni ushuhuda uliokuja katika wakati muafaka kwani sisi Askofu tunaendesha Kampeni ya kuundwa Tume ya Ukweli na Maridhiano ili watu wasameheana. Wewe umeonyesha njia.[emoji419][emoji375]
Ameen
 
Back
Top Bottom