Vibamia ni noma sana

Vibamia ni noma sana

Mmm yukwapi uyo kibamia ani pm Mi ndo nawataka so wenye madushe siwataki maana huwa zinalala baada ya kagoli kamoja
 
Next time aingie chooni afunge mlango kama anafanya number 2.
 
Tupo kwny sherehe muda huu....Jamaa wakakutana kwny yale ma sink ya haja ndogo, na wote wamekaa sehemu moja, kumbe mmoja alikuwa na kibamia....kwa hiyo yule mwny konga akaenda kuwasimulia kwny meza yao, na yule mwny kibamia akawakuta wanasimuliana, weeeeeeeee........timbwili lake hadi sasa halijazimika.....!!!!
Kuna ushoga hapo
 
Hivi kweli mtu unamkosoa MUNGU hiyo haiko sawa kabisa, jamani jifunzeni kila kitu kwenye Hii dunia MUNGU ndo alivyoumba sa we kama unacheka mwenye ka dudu kadogo subiri wanao uone watazaliza na za namna gani.
 
Tupo kwny sherehe muda huu....Jamaa wakakutana kwny yale ma sink ya haja ndogo, na wote wamekaa sehemu moja, kumbe mmoja alikuwa na kibamia....kwa hiyo yule mwny konga akaenda kuwasimulia kwny meza yao, na yule mwny kibamia akawakuta wanasimuliana, weeeeeeeee........timbwili lake hadi sasa halijazimika.....!!!!

wanaume wa dar muko na mitatizo mingi
 
Nilishawahi Soma tafiti tofauti tofauti, eti Ukiona mwanaume ana bonge la dushe eti darasani hamna kitu. Coz mwili na ubongo vimeconcentrate kwenye hayo maumbile hivyo heri uwe medium. More over vyanzo vinadai dushe kubwa wanapenda wanapenda wadada wasiosoma kwa kuwa wasomi wanajua linaua kizazi kwa kugonga Mara kwa Mara cervix.
 
Back
Top Bottom