Vibaka sasa wamezidi

Vibaka sasa wamezidi

Kama ni smart c uende kwq watu wa cyber wait track?au haina hyo mifumo?
 
Usijisimbue hakuna mganga mwenye uwezo huo kwasasa, utazidi kupoteza
Yupp Mbeya Songwe njia ya kwenda Mkwajuni sehemu panaitwa Mbala. Yule ni balaa jingine. ILA amejificha sana anaishi porini. Ni bibi alozeeka haswa.
 
Vibaka wameniibia smart TV size ya 48" mpya kabisa ambayo niliinunua juzi tu
emoji24.png
emoji24.png


Waliingia ndani kwa kuvunja dirisha usiku wa manane, wala sikusikia chochote walipokuja ila nilipoamka asubuhi nilikuta TV haipo sebuleni na vyuma vya dirisha vikiwa vimekunjwa hadi kuwezesha mwizi kuingia na kutoka kwa kupitia hapo dirishani.

Ninapanga kwenda kwa mganga wa kienyeji ili kurejesha smart TV yangu.

Naomba kama kuna mganga wa kienyeji hapa jf mwenye uwezo wa kupiga ramli hadi vibaka walioiba TV yangu wapatikane, ajitokeze hapa nimpe kazi mara moja.

Kwa mganga atakuibia TV nyingine, usiende huko utaibiwa maradufu.
 
Vibaka wameniibia smart TV size ya 48" mpya kabisa ambayo niliinunua juzi tu
emoji24.png
emoji24.png


Waliingia ndani kwa kuvunja dirisha usiku wa manane, wala sikusikia chochote walipokuja ila nilipoamka asubuhi nilikuta TV haipo sebuleni na vyuma vya dirisha vikiwa vimekunjwa hadi kuwezesha mwizi kuingia na kutoka kwa kupitia hapo dirishani.

Ninapanga kwenda kwa mganga wa kienyeji ili kurejesha smart TV yangu.

Naomba kama kuna mganga wa kienyeji hapa jf mwenye uwezo wa kupiga ramli hadi vibaka walioiba TV yangu wapatikane, ajitokeze hapa nimpe kazi mara moja.
Jana wameiba huyu jamaa hapa Chake chake Pemba
 

Attachments

  • 4AC91291-436D-4341-ABF5-01CD26144F82.jpeg
    4AC91291-436D-4341-ABF5-01CD26144F82.jpeg
    59.5 KB · Views: 8
Hakika hakuna mtu anazaliwa na roho mbaya, me binafsi baada ya kuhitimu chuo niliweza kusave kiasi fulani cha fedha za boom na nikaenda mkoani nikaanzisha ufugaji wa nguruwe.
Usiku wa siku moja wezi walivunja banda na kuiba mifugo yangu michache nilokuwa nayo na kisha wakachinjia pembeni kidogo ya banda na kusepa na nyama yaani asubuhi bi mkubwa alikuta damu tu ( me sikuwepo nilikuwa dar), nilipopata taarifa za tukio kesho yake nilianza safari toka dar hadi KIGOMA,,,,niliwakomesha mpaka sasa nawaonea huruma mana walikuwa ni wahuni wa mtaani kwetu.

Pole sana mkuu.
Kawafungue
 
Mnigeria wako ni mzembe unaibiwaje wakati upo na mnegeria na ulisema ana vitu special?!!!!!!!!!!!
 
Wezi wanashinda kwa waganga. Mwizi na mganga ni kulwa na doto.
Tafuta kibaka mzoefu mpe laki atakuonyesha mwizi wako. Kwa waganga utafeli
 
Vibaka wameniibia smart TV size ya 48" mpya kabisa ambayo niliinunua juzi tu
emoji24.png
emoji24.png


Waliingia ndani kwa kuvunja dirisha usiku wa manane, wala sikusikia chochote walipokuja ila nilipoamka asubuhi nilikuta TV haipo sebuleni na vyuma vya dirisha vikiwa vimekunjwa hadi kuwezesha mwizi kuingia na kutoka kwa kupitia hapo dirishani.

Ninapanga kwenda kwa mganga wa kienyeji ili kurejesha smart TV yangu.

Naomba kama kuna mganga wa kienyeji hapa jf mwenye uwezo wa kupiga ramli hadi vibaka walioiba TV yangu wapatikane, ajitokeze hapa nimpe kazi mara moja.
Yaani ulishindwa kutoa 150,000 au 200,000 kufunga GPS tracker saiv unawaza kwenda kwa mganga kutapeliwa.

Ubahili ni kitu kibaya sana.
 
Bila shaka dirisha lenyewe ni haya ya flat bars.
Flat bar sio dirisha weka milimita 16,Mimi huwa wanakuja wanaichungulia wanakutana na milimita 16 wanaondoka wanasonya tu.labda waje na gas
 
Mtoa mada attention sana
Mwaka 2007 nilisafishwa na vibaka, walichoshindwa kubeba ni tv tuu Sony Wega yale makubwa mazito.. Basi nikashauriwa niende kusoma albadir ama niende kwa mganga(wakari huo sijaanza harakati za ulozi bado)
Nikakataa kufanya vile lakini ndani ya mwezi mmoja wezi wangu watatu kati ya wanne wakafa.. Ningefuata ushauri wa kusoma albadir ama kwenda kwa mganga ningekuwa shuhuda mkubwa sana wa hayo mambo
 
Kibaka na mganga boss wao mmoja hivyo hawawezi tupana
 
Flat bar sio dirisha weka milimita 16,Mimi huwa wanakuja wanaichungulia wanakutana na milimita 16 wanaondoka wanasonya tu.labda waje na gas
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Back
Top Bottom