'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

uloandika huu uzi inaonekana ulienda shule kujazwa upumbavu
kwa kifupi ww ni kilaza wa karne
Aisee, sasa hapa wewe unatofauti gani na kenge?, maana hata kenge angeweeza kupost huu utumbo uliocomment bila hoja yoyote, jadili kwa hoja kama binadamu mwenye utashi
 
mkuu kuna kitu unapaswa ukitambue kabla hujaenda.....akili yako ina limitations hauna ruhusa ya kufikiria kwa kiwango unachotaka au ukaitumia kwa kiwango unachotaka.....bali ina ukomo na kiwango cha mwisho..
mfano wewe umezaliwa mwaka 1970 nikikuuliza mwaka 1969 ulikuwa wapi hata ukiumiza kichwa mpaka ufe wala hupati majibu...basi vivyo hivyo mambo ya uumbaji na upangiliaji wa mambo sio kazi yetu kuhoji na kudadisi kwa akili zetu za 0.1 kb storage..

nikirudi kwenye swali lako mambo yote ya ulimwengu huu yametajwa kwa uwazi na mmiliki na muanzilishi wa ulimwengu na si vyema ukamuhoji binadamu au jini wakati na yeye ni katika waliomo ndani ya ulimwengu huohuo.....sasa nakupa majibu ya aliyeumba na kuweka kila kitu katika mpangilio wa sawasawa..

6."sema: bila shaka mimi ni mtu kama nyinyi, ninaletewa ufunuo ya kwamba mungu wenu ni mmoja tu....basi elekeeni kwake na mumtake msamaha, na ole wao wanaofanya ushirikina..."..............
9.sema: ooh! mnamkanusha yule aliyeumba ardhi kwa siku mbili na mnamfanyia washirika?!....huyo ndiye mola wa walimwengu wote..
10. na akaweka humo milima juu yake na akabariki humo na akakadiria humo chakula chake{ cha kuwatosha wakatakaokaa humo} kwa siku nne....haya ni sawa kabisa kwa hao wanaouliza.............
12.Basi akazifanya mbingu saba katika siku mbili na kila uwingu akaufunulia kazi yake...na tumeupamba uwingu wa karibu yenu huu kwa mataa na kuulinda.....huo ndio uwezo wa mwenye nguvu mwenye kujua..
13.Basi kama wakipuuza sema: "nakupeni tahadhari juu ya adhabu mfano wa adhabu ya adi na thamudi...


mpaka mwisho na maneno ni mengi sana na kwa sisi tunaoishi kwa imani juu yake basi utamu na ladha haiishi..

ukitaka ziada nenda kasome mwenyewe quran 41:1-13 ..


shukran..
Uliposema tu et AKILI YANGU INA LIMITATIONS, SINA RUHUSA YA KUFIKIRIA KWA KIWANGO NINACHOTAKA..... hapo ndo umeharibu.

Mkuu Toka 2015 SIJAWAHI KUIWEKEA LIMITATIONS AKILI YANGU. YAANI NAWAZA CHOCHOTE, NAHOJI (kichwani mwangu) CHOCHOTE, NAKATAA CHOCHOTE NA NAKUBALI CHOCHOTE na NATUKANA NIWEZAVYO.


Yaani mkuu SINA HATA CHEMBE YA KUHOFIA KUKUFURU.

you KNOW WHAT??


Naamini katika KUWEPO KWA CHANZO CHA UHAI NA UWEPO (life & existence) LAKINI..

1 NAKATAA 100% KUWA MUNGU HAYUPO KAMA ANAVYOELEZWA KATIKA VITABU. kwangu dhana ya Mungu ingeeleweka Sana na kurahisisha jinsi ya kumu-imagine (GOD'S IMAGINATION) Kama ingetumika pronoun ya IT badala ya HE.

2 SIAMINI HATA CHEMBE KUWA YESU NI MUNGU WALA MWANA WA MUNGU Kwa sababu Mungu si KIUMBE HADI AWE NA MWANA.

3 SIAMINI KATIKA UWEPO WA SHETANI (Adui wa Mungu) wala SHAMBI KUTOKANA NA SHETANI.

4 Kuna CHANZO 1 TU CHA UHAI NA UWEPO, vingine vyote Ni viumbe (creatures..macro & micro, vissible and invisible) because creation takes different forms in different dimensions)


Hakuna sijui malaika wasaidizi wa Mungu, Mara mapepo wasaidizi wa Shetani..vyote Ni viumbe na sio wasaidizi wa Mungu au Shetani.

5 Hakuna dhambi wala kosa katika kutumia mitishamba na viumbe vingine kwa dawa, kosa Ni NIA YAKO. Kama Unatumia kwa Nia ya kujitibu au kujikinga Hakuna kosa. Kama Unatumia kwa Nia ya kudhuru Ni kosa.

Kwa UFUPI AKILI YANGU NITUMIA BILA MIPAKA WALA HOFU YA AINA YOYOTE YA KIDINI
 
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.

Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.

Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.

Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!

=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================

Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================
_______________________________
Hivi, hadi kiungo kipotee mwilini mwa mnyama, inachukua muda gani? na je,kikipotea kwangu, inaweza athiri hadi kizazi changu au kinaambukiza hadi wengine? Je, binadamu wa kipindi hicho alikuwa mmoja au wengi? mikia yao ilipotea katika miili yao kwa wakati mmoja au ilitokea kwa mmoja tu?
 
Uliposema tu et AKILI YANGU INA LIMITATIONS, SINA RUHUSA YA KUFIKIRIA KWA KIWANGO NINACHOTAKA..... hapo ndo umeharibu.

Mkuu Toka 2015 SIJAWAHI KUIWEKEA LIMITATIONS AKILI YANGU. YAANI NAWAZA CHOCHOTE, NAHOJI (kichwani mwangu) CHOCHOTE, NAKATAA CHOCHOTE NA NAKUBALI CHOCHOTE na NATUKANA NIWEZAVYO.


Yaani mkuu SINA HATA CHEMBE YA KUHOFIA KUKUFURU.

you KNOW WHAT??


Naamini katika KUWEPO KWA CHANZO CHA UHAI NA UWEPO (life & existence) LAKINI..

1 NAKATAA 100% KUWA MUNGU HAYUPO KAMA ANAVYOELEZWA KATIKA VITABU. kwangu dhana ya Mungu ingeeleweka Sana na kurahisisha jinsi ya kumu-imagine (GOD'S IMAGINATION) Kama ingetumika pronoun ya IT badala ya HE.

2 SIAMINI HATA CHEMBE KUWA YESU NI MUNGU WALA MWANA WA MUNGU Kwa sababu Mungu si KIUMBE HADI AWE NA MWANA.

3 SIAMINI KATIKA UWEPO WA SHETANI (Adui wa Mungu) wala SHAMBI KUTOKANA NA SHETANI.

4 Kuna CHANZO 1 TU CHA UHAI NA UWEPO, vingine vyote Ni viumbe (creatures..macro & micro, vissible and invisible) because creation takes different forms in different dimensions)


Hakuna sijui malaika wasaidizi wa Mungu, Mara mapepo wasaidizi wa Shetani..vyote Ni viumbe na sio wasaidizi wa Mungu au Shetani.

5 Hakuna dhambi wala kosa katika kutumia mitishamba na viumbe vingine kwa dawa, kosa Ni NIA YAKO. Kama Unatumia kwa Nia ya kujitibu au kujikinga Hakuna kosa. Kama Unatumia kwa Nia ya kudhuru Ni kosa.

Kwa UFUPI AKILI YANGU NITUMIA BILA MIPAKA WALA HOFU YA AINA YOYOTE YA KIDINI
ungenisoma tena ungenielewa na ungeepuka kuandika maneno mengi yanayojirudia rudia....unasema akili yako huwezi kuiwekea limitations kwani ni unaiwekea au ndo asili yake?!....unachotaka kukisema hapa ni mfano SMG ina uwezo wa kurusha risasi kwa range ya 800meters kisha wewe uniambie nimefanya makosa sana kuiwekea limitations juzi tu kuna mtu ameshoot kwa range ya 80km na risasi imefika..
utakuwa uko sawa kweli?!..
yet unasema huna wasiwasi kuwa umekufuru wakati huohuo unasema huamini kama kuna mungu kwani unadhani kukufuru maana yake ni nini?!....kukufuru sio jina la mizizi ya dawa fulani ya mitishamba maana yake ni kukanusha, kupinga na kukataa..

hebu nisome tena utaelewa mengine kama kufananisha habari za IT na viterminology vya biology na uumbaji nafikiri ni tatizo kubwa kuliko ninavyodhani..
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Hivi, hadi kiungo kipotee mwilini mwa mnyama, inachukua muda gani? na je,kikipotea kwangu, inaweza athiri hadi kizazi changu au kinaambukiza hadi wengine? Je, binadamu wa kipindi hicho alikuwa mmoja au wengi? mikia yao ilipotea katika miili yao kwa wakati mmoja au ilitokea kwa mmoja tu?
Nitakufafanulia kwa kutumia mfano wa jinsi viungo vinavyopotea. Sasa hivi tembo wenye pembe fupi wameanza kuongezeka zaidi na wale wenye pembe kubwa wanazidi kupungua, hii ni kwa sababu ya majangili wanaowindankwa wingi tembo wenye ndovu/pembe kubwa ili wapate pesa nyingi zaidi na kuwaacha wale wenye vipembe vidogo; hivyo mwaka hadi mwaka wale wenye pembe ndogo wanapata nafasi kubwa zaidi ya kukua hadi umri wa kuzaa na kuzaliana zaidi huku wale wenye pembe kubwa wakizidi kuuwawa. Haya mazingira yakiendelea yatasababisha mwisho wa siku tembo wenye pembe kubwa wapotee na wale wenye pembe ndogo kuongezeka, miaka inavyozidickwenda jinsi pembe yako ilivyo ndogo zaidi ndivyo uwezekano wako wa kusurvive hadi kuwa mkubwa na kuzaa ndio unaongezeka, na kinyume chake ni kweli pia, mwisho wa siku wale wenye vishimo tu vya kushika pembe ndio watapona, wale wenye hata dalili ya pembe watuawa na majangili, mwishowe wanabaki tembo wasio na pembe. Na haya mabadiliko hutokea kwa genetic mutation by chance, ila ile chance mutation inapokuwa favourable basi huwa inaachwa na kuwa dorminant. Sasa itachukua muda gani hadi hicho kiungo kipotee itategemea na kasi ya majangili na uwezo wa mazingira kuruhusu kuzaliana. Tell me umenielewa, please!!
 
Kwahiyo wamaanisha pia miaka ijayo,tutakuja kuwa viumbe tofauti na tulivyo sasa?...
..Ndio maana yake Huyo. Kwamba baadaye akina mama watakuwa hawana Makalio makubwa maana hayana Umuhimu kiihiivyo, na
Ndio maana Wazungu na Wahindi yameanza kuwaondoka maana hawanayo no vimbau mbau lakini maisha yanasonga!![emoji16][emoji16]
 
Meenzio katoa hoja, wewe unatoa povu!!

Kwa ufupi wewe unaonekana hata evolution yko haijakamilika, bado upo kwenye usokwe sokwe!!

Kichwani umebeba kamasi. Cha ajabu utakuta Eti na wewe UNA DEMU!!!!!!!!!!!!!
dah hapo mwisho mzee[emoji3][emoji3][emoji119]
 
..Ndio maana yake Huyo. Kwamba baadaye akina mama watakuwa hawana Makalio makubwa maana hayana Umuhimu kiihiivyo, na
Ndio maana Wazungu na Wahindi yameanza kuwaondoka maana hawanayo no vimbau mbau lakini maisha yanasonga!![emoji16][emoji16]
Kwa mazingira ya culture ya kibantu ni dhahiri kwamba yatazidi kuwa makubwa, ni kwa sababu wanaume huoenda zaidi ngono na wenye makalio makubwa hivyo mbegu za wenye makalio makubwa zitazidi kuongezeka kwa wabantu siku hadi siku. Ila kwa culture ya wachina, wahindi na wazungu ambayo haifagilii makalio makubwa wanaweza kubaki kama walivyo, ama yakaongezeka kidogo kutoka na muingiliano na waAfrika wapenda mizigo.
 
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.


EBBFCA2F-46D5-47A6-A365-6556E0875C37.jpeg
 
Huu ni ukweli mambo ya kuumbwa kutoka kwenye udongo ni hekaya za kusimuliwa watoto usiku kabla ya kulala
 
Acha miaka, wewe nenda gym kwa miezi miwili tu, mwili wako utabadilika kulingana na mazingira mapya ya mazoezi magumu, misuli ya mwili itaimarika, ila kuna changes za muda mrefu ambazo hutumia hata miaka milioni 200 na kuendelea, mfano kuna samaki wanaotembea ardhini kisha wanarudi majini, yaani yale mapezi yao wanayatumia kama miguu. Ina hata vijana wa 1980's na 2000's wanavyotofautiana kwa urefu, hii ni kwa sababu ya kubadilika kwa mazingira ya lishe, siku hizi blueband kwa wingi..
Hawawezi kukuelewa
 
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.

Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.

Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.

Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!

=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================

Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================
_______________________________
Kwa hiyo wanawake waliokuwa na dudu la kiume walipoona hawaoni wa kutomb wakatrim( kupunguza size kakabakia kadogoo.)
Kwa hasira wakajitoboa tundu.
Na wanaume walipoona hakuna wa watoto kuwanyonyesha(wapunguza vichuchu.
Kama "evolution kweli ni binadamu ndiyo wanaelekea kwenye unyani au ni nyani wanaelekea kuwa wana wa Adam?
Nilipo kuwa nasoma chuo kikuu cha manyani kule porini kuliko na somo la evolution.
Tulifundishwa profesa gorilla kuwa sisi manyani zamani tulikuwa bin Adam ila siku baada ya miaka bilioni kadhaa ndiyo tukabadilika kuwa nyani.tumeota manyoya.
Kwa hiyo na wana wa Adam kuna siku wataota manyoya kama sokwe.
 
Kwa hiyo wanawake waliokuwa na dudu la kiume walipoona hawaoni wa kutomb wakatrim( kupunguza size kakabakia kadogoo.)
Kwa hasira wakajitoboa tundu.
Na wanaume walipoona hakuna wa watoto kuwanyonyesha(wapunguza vichuchu.
Kama "evolution kweli ni binadamu ndiyo wanaelekea kwenye unyani au ni nyani wanaelekea kuwa wana wa Adam?
Nilipo kuwa nasoma chuo kikuu cha manyani kule porini kuliko na somo la evolution.
Tulifundishwa profesa gorilla kuwa sisi manyani zamani tulikuwa bin Adam ila siku baada ya miaka bilioni kadhaa ndiyo tukabadilika kuwa nyani.tumeota manyoya.
Kwa hiyo na wana wa Adam kuna siku wataota manyoya kama sokwe.
Binadamu wa zamani bila shaka walikuwa na manyoya ya kuwapa joto, lakini baada ya kugundua moto na kuota moto, pamoja na kugundua nguo za kuvaa pamoja na nyumba zenye kutunza joto, manyoya yalipungua umuhimu wake, na hivyo yakapungua na leo tumebaki na vinyweleo. ‘If you don’t use it, loose it’, hiyo ni principle ya evolution.
 
Binadamu wa zamani bila shaka walikuwa na manyoya ya kuwapa joto, lakini baada ya kugundua moto na kuota moto, pamoja na kugundua nguo za kuvaa pamoja na nyumba zenye kutunza joto, manyoya yalipungua umuhimu wake, na hivyo yakapungua na leo tumebaki na vinyweleo. ‘If you don’t use it, loose it’, hiyo ni principle ya evolution.
Sasa kichwani nywele na mavuzi ya nini kuna baridi wapi?
Kichwani kwapani mapajani nywele za kazi gani?
 
Nitakufafanulia kwa kutumia mfano wa jinsi viungo vinavyopotea. Sasa hivi tembo wenye pembe fupi wameanza kuongezeka zaidi na wale wenye pembe kubwa wanazidi kupungua, hii ni kwa sababu ya majangili wanaowindankwa wingi tembo wenye ndovu/pembe kubwa ili wapate pesa nyingi zaidi na kuwaacha wale wenye vipembe vidogo; hivyo mwaka hadi mwaka wale wenye pembe ndogo wanapata nafasi kubwa zaidi ya kukua hadi umri wa kuzaa na kuzaliana zaidi huku wale wenye pembe kubwa wakizidi kuuwawa. Haya mazingira yakiendelea yatasababisha mwisho wa siku tembo wenye pembe kubwa wapotee na wale wenye pembe ndogo kuongezeka, miaka inavyozidickwenda jinsi pembe yako ilivyo ndogo zaidi ndivyo uwezekano wako wa kusurvive hadi kuwa mkubwa na kuzaa ndio unaongezeka, na kinyume chake ni kweli pia, mwisho wa siku wale wenye vishimo tu vya kushika pembe ndio watapona, wale wenye hata dalili ya pembe watuawa na majangili, mwishowe wanabaki tembo wasio na pembe. Na haya mabadiliko hutokea kwa genetic mutation by chance, ila ile chance mutation inapokuwa favourable basi huwa inaachwa na kuwa dorminant. Sasa itachukua muda gani hadi hicho kiungo kipotee itategemea na kasi ya majangili na uwezo wa mazingira kuruhusu kuzaliana. Tell me umenielewa, please!!
Nadharia ya evolution bado changa na haijitoshelezi.
Kwa mfano tendo la kuzaa ni la uchungu sana, sasa evolution kwa nini usifanye kazi yake?
Pengine angalau tutage tuatamie kama kuku.
Toto la kilo sita la nini?
 
Back
Top Bottom