KAKA NASOKI
Senior Member
- May 25, 2016
- 191
- 212
Tatizo lipo wapi mkuu kupiga picha bango?,je pia ninaweza kuweka pit stop mbele ya main gate lao?atapigaje picha aneo la jeshi. atakuwa hajipendi huyo.
kajaribu kupiga picha hilo bango uone.Tatizo lipo wapi mkuu kupiga picha bango?,je pia ninaweza kuweka pit stop mbele ya main gate lao?
....police state nhe, Zambia 🇿🇲 na Botswana 🇧🇼 pits stop usiku pembeni mwa main gate za makambi ya majeshi yao au kwenye check points zao, watanzania mmeshazoeshwa kuburuzwakajaribu kupiga picha hilo bango uone.
Ungeweka na picha mkuu tuone namna vilivyoboreshwa.Nimefurahi jana nimepita pale Lugalo nikakuta alama za LUGALO BARRACKS getini vimeboreshwa. Hongera Kwa aliyefanikisha hili, sasa bado zile bango kubwa nyeusi zilizoko moja bondeni karibu na daraja la waenda kwa miguu na lingine karibia Mwenge.
Tuliowahi kulala geteni mwa Panamatenga BDF tunyoshe vidole hapa,binafsi na godoro, msaada wa kutengenezewa gari, kahawa nilipewa, salute BDFkajaribu kupiga picha hilo bango uone.