GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wananchi wa Kata ya Kakola, Halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama, wamelalamikia ongezeko la wimbi la vibaka wanaovamia ndani ya nyumba wakiwa uchi na wakiwa wamejipaka mafuta mwili mzima kwa lengo la kutekleza wasikamatwe.
Chanzo: itvtz
Waambieni wasije Kuthubutu kufanya hivi wakija Kuiba Mikoa ya Pwani kwani wanaweza Kuondoka bila ya Marinda!!!
Chanzo: itvtz
Waambieni wasije Kuthubutu kufanya hivi wakija Kuiba Mikoa ya Pwani kwani wanaweza Kuondoka bila ya Marinda!!!