Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
uweni wawili tu kama watakuja wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba Jeshi la Polisi hasa mitaani mje kusaidia maana vibaka wamerudi kwa wingi sana. Hii sio siasa ni reality kabisa na siandiki kwa mihemuko!
Kuna kipindi tulianza kulala milango wazi lakini kwa sasa wanakata mpaka madirisha
Kwahyo unataka kusema kisa JPM alikuwepo ,vyombo vya habari viliogopa mpka kutangaza wezi?Vibaka hawajawi kuisha hata kipindi cha mwendazake, ila sasa hivi vyombo vya habari viko huru kutangaza huo uhuni. Ulifumbwa macho na propaganda mfu ndio maana unaleta huu uzi kwa rejea za utawala wa mabavu.
Manispaa ya Ilemela wana gari la doria moja tu, polisi wanalitumia kutafutia hela ya dawa ya viatu usiku...watu wanakabwa, nyumba zinavamiwa ukiwapigia simu polisi wanasema wapo Kayenze (nje ya mji hukoo) kumbe wapo wanavizia sehemu zenye ulaji!!!Weka ushahidi. Usichafue jeshi la Sirro kuwa limeshindwa kazi.
Wanakuwa wanasiasa mfano yule mbuge mstaafu wa Arusha ambaye yupo uhamishoni, wengine huwa wachungaji, nkHuwa najiuliza hawa vibaka umri ukisonga huwa wanakwendaga wapi ? au wao huwa wako hivyo hivyo miaka yote.
Vibaka hawajawi kuisha hata kipindi cha mwendazake, ila sasa hivi vyombo vya habari viko huru kutangaza huo uhuni. Ulifumbwa macho na propaganda mfu ndio maana unaleta huu uzi kwa rejea za utawala wa mabavu.
Ndio ushuzi uliobakia naoVibaka wapo toka Magu yupo sema media zilikua hazisemi, bodaboda zimeporwa sana, wadada wameibiwa pochi na wezi wanaotumia bodaboda sana
Dada tafute mumeNdio ushuzi uliobakia nao
Kwahyo unataka kusema kisa JPM alikuwepo ,vyombo vya habari viliogopa mpka kutangaza wezi?
Hujitambui kbsa mkuu
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Geukia ukuta nikuhabarishe......Dada tafute mume