Vibaka sasa wamezidi

Nipige hela ya jamaa au niache? Najiuliza!
 
Bila picha ni Uzushi na attention
 

Aliyekuibia TV atakutafuta akijifanya mganga, halafu akuibie mara ya pili.
Achana na mambo ya uganga
 
Fuga mbwa usiku wakifika mbwa anabweka.
 
Ok kama ni amevunja madirisha akabeba na TV akasepa na wewe umelala tuu bila shaka ni dar... musoma huyo mwizi sijui nisemeje... any way jitahid kuwa makini kama wa mikoani siku nyingine watamalizana na mke wako watasepa harafu unaamka asubuh hujajua
 
😂😂 we dada Una dhambi sana
 
Nenda miskitini tu kakutane na sheikh amsomee Qur'an tukufu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…