Veronika wakunifanyia haya Mimi?

Veronika wakunifanyia haya Mimi?

Huna ajira na vikao vya wanaume huhudhurii? Unakuwaga wapi ? Vikao vyote toka miaka 20 nyuma vinasisitiza kukaa mbali sana na single mothers, ila wewe unajipeleka kichwa kichwa 😂😂 tena mwenye watoto wawili 😂😂😂😂

Kwa niaba ya wanaume wote, tunasema unastahili maumivu, ni uzembe winako wa kutoshiriki vikao vya mwaka na nusu mwaka
Nakazia 😁
 
Na mi nimeona chai hii, anataka pa kupatia kuponda single maza 🤣🤣🤣🤣
Ila single maza wanapitia magumu mtu akila akivimbiwa anakuja na chai yake ili kuwaponda…!!! Na huyo anayeponda hata sura ya baba ake halisi haijui!!!
Hivi Veronika ni singlemother kumbe?
 
Huna ajira na vikao vya wanaume huhudhurii? Unakuwaga wapi ? Vikao vyote toka miaka 20 nyuma vinasisitiza kukaa mbali sana na single mothers, ila wewe unajipeleka kichwa kichwa 😂😂 tena mwenye watoto wawili 😂😂😂😂

Kwa niaba ya wanaume wote, tunasema unastahili maumivu, ni uzembe wako wa kutoshiriki vikao vya mwaka na nusu mwaka
Veronika ametenda kilicho stahili.... apokee maua yake kabisa!!
 
Na atakuua kweli 😂

Una undugu na rais wa majobless, jobless pro max ? Poor Brain future bilionea kachange
Na mi nimeona chai hii, anataka pa kupatia kuponda single maza 🤣🤣🤣🤣
Ila single maza wanapitia magumu mtu akila akivimbiwa anakuja na chai yake ili kuwaponda…!!! Na huyo anayeponda hata sura ya baba ake halisi haijui!!!
Sijui nisemeje, lakini hii sio chai ni uhalisia na Sasa nipo sehem navuta pumzi na kutuliza fuvu
 
Sikia kwa mwenzio...KUNA jamaa tegeta kahama kwake kaitekeleza kahamia kwa demu...ana mapacha WA mtu jamaa anatuma misosi KILA kitu....

sikuakimhitaji anamwaga mzee naenda kuchukua misosi ya wanao ananyanduliwa akirudi hoi

akaanza kuhoji ukienda KWENYE chakula unankatili penzi weee

jamaa amefukuxwa MAJUZI na demu



 
Ungekuwa mpole MKUU kama unanwanao Nje unaongesea anakutunzia...simple.....hapo ulikuwa una uhakika WA kupokea misosi kwa wanaumee WAWILI tofauti nn kingine ilitaka
 
Ungekuwa mpole MKUU kama unanwanao Nje unaongesea anakutunzia...simple.....hapo ulikuwa una uhakika WA kupokea misosi kwa wanaumee WAWILI tofauti nn kingine ilitaka
We jamaa njoo nikupe ukae nae Mimi nimechemka
 
Sikia kwa mwenzio...KUNA jamaa tegeta kahama kwake kaitekeleza kahamia kwa demu...ana mapacha WA mtu jamaa anatuma misosi KILA kitu....

sikuakimhitaji anamwaga mzee naenda kuchukua misosi ya wanao ananyanduliwa akirudi hoi

akaanza kuhoji ukienda KWENYE chakula unankatili penzi weee

jamaa amefukuxwa MAJUZI na demu
Sasa Ili yasinikute hayo nimesalim amri
 
Back
Top Bottom