Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

Viambatanisho katika mfumo wa uhamisho (ess.utumishi.go.tz)

Hiyo wizara kazi yao sasa ni nini? Kama wanakwenda kazini kila kukicha ila hakuna jipya wanachofanya.
Ila Viongozi wao wakiwa kwenye majukwaa wanapiga kelele kwelikweli kuwalaumu HR wa taasisi mbalimbali kwa kukwamisha watumishi ila suala likifika kwao sasa wanakuwa wazito kama gunia la zege.

Waziri Simbachawene wewe ni mzigoooo.
Wekeni utaratibu wa nyie ndiyo wa kuamisha mkipenda siyo kuwaambia watumishi wafuate utaratibu alafu mnakalia Vibali.
 
Hiyo wizara kazi yao sasa ni nini? Kama wanakwenda kazini kila kukicha ila hakuna jipya wanachofanya.
Ila Viongozi wao wakiwa kwenye majukwaa wanapiga kelele kwelikweli kuwalaumu HR wa taasisi mbalimbali kwa kukwamisha watumishi ila suala likifika kwao sasa wanakuwa wazito kama gunia la zege.

Waziri Simbachawene wewe ni mzigoooo.
Wekeni utaratibu wa nyie ndiyo wa kuamisha mkipenda siyo kuwaambia watumishi wafuate utaratibu alafu mnakalia Vibali.
Tunawaombea kwa Mungu mpate vibali vya uhamisho
KAZI IENDELEE 🇹🇿
 
Back
Top Bottom