Vibaka sasa wamezidi

Vibaka sasa wamezidi

Mnigeria wako alikuwa wapi au ndo alikuwa anakumwagia BAO la tatu mfululizo


Juzi ulikuja na habari yamnijeria kutoshuka kiunoni mwako ,akitemea mfululizo ndani ,Leo umeibiwa
 
Mi sishauri mtu kwenda Kwa Mganga we mwachie Mungu tu bwana unaeza enda Kwa Mganga akakuongezea matatizo Zaid akakuibia ata nyota
 
Vibaka wameniibia smart TV size ya 48" mpya kabisa ambayo niliinunua juzi tu
emoji24.png
emoji24.png


Waliingia ndani kwa kuvunja dirisha usiku wa manane, wala sikusikia chochote walipokuja ila nilipoamka asubuhi nilikuta TV haipo sebuleni na vyuma vya dirisha vikiwa vimekunjwa hadi kuwezesha mwizi kuingia na kutoka kwa kupitia hapo dirishani.

Ninapanga kwenda kwa mganga wa kienyeji ili kurejesha smart TV yangu.

Naomba kama kuna mganga wa kienyeji hapa jf mwenye uwezo wa kupiga ramli hadi vibaka walioiba TV yangu wapatikane, ajitokeze hapa nimpe kazi mara moja.
Kuna Alarm zinauzwaga, naamini Tanzania zitakuwepo, ni ndogo kama simu, inasense yaani unapoenda kulala unaweka on, mtu akiigia tu ilipo inapiga kelele sana
 
Acha ujinga pigana ununue chogo inch 8 mganga atakula hela yako bure na ukicheza atakupiga ukuni.
Kama yule binti wa JF alipigwa ukuni na mganga tapeli ili apate madini..

Kuja kushituka ndio akapeleka kesi polisi akiwa ameshaliwa...
 
Kama yule binti wa JF alipigwa ukuni na mganga tapeli ili apate madini..

Kuja kushituka ndio akapeleka kesi polisi akiwa ameshaliwa...
😂😂😂😂 Nani huyo mkuuu ninecheka kaa fala hapa
 
Rafiki yangu juzi nimetoka nae klab saa usiku mbovu tumelewa....tunapishana na majamaa wamefunga mizigo kwny mashuka..tukawa tunacheka kwmb mtu anahama usiku huu.nikashtuka nikamwambia hii mtu kapigwa kaziii tukazidi kucheka sana.msela kafika geto anapiga NDURUU uwiii nimeibiwa.tukarudi kufatilia wale majamaa tulikuta mavi mengi tuu njiani.
 
Wasikuzuge hilo linawezekana kunajamaa anayo tv asilia utaweza kuona tukio lilivyokua namwizi utamuona kabisa. pm ntakusaidia namba.
 
Rafiki yangu juzi nimetoka nae klab saa usiku mbovu tumelewa....tunapishana na majamaa wamefunga mizigo kwny mashuka..tukawa tunacheka kwmb mtu anahama usiku huu.nikashtuka nikamwambia hii mtu kapigwa kaziii tukazidi kucheka sana.msela kafika geto anapiga NDURUU uwiii nimeibiwa.tukarudi kufatilia wale majamaa tulikuta mavi mengi tuu njiani.
Eeeh mabi tena mkuuu
 
Back
Top Bottom