Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana mkuu. Hukuwa na alarm? Walau inasaidiaWakuu usiku wa kuamkia Leo vibaka wamevunja kioo cha gari wakaiba taa moja ya nyuma, power-window na side mirror zote mbili, aina ya Gari ni Kluger V, kwa spare used naweza kupata kwa bei gani @?
View attachment 2179029
Agiza mtandaoni, achana na used za Bongo.Wakuu usiku wa kuamkia Leo vibaka wamevunja kioo cha gari wakaiba taa moja ya nyuma, power-window na side mirror zote mbili, aina ya Gari ni Kluger V, kwa spare used naweza kupata kwa bei gani @?
View attachment 2179029
Mtu mwenyewe mwizi wewe lini uliagiza mtandaoni kibaka we. Siku ukidakwa tunakupaka mafuta nyaupori we.Agiza mtandaoni, achana na used za Bongo.
Mimi wakiiba uwa naagiza mitandaoni napata ili waache kuiba sababu wanategemea mnunuzi nitakuwa mimi waliyeniibia.
Alikuibia nini huyu boyaMtu mwenyewe mwizi wewe lini uliagiza mtandaoni kibaka we. Siku ukidakwa tunakupaka mafuta nyaupori we.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Agiza mtandaoni, achana na used za Bongo.
Mimi wakiiba uwa naagiza mitandaoni napata ili waache kuiba sababu wanategemea mnunuzi nitakuwa mimi waliyeniibia.
Ulifanikiwa mkuu?Wakuu usiku wa kuamkia Leo vibaka wamevunja kioo cha gari wakaiba taa moja ya nyuma, power-window na side mirror zote mbili, aina ya Gari ni Kluger V, kwa spare used naweza kupata kwa bei gani @?
View attachment 2179029