Una uhakika ni mwanaume?Hio Nchi bhna, Mtu asiyejulikana anaomba Msamaha na Askofu anasemehe. Kule anajiita Veronica na humu anajiita Suzy, halafu ni Mwanaume na familia kabisa.
Ila ndivyo ilivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una uhakika ni mwanaume?Hio Nchi bhna, Mtu asiyejulikana anaomba Msamaha na Askofu anasemehe. Kule anajiita Veronica na humu anajiita Suzy, halafu ni Mwanaume na familia kabisa.
Ila ndivyo ilivyo
Aachane na siasa amtumikie Mungu. Kama yupo kwenye siasa basi akubali yote!Shetani anakutumia vibaya. Kosa la Mwamakula ni lipi kwenye harakati zake? Alishaua mtu? Alishaiba mali za umma? Alishafunga Mtu Jela kwa kubambikia kesi?
Wewe huna kibri zaidi ya Sabaya na Makonda.
Mungu atakulipa jeuri yako
Ongezea nyama kidogo mshana juu ya hiliKwenye mazingira kama haya kuna mengi
1. Mhusika kagundua alikuwa anatumika na sasa ametelekezwa
2. Ufunuo wa nguvu ya maombi umefanya kazi
3. Anakaribia kufa
AahWewe hukuelewa upana wa vita hii dhidi yangu na laiti ungelielewa, basi leo ungekuwa katika kustaajabia ukuu wa Mungu kwetu. Katika vita yote hiyo Askofu aliendelea kuishi na Kanisa bado lipo ingawa nguvu kubwa ilitumika kupitia kwa baadhi ya watu waliokuwa katika nafasi za mamlaka ambao walikuwa wanatumiwa kutaka