Vibaka wamenitia hasara

Vibaka wamenitia hasara

Mjamaa86

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2018
Posts
667
Reaction score
689
Wakuu usiku wa kuamkia Leo vibaka wamevunja kioo cha gari wakaiba taa moja ya nyuma, power-window na side mirror zote mbili, aina ya Gari ni Kluger V, kwa spare used naweza kupata kwa bei gani @?

IMG-20220407-WA0009.jpg
 
Wakuu usiku wa kuamkia Leo vibaka wamevunja kioo cha gari wakaiba taa moja ya nyuma, power-window na side mirror zote mbili, aina ya Gari ni Kluger V, kwa spare used naweza kupata kwa bei gani @?

View attachment 2179029
Pole sana mkuu. Hukuwa na alarm? Walau inasaidia
Anyway watakujibu. Mcheki masterofthegame yumo humu jf
 
Pole mkuu...
Ukikuta mwizi anapigwa, haina haja ya kumuonea huruma...
Pita swhwmu wanazokata magari na kuuza spea utapata
 
Wakuu usiku wa kuamkia Leo vibaka wamevunja kioo cha gari wakaiba taa moja ya nyuma, power-window na side mirror zote mbili, aina ya Gari ni Kluger V, kwa spare used naweza kupata kwa bei gani @?

View attachment 2179029
Agiza mtandaoni, achana na used za Bongo.

Mimi wakiiba uwa naagiza mitandaoni napata ili waache kuiba sababu wanategemea mnunuzi nitakuwa mimi waliyeniibia.
 
Agiza mtandaoni, achana na used za Bongo.

Mimi wakiiba uwa naagiza mitandaoni napata ili waache kuiba sababu wanategemea mnunuzi nitakuwa mimi waliyeniibia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom