Naombeni tenda ya kuwasaplaia dawa za kukuza
Uje pia na dawa ya kubana shimo na kupunguza maji kwenye bwawa
Uje pia na dawa ya kubana shimo na kupunguza maji kwenye bwawa
Mbona povu kama umelamba sabuni ya kusafishia toi? Kuna shida kwani? Nenda kwenye kikao bana Punguza hasira
Ndugu Wanachama tunawatangazia tutakuwa na Mkutano Mkuu wa chama, VAT tarehe 19/12/2015
AGENDA: Hesabu za mapato na Matumizi ndani ya chama
Kupokea Wanachama Wapya
Uchaguzi wa Viongozi
AOB:Changamoto hasa dharau toka wenza/wapenzi wetu na namna ya kukabiliana nazo
MAHALI: KONA BAR (SINZA AFRICA SANA) kuanzia saa 11 jioni
MAWASILIANO: 0655 112236
Hivi kumbe inauma sana... Kazi kwelikweli...
mbona nimepiga hiyo namba nimeambiwa ni wrong namba?mwenye hiyo namba anasema hata haijui hiyo vat
Naombeni tenda ya kuwasaplaia dawa za kukuza
Uje pia na dawa ya kubana shimo na kupunguza maji kwenye bwawa
Mbona povu kama umelamba sabuni ya kusafishia toi? Kuna shida kwani? Nenda kwenye kikao bana Punguza hasira
punguza hasira bana ndo ushakua kibamia ila usijali kuna dawa ntakutumia ahahahaaa
Kwani na wewe ni mwanachama?