Viatamizi vya BBT vya Unenepeshaji Mifugo ni hoi bin taabani. Raisi aliyetoa fedha anafichwa ukweli. Ngombe hawanenepeshwi ni vurugu tupu

Viatamizi vya BBT vya Unenepeshaji Mifugo ni hoi bin taabani. Raisi aliyetoa fedha anafichwa ukweli. Ngombe hawanenepeshwi ni vurugu tupu

UPDATES: Taarifa nilizozipata hivi karibuni ni kuwa Baadhi ya vituo vya BBT- Viatamizi vimepata hasara kubwa. Hii ni Baada ya kuuza ngombe walionenepeshwa karibia mwaka sasa. Swali ni je, hivi viatamizi vya mifugo vina tija iliyokusudiwa na Raisi Mama yetu Samia? Je, anayo hii habari?
Na wataalamu wote wale mbona wanatukatisha tamaa
 
Back
Top Bottom