Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwa speed hii wanayokwenda nayo, nashawishika kuamini kuwa Bado siku chache sana tutajua nani Yuko nyuma ya kile chama kipya.....
Wenye chama Chao watajitokeza mapema tu, hakika vita vya panzi furaha kwa kunguru. Wacha wararuane....
[/QUOTE)
Mzee wa bakora hakosekanimoπ€.
AiseeeKwa speed hii wanayokwenda nayo, nashawishika kuamini kuwa Bado siku chache sana tutajua nani Yuko nyuma ya kile chama kipya.....
Wenye chama Chao watajitokeza mapema tu, hakika vita vya panzi furaha kwa kunguru. Wacha wararuane....
Basi nikajua nimesikia vibaya au lah"mtaamua 2025 mchague mwingine au ...
Na mimi kidogo niplay back kumbe ilikuwa liveBasi nikajua nimesikia vibaya au lah
Imekuwaje kwani?Na mimi kidogo niplay back kumbe ilikuwa live
Hahaaa!ccm saivi ugali ni wamoto, mboga yamoto.
Avatar yako niipendayoImekuwaje kwani?
[emoji847]Nihadithie sasa ilivyokuwaAvatar yako niipendayo
Mihadithieni basi jamaniBasi nikajua nimesikia vibaya au lah
Yaani ni hivi, CCM kwa moto saaaana wanataka kugawana fitoMihadithieni basi jamani
Mbona mnataka msikie nyie tu!
[emoji38]Yaani ni hivi, CCM kwa moto saaaana wanataka kugawana fito
Ubabe ndio uliomsaidia,watanzania wengi uwezo kutafakari mambo ni Mdogo hivyo ukiwaachia Uhuru wakutafakari wao wenyewe wanatapatapa.ila sijui kwa nini magufuli alifanikiwa kuwahadaa wadanganyika kuwa tulikuwa kwenye right track
Shida ni connection[emoji38]
Elezea vizuri basi
πππShida ni connection