Very sorry Eliza, I lied to you huu ndio ukweli

we inawezekana umeelewa zaidi.
kuna sehemu jamaa kasema walikuwa wapenzi??
 
Duh Mleta uzi, mwenzetu namba umeaza kuzisoma siku nyingi sana! Haya karibu tena kwenye show za Juma Pombe Maharage
 
we inawezekana umeelewa zaidi.
kuna sehemu jamaa kasema walikuwa wapenzi??
Yap kasema walikuwa wapenz na walikuwa wanatumia muda mwingi sana kuongea nimewaza kwa sauti nikahis kuwa labda jamaa alipomuona hakuvutiwa nae kwa kila kitu,sababu huwez kumpoint mtu mwingine ilihali wewe mhusika upo,kiufupi huyu jamaa alikosea sana.
 
ah! sawa
 
Dalili za udhaifu na kutokuwa na kazi ya kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…