Nadharia ya evolution bado changa na haijitoshelezi.
Kwa mfano tendo la kuzaa ni la uchungu sana, sasa evolution kwa nini usifanye kazi yake?
Pengine angalau tutage tuatamie kama kuku.
Toto la kilo sita la nini?
Umeshawahi kumuona kuku akitaga? Na unadhani hana maumivu mkuu??
Halafu nadhani umepotoka. Yaani evolution haipo kwasababu ya kuongeza "comfort ability " ila ipo kwa vitu ambavyo havina matumizi. Yaani ni njia ya kucope Na mazingira. Inalazimu mwili ujibadilishe. Sasa mwili wa mwanamke tayari una hormones ambazo zinawezesha kuzaa kuwezekane kwahiyo sidhani kama mfano wako ni sahihi.
Japokua kuna mifano ambayo wanasayansi wanaitumia ambapo evolution imefeli Na ni kweli hii nadharia haijakamilika hapo nakubaliana na wewe
Ila nikiangalia mifano kama ya jinsi binadamu wenye manyoya wanapungua (kuvaa nguo) na pia jinsi teknolojia inavyotufanya kuwa wavivu (misuli mingi haina umuhimu) nk nk naona kabisa kuna upande evolution inaleta mantiki
Kichwani zipo kwa kazi nyingine (zaidi ya ile kuzuia baridi ) ndomaana zimebaki mpk leo,kope, nyusi kuzuia jasho lisiingie machoni mavuzi (kuzuia friction)yaani yalikua na kazi ya ziada ndomaana yapo mpk leo
Are you terrified yet? Because we certainly are. Scientists even named their discovery of a 43 million-year-old fossil after Anubis, an Egyptian god associated with death.
Umeshawahi kumuona kuku akitaga? Na unadhani hana maumivu mkuu??
Halafu nadhani umepotoka. Yaani evolution haipo kwasababu ya kuongeza "comfort ability " ila ipo kwa vitu ambavyo havina matumizi. Yaani ni njia ya kucope Na mazingira. Inalazimu mwili ujibadilishe. Sasa mwili wa mwanamke tayari una hormones ambazo zinawezesha kuzaa kuwezekane kwahiyo sidhani kama mfano wako ni sahihi.
Japokua kuna mifano ambayo wanasayansi wanaitumia ambapo evolution imefeli Na ni kweli hii nadharia haijakamilika hapo nakubaliana na wewe
Ila nikiangalia mifano kama ya jinsi binadamu wenye manyoya wanapungua (kuvaa nguo) na pia jinsi teknolojia inavyotufanya kuwa wavivu (misuli mingi haina umuhimu) nk nk naona kabisa kuna upande evolution inaleta mantiki
Ngoja nikuelezee lugha rahisi adaptation ni mabadiliko ya muda mfupi ili kuwezesha kiumbe kusurvive. Mfano tajiri aliyezoea kuishi kwenye jumba la kifahari na watumishi akipelekwa jangwani aishi pekeyake hawezi kwenda kule akawa analala tu mpk saa5 asubuhi. Hata survive.Ataadapt na maisha hayo mapya. Kwa muda mrefu kizazi chake kinaweza hadi kubadilika kupata maumbile mapya ya kupambana na jua kali na ukame nk. Hiyo ndo evolution.Au tukisema evolution (Ina micro evolution na macro evolution ) basi Micro evolution=adaptation
Mfano mwingine unaona hii picha inaitwa evolution of Coca-Cola
Ila humo ndani kuna kipindi ambacho kampuni ya Coca-Cola walibadilisha bei labda (kutokana na great depression ) au ladha kidogo nk. Hiyo ni adaptation kufuata nguvu ya wqnunuaji
Naomba nikujibu tena kwa mfano. Zamani binadamu walikua na uwezo wa kusafiri kwa kutembea kutoka Kongo mpaka bagamoyo na mizigo juu. Wakina mama walikua wanakoboa mahindi kwa kinu na kusaga kwa mawe. Jamii za wawindaji walikua wanauwezo wa kuzunguka swala na kumbananisha mpaka wanamkamata kwaajili ya nyama. Baadae teknolojia ikaleta mitego,mishale ya sumu,magari,mashine za kusaga nk. Kwahiyo muda unavyokwenda tunajikuta hatutumii kazi za msuli tunatumia mashine kutoka babu zetu labda inakuja kwetu mpk kwa wajukuu wetu. Pengine mwaka 2100 kutakua na mjukuu wako ambaye toka amezaliwa mpk anakufa hajawahi kutembea km 100 au kubeba mizigo wa kg50 inapoendelea hivyo vizazi vinavyofuata hawawezi kuwa na uwezo wa msuli kama tuliokua nao sisi. Genetics zenyewe zinachagua kuwa hiki kitu sio muhimu tena kizazi hiki
Ngoja nikuelezee lugha rahisi adaptation ni mabadiliko ya muda mfupi ili kuwezesha kiumbe kusurvive. Mfano tajiri aliyezoea kuishi kwenye jumba la kifahari na watumishi akipelekwa jangwani aishi pekeyake hawezi kwenda kule akawa analala tu mpk saa5 asubuhi. Hata survive.Ataadapt na maisha hayo mapya. Kwa muda mrefu kizazi chake kinaweza hadi kubadilika kupata maumbile mapya ya kupambana na jua kali na ukame nk. Hiyo ndo evolution.Au tukisema evolution (Ina micro evolution na macro evolution ) basi Micro evolution=adaptation
Mfano mwingine unaona hii picha inaitwa evolution of Coca-Cola View attachment 1916620
Ila humo ndani kuna kipindi ambacho kampuni ya Coca-Cola walibadilisha bei labda (kutokana na great depression ) au ladha kidogo nk. Hiyo ni adaptation kufuata nguvu ya wqnunuaji
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.
Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.
Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.
Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!
=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================
Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================
'Atavists' ni viungo vilivyorudi kwa bahati mbaya kwenye viumbe ambavyo viungo husika vilishaondoka na kupotea, ila zile 'switch' za kiungo husika zinakuwa tu zimezimwa kwenye vinasaba vya kiumbe, na 'switch' hizo zinapowashwa tena kwa bahati mbaya, basi kiungo hicho hurudi. Mfano nyoka mwenye...
www.jamiiforums.com
=================================
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.
Are you terrified yet? Because we certainly are. Scientists even named their discovery of a 43 million-year-old fossil after Anubis, an Egyptian god associated with death.
Kuna haja gani kuzaana kuwepo ilihali vitu vinatokana na evolution?
achana na ujinga wa kizungu
Eti miaka milioni 200
Chukulia tu miaka 100 iliyopita ,ongezeko la watu kwa miaka hiyo, maendeleo ya technolojia kwa miaka hiyo 100 ,halafu uassume miaka milioni
Think out of the box
za kuambiwa changanya na zako
Sio lazima kubadilika ila hata hivyo sidhani kama wanabaki walivyo tu mkuu. Ukizingatia haya mambo yanakwenda kwa vizazi. Yani sio kama vile Leo utawaona wana manyoya halafu kesho hawana. Mara nyingi ni swala la miaka 200+
Naomba nikujibu tena kwa mfano. Zamani binadamu walikua na uwezo wa kusafiri kwa kutembea kutoka Kongo mpaka bagamoyo na mizigo juu. Wakina mama walikua wanakoboa mahindi kwa kinu na kusaga kwa mawe. Jamii za wawindaji walikua wanauwezo wa kuzunguka swala na kumbananisha mpaka wanamkamata kwaajili ya nyama. Baadae teknolojia ikaleta mitego,mishale ya sumu,magari,mashine za kusaga nk. Kwahiyo muda unavyokwenda tunajikuta hatutumii kazi za msuli tunatumia mashine kutoka babu zetu labda inakuja kwetu mpk kwa wajukuu wetu. Pengine mwaka 2100 kutakua na mjukuu wako ambaye toka amezaliwa mpk anakufa hajawahi kutembea km 100 au kubeba mizigo wa kg50 inapoendelea hivyo vizazi vinavyofuata hawawezi kuwa na uwezo wa msuli kama tuliokua nao sisi. Genetics zenyewe zinachagua kuwa hiki kitu sio muhimu tena kizazi hiki
😂😂😂😂😂 Inaonekana hauna info nyingi mkuu nikupe kwanza homework hebu fuatilia jinsi xoxa wanavyowinda, halafu uniambie je? yule actor wa "Gods must be crazy" kwa jina la Nǃxau ǂToma au tumezoea kumuita msandawe.
je ? familia yake itakuwa haiwezi kuwinda kwa sababu baba yao aliiishi maisha tofauti na uwindaji kwa muda mrefu?
Bado hiyo theory yako haija prove hiyo misuli kwanini haifanyi kazi , ila jibu lipo kwenye temporary adaptation means tunapo change mazingira basi miili yetu inafanya temporary changes ili iendane na mazingira husika kwa muda husika na kama utahama hayo mazingira means mwili utafanya changes tena.
Most likely aina na mahali ya nywele zilipo ni kutokana aesthetics preferences za opposite sex pamoja na functional adaptation, mfano vichwa vilivyokuwa na nywele viliweza kukingwa na jua kali na hivyo ubongo ukawa unakua vizuri na wakafanikiwa zaidi kwa kutumia akili zao, na wengine wakapotea kwa salectiva adaptation ya mazingira. Na kwa muonekano, leo tukiwa mwanamke mwenye nywele vipilipilo na mwenye nywele ndefu kaini curly za kujikunja kunja, wanaume wote watapambana kuzaa nae , halikadhalika kwa watoto atakaowazaa, watagombaniwa kama mpira wa kona, yule mwenye vipili pili atapewa mimba kama kuonewa huruma tu, atazalishwa kitoto kimoja kususiwa akilee mwenyewe, baada ya miaka 1000 jamii yote itakuwa na watoto wenye nywele ndefu, laini za kujikunja, hiyo ndio evolution, its real and logical ( ina mantiki).
Sio lazima kubadilika ila hata hivyo sidhani kama wanabaki walivyo tu mkuu. Ukizingatia haya mambo yanakwenda kwa vizazi. Yani sio kama vile Leo utawaona wana manyoya halafu kesho hawana. Mara nyingi ni swala la miaka 200+
unajua kuwa mbuni wame exist since dinosaurs wakiwepo na dinosaurs walikuwepo kabla ya evolution ya binadamu (kutokana na theory ya evolution) means binadamu kama tunavyojulikana tumetokea miaka 65 million na zaidi baada ya dinosaurs kutoweka (volcanic eruptions na asteroids you know the story.)
swali ni WHY MBUNI WABAKI KAMA WALIVYO NA HALI YA KUWA WAME EXIST SINCE DINOSAURS AGE NA WAKA SURVIVE DESTRUCTION?
😂😂😂😂😂 Inaonekana hauna info nyingi mkuu nikupe kwanza homework hebu fuatilia jinsi xoxa wanavyowinda, halafu uniambie je? yule actor wa "Gods must be crazy" kwa jina la Nǃxau ǂToma au tumezoea kumuita msandawe.
je ? familia yake itakuwa haiwezi kuwinda kwa sababu baba yao aliiishi maisha tofauti na uwindaji kwa muda mrefu?
Bado hiyo theory yako haija prove hiyo misuli kwanini haifanyi kazi , ila jibu lipo kwenye temporary adaptation means tunapo change mazingira basi miili yetu inafanya temporary changes ili iendane na mazingira husika kwa muda husika na kama utahama hayo mazingira means mwili utafanya changes tena.
unajua kuwa mbuni wame exist since dinosaurs wakiwepo na dinosaurs walikuwepo kabla ya evolution ya binadamu (kutokana na theory ya evolution) means binadamu kama tunavyojulikana tumetokea miaka 65 million na zaidi baada ya dinosaurs kutoweka (volcanic eruptions na asteroids you know the story.)
swali ni WHY MBUNI WABAKI KAMA WALIVYO NA HALI YA KUWA WAME EXIST SINCE DINOSAURS AGE NA WAKA SURVIVE DESTRUCTION?
Nimekujibu pia evolution theory sio lazima mbona huelewi? Sio law ni theory ambayo inachagua kutokana na nature ya kila kiumbe. Sio kama gravity kwamba kikienda juu lazima kurudi Chini
Inawezekana sina taarifa za kutosha wewe sema kwanini habadiliki? Ninachangia kwa jinsi ninavyofahamu mkuu kwa jinsi nilivyosoma na ninayoyaona field (Geo ) ila haimanishi mimi najua kila kitu
Most likely aina na mahali ya nywele zilipo ni kutokana aesthetics preferences za opposite sex pamoja na functional adaptation, mfano vichwa vilivyokuwa na nywele viliweza kukingwa na jua kali na hivyo ubongo ukawa unakua vizuri na wakafanikiwa zaidi kwa kutumia akili zao, na wengine wakapotea kwa salectiva adaptation ya mazingira. Na kwa muonekano, leo tukiwa mwanamke mwenye nywele vipilipilo na mwenye nywele ndefu kaini curly za kujikunja kunja, wanaume wote watapambana kuzaa nae , halikadhalika kwa watoto atakaowazaa, watagombaniwa kama mpira wa kona, yule mwenye vipili pili atapewa mimba kama kuonewa huruma tu, atazalishwa kitoto kimoja kususiwa akilee mwenyewe, baada ya miaka 1000 jamii yote itakuwa na watoto wenye nywele ndefu, laini za kujikunja, hiyo ndio evolution, its real and logical ( ina mantiki).
Yaani nashangaa kuna watu wanashindwa kuelewa logic ndogo tu hii ya chain za evolution zinavyokwenda. Anadhani kwamba ni swala la miaka 10 nyani wanakua binadamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.